Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani aliuanzisha mkuu,...
Wia on ze raiti trakiHayo ni pacha ya
. maendeleo hayana chama.
. Wapinzani wanakwamisha maendeleo. .vita vya uchumi,
.mabeberu,
.nchi hii ni tajiri mno tutembee kifua mbele
.tumeonewa mno
UM MM YO WEWEEEEEUmeanzia kule porini chato mtu akisema uongo kisha anajihami na kibwagizo hicho.
Umeanzia kule porini chato mtu akisema uongo kisha anajihami na kibwagizo hicho.
Tumechezewa vyagutoshaWia on ze raiti traki
Itabaki stori tu kua kuna alikuwepo duniani ambaye alipnga kauli ya JiweHivi siku mtu akijibu "Hapo umesema uongo mzee" patakuwaje hapo pahali?
Lowassa alivyokuwa Waziri Mkuu alijifanya ana style ya kubana watu kwenye mikutano live, alikutana na mjeshi mmoja Mwanza alimpa kubwa live mpaka ikawa aibu kwake mwenyewe Lowassa.Itabaki stori tu kua kuna alikuwepo duniani ambaye alipnga kauli ya Jiwe
Tulikuwa tunakosa connection.Hayo ni pacha ya
. maendeleo hayana chama.
. Wapinzani wanakwamisha maendeleo. .vita vya uchumi,
.mabeberu,
.nchi hii ni tajiri mno tutembee kifua mbele
.tumeonewa mno
Wahenga waje waelezee mana wakat Lowassa ni PM mimi nilikua msingi ila national ya la4 nilishafanya kipindi kile tyr..Lowassa alivyokuwa Waziri Mkuu alijifanya ana style ya kubana watu kwenye mikutano live, alikutana na mjeshi mmoja Mwanza alimpa kubwa live mpaka ikawa aibu kwake mwenyewe Lowassa.
Yule Mjeshi sijui walimfanya nini baada ya pale.
Hapa tunajibizana na wanetu kumbe.Wahenga waje waelezee mana wakat Lowassa ni PM mimi nilikua msingi ila national ya la4 nilishafanya kipindi kile tyr..
Ila itakua walimficha ili heshima irudi.