Nashangaa niliwezaje kujenga kipindi cha Hayati Magufuli lakini awamu ya sita najaribu mambo hayasomeki

Nashangaa niliwezaje kujenga kipindi cha Hayati Magufuli lakini awamu ya sita najaribu mambo hayasomeki

Kipindi cha Magu mchele kilo iliku 2000 sasahivi 3500, kama mnakula kilo kwa siku means imeongezeka 1500 mara siku 30.

Maharage kio ilikua 2000 sasa 4500. Petrol imepanda, vifurushi vimepanda, sabuni ya jamaa tulinunua mchi 2500 sasa 3700, tambi 1200 sasa 1700.

Nyama ilikua 7000 kilo sasa 10000. Sasa jumlisha hili ongezeko kwa wiki then kwa mwezi utapata sio chini ya laki tatu. Maisha yamepanda wakati vipato havijapanda. Hapo hujaangalia vifaa vya ujenzi
 
ila week hii kuna mbinu naztumia za ku quit ile overspending naimani ni tabia zangu ndo zina cost japo kweli nowdays Nina kafamilia ila sio cha kunichakaza million aisee..pumb
Kuanzia wiki hii nimeanza km wewe Ni mwendo wa kuminya matumizi mpk end of year Bila hhivyo tunamaliza mwaka patupu...Ni mwendo wa savings tu
 
Kuanzia wiki hii nimeanza km wewe Ni mwendo wa kuminya matumizi mpk end of year Bila hhivyo tunamaliza mwaka patupu...Ni mwendo wa savings tu
Mimi aisee wajomba wanisamehe habari za nitumie 20000 hapo sijui blah blah wanisamehe now Nina wadau watatu tu mama,bibi Na babu Na mama Mkwe kizaa chema hao 10000,10000 zangu wataziona...kampani ya pombe wanisamehe kwa kweli.

Mshahara wa jana umetoka nikalipa madeni karibia laki mbili nyingine nikaenda sokoni nishanunua mchele unga Na mafuta iliyobaki nanuna ukinigusa tu Sina..nishaona watu ukiwaendekeza sana utafail kila MTU ajitegemee JKT
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Usiwe Mwenye huruma sana kupitiliza SAA ya kuumia ukinasa umefulia uchungu moyoni unakushika wewe peke yako
Kuanzia wiki hii nimeanza km wewe Ni mwendo wa kuminya matumizi mpk end of year Bila hhivyo tunamaliza mwaka patupu...Ni mwendo wa savings tu
 
Mimi aisee wajomba wanisamehe habari za nitumie 20000 hapo sijui blah blah wanisamehe now Nina wadau watatu tu mama,bibi Na babu Na mama Mkwe kizaa chema hao 10000,10000 zangu wataziona...
Na wewe ndo mkubwa
 
Mimi pia kipind cha Magufuli niliweza kujenga ila pia nilifunga branch zangu tatu nikabaki na ile Main but kitu ilinifunza ni kuwa duka moja linaweza fanya vzr kuliko maduka mengi ambayo yanaweza kuwa yanakukula
 
Wanasema riziki zao zinapitia kwako
Aisee inawezekana ikawa kweli yaan Kuna muda najisemea kwann sifirisiki kwa vipanga Kama hivi but finally najikuta nipo sawa
 
Dah aisee upo km Mimi awamu ya magufuli nilikuwa nakiduka cha reja reja mtaani nilifanikiwa mpaka kujenga kinyumba kidogo japo nilikuwa nakiwanja tayari, awamu ya sita nimepata kazi nzuri alhamdulillah sikosi M2 per month lakini hakuna la maana inaishia kuwa Na mipango mingi kichwani hela inapotea kama mshale ila week hii kuna mbinu naztumia za ku quit ile overspending naimani ni tabia zangu ndo zina cost japo kweli nowdays Nina kafamilia ila sio cha kunichakaza million aisee. Pumbaf pombe pumbavu Malaya hamnipati tenaaaa
Sasa mbona huwa unakula vyakula vya hovyo sana?
 
Kipindi cha Magufuli cha awamu ya tano pamoja na madili kuwa magumi lakini kilichopatikana kilifaa hadi nikajenga nyumba si haba Nashukuru Mungu.
we mpambe nuksi tu huna lolote. Kamfuate chato kwenye nyumba yake ya milele. Umeweka tako kwa shemeji eti nilijenga. Poyoyo huwezi jenga hata hoja
 
Dah aisee upo km Mimi awamu ya magufuli nilikuwa nakiduka cha reja reja mtaani nilifanikiwa mpaka kujenga kinyumba kidogo japo nilikuwa nakiwanja tayari, awamu ya sita nimepata kazi nzuri alhamdulillah sikosi M2 per month lakini hakuna la maana inaishia kuwa Na mipango mingi kichwani hela inapotea kama mshale ila week hii kuna mbinu nazitumia za ku quit ile overspending naimani ni tabia zangu ndo zina cost japo kweli nowdays Nina kafamilia ila sio cha kunichakaza million aisee. Pumbaf pombe pumbavu Malaya hamnipati tenaaaa
Unafuata hii kanuni ya kusevu 20% ya hiyo milioni kila mwezi mkuu?
 
Unafuata hii kanuni ya kusevu 20% ya hiyo milioni kila mwezi mkuu?
Aah wapi mkuu mambo online yanasemekana ila ingia field baba sio poa..sema nashukuru kakibanda kengine nimeanza nacho mdogo mdogo
 
Back
Top Bottom