Nasema ukweli kuhusu uganga

Nasema ukweli kuhusu uganga

Uganga hauna formula kila mmoja ana namna kakabidhiwa kaka yangu mganga hajapitia hata kimoja ulicho ongelea labda uganga wa tunguri.
Alipata tabu shule kila analofanya linaharibika akaambiwa unatakiwa utibu akaend kwa mama mmoja akapewa maji anywe basi akafunguka watu wake wakawa wanamuelekeza tiba ndotoni au live au kichwani tu anasikia sauti.
Kuhusu kuoneshwa mbona nakumbuka sio lazima mtu apelekwe mapangoni kujifunza hayo yote,,mtu akiwa kapewa mkoba wa uganga anaanza kwa kuumwa sana tu. Kama malaria huku akiwa kwenye ndoto wale wote waliokuwa waganga wa tangulizi anawaona nakupewa masharti yakufanya ili awe mganga.

Baada ya kupewa mizimu yake na majini yake lazima upewe jini ambalo ni uganga wako. Ndiye anaitwa kiti na pia humuona ndotoni sio live.

Halafu ukianza kusimikwa uganga unatakiwa uwe unafamilia tayari. Watoto wako ndio ukoo wako kuna mmoja au mjukuu wako utamridhisha.

HAlafu unakuwa unaona hadi mtu akienda kwa waganga au mtu fulani wakaribu wanataka kumuua au chochote kizuri au kibaya .
BAsi ukioa unaletewa wengine wakukuelekeza na wazee waukoo uganga ulipo basi unaanza kutibu.

Ila uganga kwanza nikama unabii tu ila mtu kuishi mapangoni kufanya nini kama ni pete zauganga kama umeshaoa mke au kuolewa na mme wamtakao basi. Ukiwamke namume unaanza kuoteshwa nani wakukupa kila kitu sasa sijui wengine wanaenda kuishi mapangoni kufanya nini na huku majini yanakufuata at the right time . Na mtu huanza kuona nakuelezea wale wenye shida nakuwaelekeza mganga wakuwasaidia kwa mana bado hajawa kamili.

Na uganga halisi huwezi kulala na familia yako. Hiyo hapana hata ukiuliza watu wengi . Ambao wamekuwaga waganga .

Sijui kwa wale ambao wengi waliupataje huo uganga .
 
Uganda hauna formula kaka yangu mganga hajapitia hata kimoja ulicho ongelea labda uganga wa tunguri.
Mie sio kaka mie ni mwanamke na hajapitia uongo mwaya nauhakika na ushaidi upo usilolijua ni usiku wa giza . Kuna mtu tena aliniita hivyoo .

Halafu hatufanani kila mtu ananjia yake yakuvaa hivi vitu kama wako alifanya vingine namie nimevaa kivingine . Nimepitishwa sehemu nyingi kisa hili kwa waganga wakubwa zaidi yangu so huniambii lolote
 
Mie sio kaka mie ni mwanamke na hajapitia uongo mwaya nauhakika na ushaidi upo usilolijua ni usiku wa giza . Kuna mtu tena aliniita hivyoo .

Halafu hatufanani kila mtu ananjia yake yakuvaa hivi vitu kama wako alifanya vingine namie nimevaa kivingine . Nimepitishwa sehemu nyingi kisa hili kwa waganga wakubwa zaidi yangu so huniambii lolote
Sijakuita kaka ila nimesema kaka yangu mganga anatibu tena wako wa 2 ila hawajapitia hayo ndo maana nikasema uganga hauna formula Kuna vitu umeelezea sio wote wanavipitia au vinawatokea kila jinn ruhan ana namna yake, Kuna uganga wa kitabu kuna uganga wa miti shamba mwingine anakuwaw nao wote.
 
Sijakuita kaka ila nimesema kaka yangu mganga anatibu tena wako wa 2 ila hawajapitia hayo ndo maana nikasema uganga hauna formula Kuna vitu umeelezea sio wote wanavipitia au vinawatokea kila jinn ruhan ana namna yake, Kuna uganga wa kitabu kuna uganga wa miti shamba mwingine anakuwaw nao wote.
Eh ila mie sijakuwa mganga nimepewa masharti hadi niolewe ndio niwe kamili mie naonaga tu matatizo ya watu nakuwaelekeza sehemu husika ya kutibiwa
 
Eh ila mie sijakuwa mganga nimepewa masharti hadi niolewe ndio niwe kamili mie naonaga tu matatizo ya watu nakuwaelekeza sehemu husika ya kutibiwa
Sa SI tayari we Ni sehemu ya mfumo Hadi hapo.
Maana kuona kwako ni Kama kusoma anga/ardhi ( Umbo lingine la uganga/ Uchawi ).
 
Kwani unahisi uchawi ni nini? Uchawi ni taaluma inayohitaji baadhi ya formula ili kuleta matokeo. Hivi unaweza kuelezea ni nguvu gani hutumika kwenye mazingaombe, Kiasi kwamba uone mwana-mazingaombwe atafune wembe na kutoa sindano?!!. Man huwezi jua kila kitu hapa duniani.

Kwa hîyo sanaa Siku hizi NI uchawi mwisho usemè Sayansi nayo ni uchawi.

Ndio wale mkimwona Gaucho akichezea Mpira mnasema uchawi.

Au waruka sarakasi mnaita uchawi.

Huyo Dada Mganga mwenyewe amepimwa Kwa Vitu vidogo àmbavyo hata AI ikiulizwa inaweza kuvijua lakini yeye kashindwa anabakia kusema bado hajafika level ya uganga,

Uchawi na uganga ni utapeli
 
Kuhusu kuoneshwa mbona nakumbuka sio lazima mtu apelekwe mapangoni kujifunza hayo yote,,mtu akiwa kapewa mkoba wa uganga anaanza kwa kuumwa sana tu. Kama malaria huku akiwa kwenye ndoto wale wote waliokuwa waganga wa tangulizi anawaona nakupewa masharti yakufanya ili awe mganga.

Baada ya kupewa mizimu yake na majini yake lazima upewe jini ambalo ni uganga wako. Ndiye anaitwa kiti na pia humuona ndotoni sio live.

Halafu ukianza kusimikwa uganga unatakiwa uwe unafamilia tayari. Watoto wako ndio ukoo wako kuna mmoja au mjukuu wako utamridhisha.

HAlafu unakuwa unaona hadi mtu akienda kwa waganga au mtu fulani wakaribu wanataka kumuua au chochote kizuri au kibaya .
BAsi ukioa unaletewa wengine wakukuelekeza na wazee waukoo uganga ulipo basi unaanza kutibu.

Ila uganga kwanza nikama unabii tu ila mtu kuishi mapangoni kufanya nini kama ni pete zauganga kama umeshaoa mke au kuolewa na mme wamtakao basi. Ukiwamke namume unaanza kuoteshwa nani wakukupa kila kitu sasa sijui wengine wanaenda kuishi mapangoni kufanya nini na huku majini yanakufuata at the right time . Na mtu huanza kuona nakuelezea wale wenye shida nakuwaelekeza mganga wakuwasaidia kwa mana bado hajawa kamili.

Na uganga halisi huwezi kulala na familia yako. Hiyo hapana hata ukiuliza watu wengi . Ambao wamekuwaga waganga .

Sijui kwa wale ambao wengi waliupataje huo uganga .
Okay! Kwa hiyo thread hii imetolea ufafanuzi ile thread nyingine ya jamaa aliyepewa uganga mapangani kule Tanga kwenye kamba wengi wa msimu?

Ova
 
Uchawi ni taaluma iliyo mbele ya wakati, ni wakati sahihi sasa wa kuiboresha ili iweze kulinufaisha taifa.

Uchawi unaweza kutumika kusafirisha vitu au watu haraka kuliko chombo chochote ulimwenguni.

Uchawi unaweza kuleta mafanikio ya haraka kwa jambo lolote mfano elimu, biashara, kazi n.k

Uchawi unaweza kumtanguliza mtu kaburini

Kwaharaka haraka utabaini uchawi ni taaluma nzuri inayoweza kuleta mapinduzi makubwa ila wenye shida ni watumiaji wa taaluma husika
Utajiskia vp kwamba mtoto wako,familia yako Au wew utumiwe kukamilisha mambo ya kichawi Au uganga.mfano kutumia mafuta ya watoto.maiti za wapendwa wetu .nk.
Ubaya wake unakuja pale Kwenye vitu wanavyotumia
 
Hiyo hapo orodha ya matajiri wasio amini habari za Mungu wala uchawi.

1. Bill Gates

2. Elon Musk

3.Larry Page

4. Sergey Brin( huyu ni myahudi kiasili)
Hawa ni mafree manson sadaka zao huziwezi jinsi wanavyoishi huwawezi hata ukitaka hakuna kitu free .
Sasa sio watu wanatoa wale wametoa roho zao,na pia familua zao wanajua wanaabudu mashetani gani kwa kila wiki wanajua watavaa nini na kula nini,nawataishije.

Hakuna watu wanaogopeka kama wazungu
 
Hivi gharama za uganga anaezipanga huwa ni KITI au ni ndugu Mganga ?
mganga mwenyewe ni anawakilisha mizimu na majini ila ukiacha mganga kuna huyo kiongozi wa uganga sasa ambaye huitwa kiti huyu ndio hutoa maamuzi ya kila kitu uaguzi,na matibabu.
NDio maana mganga anadai ngoja nikaongee nawazee
 
Back
Top Bottom