IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Nakama nachepuka na nyinyi mnachepuka si ndioπππ hapo ndio tunarudi palepale likija suala la talaka mnataka 50/50)Mie siwezi mdhihaki mtu Kisa Nini??
Kama unakera unakerwa
Si watu wanachanga kisha wanakula wenyewe nakuaacha maharusi kama walikuja kuomba mchangoHapana iwe ya budghet
HaaaaWewe umejenga?
Dunia njia ntajengaje?Jenga Kwa maendeleo ya familia Yako
SoSherehe ni mara moja, sasa unataka wajenge kwanza ndiyo waje kufanya sherehe ya ndoa? Uliona wapi ndoa yenyewe unapewa cheti kabla hujayaishi hayo maisha acha wafurahie harusi.
Hiyo ni hadithi ya kusadikika, binafsi nimeoa huko ulikotaja na wakati ninaoa sikuwa na kiwanja achilia nyumba ndo usiseme.Wamasai , waarusha , wameru , wachagga wakupi msichana wao kama Huna nyumba kabisa fanya research maana kama Huna nyumba unawezaje kulipia mahari hata ng'ombe mmoja ??
Fanya tafiti wanawake wa kaskazini hawanaga time na wanaume wasiojielewa kama utamkuta anao huyo sio ukoo pure meaning mama mfipa , baba mwarusha lazima mtoto aisiwe Masai og ila kama ni wakaskazini Kwa kaskazini tumeona huchukui msichana hivi hivi
Hata hapa Unique Flower hawezi kukuelewa bado πHiyo ni hadithi ya kusadikika, binafsi nimeoa huko ulikotaja na wakati ninaoa sikuwa na kiwanja achilia nyumba ndo usiseme.
Kuna mtu ni muajiriwa either serikalini au kampuni flani, unataka kila anakoenda awe na nyumba yake asipange?. Hilo haliwezekani.
Mfano hapa Arusha vijana wenye sifa ya kuoa na wameoa wake zao wenye asili ya hukuhuku wengi wao tuseme zaidi ya 75% hawana nyumba zao wenyewe walizo jenga, ni either amepanga au anaishi kwenye nyumba inayomilikiwa na familia, taasisi, shirika, serikali n.k, wengi wanajenga wakiwa kwenye ndoa, hivyo ni ngumu kwa vijana wadogo hususani walioko mjini kumiliki nyumba kabla hajao ingawa wapo wachache waliojenga kabla ya kuoa.
Ungesema vijijini ni mhimu kuwa na nyumba kwa kijana kabla ya kuoa hakika hakuna ambaye angeshangaa hilo ila mijini nimezunguka karibu karibu Tanzania yote lakini vijana wengi wa mijini wanaanzia maisha kwenye nyumba za kupanga.
Ukiwa kijijini, ni ngumu kwa kijana ambaye hajaoa amiliki gari kabla ya kujenga nyumba lakini kwa mjini kuwa na gari kabla ya kuitwa baba mwenye nyumba ni suala kawaida sana.
Haya ilasio Og hupewi mkeHiyo ni hadithi ya kusadikika, binafsi nimeoa huko ulikotaja na wakati ninaoa sikuwa na kiwanja achilia nyumba ndo usiseme.
Kuna mtu ni muajiriwa either serikalini au kampuni flani, unataka kila anakoenda awe na nyumba yake asipange?. Hilo haliwezekani.
Mfano hapa Arusha vijana wenye sifa ya kuoa na wameoa wake zao wenye asili ya hukuhuku wengi wao tuseme zaidi ya 75% hawana nyumba zao wenyewe walizo jenga, ni either amepanga au anaishi kwenye nyumba inayomilikiwa na familia, taasisi, shirika, serikali n.k, wengi wanajenga wakiwa kwenye ndoa, hivyo ni ngumu kwa vijana wadogo hususani walioko mjini kumiliki nyumba kabla hajao ingawa wapo wachache waliojenga kabla ya kuoa.
Ungesema vijijini ni mhimu kuwa na nyumba kwa kijana kabla ya kuoa hakika hakuna ambaye angeshangaa hilo ila mijini nimezunguka karibu karibu Tanzania yote lakini vijana wengi wa mijini wanaanzia maisha kwenye nyumba za kupanga.
Ukiwa kijijini, ni ngumu kwa kijana ambaye hajaoa amiliki gari kabla ya kujenga nyumba lakini kwa mjini kuwa na gari kabla ya kuitwa baba mwenye nyumba ni suala kawaida sana.
Mimi ni Landlord ,njoo nikupangishe.Jenga acha kukariri maisha
So what?,mekwambia njoo kwangu tutafunga kwetu unabaki unanikaushia af badae unasema waoaji hawapo
Acha umbea pambana na yako!!Wewe maisha ya watu yanakuhusu Nini? Kikubwa wadumishe upendo wajenge familia imara mengine watazidishiwa.
Wewe umejenga??Jengeni kwanza ndio muoane mtu akifa kwenye nyumba yakupanga mtaishije kama familia iliyokuwa inamtegemea Bora ambao hawana hela Sasa sherehe kubwa unapanga makubwa sherehe iwe ya budget kama Huna Pango hela zingine nunueni uwanja mjengee hii ni aibu
Umejengaa sasa??Mie sio mwanaume nisubiri kuoa mie joke sisubiri kuoa naolewa
hapo sawa nimekuelewa vizuri,,,ntalifanyia kaziJengeni kwanza ndio muoane mtu akifa kwenye nyumba yakupanga mtaishije kama familia iliyokuwa inamtegemea Bora ambao hawana hela Sasa sherehe kubwa unapanga makubwa sherehe iwe ya budget kama Huna Pango hela zingine nunueni uwanja mjengee hii ni aibu
Msipange mkiolewa muingie kwenye nyumba yenu na mumeosasa unataka sisi tufanye nini π€·ββοΈπ€·ββοΈ
Wee fanyia kazi kwanza mpango wa de liboloz nyumba atajenga mwenye de libolozhapo sawa nimekuelewa vizuri,,,ntalifanyia kazi
ndo inabidi nitafute aliyejenga tayariWee fanyia kazi kwanza mpango wa de liboloz nyumba atajenga mwenye de liboloz
Hapo unatumia akili sasando inabidi nitafute aliyejenga tayari