mtume wawatu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 1,053
- 1,199
Knahitaji moyo kuwaelimisha makuadi na mawakala wa kufubaza akiliinategemeana watazamaji wanaupeo gani
unaweza ukaweka mategemeo kua kichwa cha jogoo kitabeba matofali?
kama ni hawa watoto wanaoimbiwa "yesa yesa yesa yeeh" wawe ndio ma judge basi nash hatosikilizwa
Unaweza ukaijua imani fulani sabna tu lakini usiwe mfuasi wake. Halaf kumbuka pia umri sio kigezo cha kukifahamu kitu kiundani. Itoshe kusema kwamba wewe sio mfuasi wala muumini au mkereketwa wa hiphopNaijua hiphop kuliko hao watoto washamba kina nash sijui niki mbishi.
Najua one and two.
Najua sixteen bars.
Najua freestyle.
Wakati nafanya hayo hao watoto walikuwa wananyonya nafikiri.
Ilikua ndo radio pekee anbayo ilipiga mZiki bila ya upendeleo."Kaka Suma umesomeshwa kwa kodi za wanyonge, tunadai haki yetu unataka tuiombe, hio haiwezekani hata kwa makonde,"
Nyimbo nzima alimsema JK. Free Africa wakaipiga hewani wakapewa onyo kali kwa uchochezi na TCRA, Nash akajiita A.K.A MCHOCHEZI
Kituo kinawezafutwa kabisaKwa upepo wa sasa, sidhani kama kuna radio-presenter yeyote mwenye ujasiri wa kurusha hewani huo wimbo wa 'Beti'. Ni kujitoa mhanga. [emoji16]
-Kaveli-
Mkuu kama sijakoswa linaitwa burjiIle trumpet Kise P ameua sana pia bonge la ujumbe
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Dvjnasmiletz-Bongo hip hop b (ngumu sana mix)
by deejay nasmiletz on hearthis.at | Hardcorehearthis.at
Dah! Leo umenifungua code sikiwahi hisi suma ni JKNash MC ni moja ya maMC Palla Midundo amejivunia.
Alimwambia Kikwete "Oya kaka Suma acha upumbavu wako.." [emoji23][emoji23][emoji23] TCRA wakaruka na Free Africa chapu kwa uchochezi.
Nimemsikiliza pia humo akizungumzia zao la kusini, pia nimefurahi sana kitu inaitwa ADUI..[emoji16][emoji16]
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Same to reggae músicaUpo sahihi Mkuu Mgeni wa Jiji . Possibly. Hip Hop shabaha yake kuu ni kuleta mageuzi na haki katika jamii.
System inafanya kila liwezekanalo mziki huu usipenetrate mindset za wananchi.
Mfano, ushaisikia track ya Maalim Nash iitwayo 'Beti' ? Kama bado hujaisikia, hii hapa isikilize kwa makini:
Wimbo kama huu kamwe hutousikia radioni wala kwenye TV station, bali utausikiliza kwenye social media na mtaani tu like kwenye masaloon, magetoni, n.k.
2pac Shakur aliwahi kusema: "I am not saying I am gonna change the world, but I guarantee that I will spark the brain that will change the world."
Systems (karibia zote duniani) haziko tayari kuruhusu mziki wa hip hop uzalishe 'brains' za kuikosoa serikali katika kuhoji maovu na kusemea haki na usawa kwenye jamii.
Cc: Mkuu mrangi .
-Kaveli-
Hasa ile african bitsNa kiss FM pia ilikuwa fair kwenye airtime kwa wasanii.
-Kaveli-