Nashangaa waliofurahi Dkt. Dorothy Gwajima kuondolewa Wizara ya Afya

Nashangaa waliofurahi Dkt. Dorothy Gwajima kuondolewa Wizara ya Afya

NDUGU ZANGU, TUACHE PROPAGANDA ZA MITANDAONI KUCHAFUA WATU NA KUJADILI WATU, TUUNGANE PAMOJA KUPAMBANA NA HALI YA UKATILI NCHINI KUPITIA JUKWAA HURU LA SMAUJATA UWE SHUJAA WA JAMII HALISI,

JIUNGE NA WATANZANIA WENGI WALIOJIUNGA KATIKA KAMPENI HURU YA KUPINGA NA KUTOKOMEZA UKATILI NCHINI.

Chini ya Mwenyekiti wake

~ Sospter Mosewe Bulugu

KATAA UKATILI, WEWE NI SHUJAA 💪🏾*
*(Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii Tanzania (SMAUJATA)
 
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara Afya.

Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa hata Rais, Makamu au Waziri Mkuu.

Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.

The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.

Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.

Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.

Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.

Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.

Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.

Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu Wizara ya Afya.

You people deserve what you get

Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.

I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Mayor ache kuiongopea jamiii ya watanzania wazalendo chakufanya wewe pambana na ukatilii ili jamiii yako au yetu Iwe salama
IMG-20220929-WA0044.jpg
 
Naongezea, akumbukwe kwa mchango wake uliotukuka katika vita dhidi ya corona. Sijui ni nini kilimkuta mpaka akayaacha haya mapambano katikati 🐒

View attachment 2371152View attachment 2371153View attachment 2371154
View attachment 2371160View attachment 2371156

mnasema eti ni waziri mzuri .hahahahahah

msomi gani unajifukiza bila ya kuwa na research kujua kama kujifukiza kunasaidia? msomi gani ulazimisha chanjo uya coronona wakati unajua kuwa chanjo bado iko kwenye clinical trial ? acheni kusi
 
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara Afya.

Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa hata Rais, Makamu au Waziri Mkuu.

Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.

The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.

Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.

Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.

Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.

Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.

Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.

Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu Wizara ya Afya.

You people deserve what you get

Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.

I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Kwakwel waziri wetu Dorothy Gwajima amefanya mengi makuu, anastahili pongez na mnao furahia sidhan Kama mna uelewa mpana zaidi,but all in all kabla ya kutoa kibanzi katika jicho la mwenzio tizama lako kwanza
 
mnasema eti ni waziri mzuri .hahahahahah

msomi gani unajifukiza bila ya kuwa na research kujua kama kujifukiza kunasaidia? msomi gani ulazimisha chanjo uya coronona wakati unajua kuwa chanjo bado iko kwenye clinical trial ? acheni kusi
Wizara ya Afya ina kitengo maalumu kabisa cha TIBA ASILIA na kina Mkurugenzi wake na analipwa mshahara na marupurupu yote ya serikali. Be informed
 
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara Afya.

Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa hata Rais, Makamu au Waziri Mkuu.

Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.

The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.

Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.

Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.

Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.

Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.

Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.

Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu Wizara ya Afya.

You people deserve what you get

Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.

I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
mm si chawa lakini naunga mkono watu wateuliwe kutokana na profession zao hata kama si gwajima lkn awe na taaluma hiyo.ni rahisi kwa watendaji wa chini kumislead kiongozi wa juu kama hana taaluma husika.
 
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara Afya.

Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa hata Rais, Makamu au Waziri Mkuu.

Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.

The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.

Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.

Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.

Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.

Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.

Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.

Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu Wizara ya Afya.

You people deserve what you get

Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.

I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Baada ya kubainika madiudu yake kakulipa kiasi uje hapa jukwaani kumtetea wewe mnufaika wake? Hivi hukumwelewa Askofu Josephat Gwajima alipomsimamisha baba yake na kumhoji kama anamkubali mkwe wake na alijibuje?

Yaani huyo unaye mtetea kwa usanii ndio angesaidia? Muda aliokaa wiara si angekuwa ameshasaidia sana!!! tena bahati yake ilikuwa atemwe mazima na huenda huko mbeleni akatupwa nje ya dirisha kabisa
 
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara Afya.

Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa hata Rais, Makamu au Waziri Mkuu.

Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.

The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.

Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.

Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.

Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.

Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.

Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.

Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu Wizara ya Afya.

You people deserve what you get

Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.

I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Mmhh?!! Mbona Leo!!??
 
Ummy nadhani ana godfather kwenye system ila hana sifa ya uwaziri.
Ile nafasi na nafasi yyte ya waziri ni nafasi ya kisiasa, hata darasa la saba anayejua kuongea, kumsikiliza aliemteua anataka nini basi anaweza kushika nafasi hii. Wewe na usomi wako kwa katiba hii kama huwezi kusikiliza mamlaka inataka nn na sera zake basi ujue utaonekana hufai katika hiyo nafasi.
 
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara Afya.

Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa hata Rais, Makamu au Waziri Mkuu.

Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.

The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.

Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.

Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.

Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.

Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.

Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.

Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu Wizara ya Afya.

You people deserve what you get

Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.

I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Je amekutuma ulete uzi hapa?!
Muulize mwenye kuwaweka!!
 
Go hang, ungejua watu tulivyokuwa tumemchoka yule Koko sura ya kuku kienyeji na mdomo mchafu usingesema lolote!
Ummy bin Mama Korona hata sura na presentation yake inatufanya tunapata matumaini! Good riddance, Dorothy sura kama mume wake na Kipara akawasaidie watu wa kwao huko kwa wanyiramba! [emoji91]
Matusi ya nini wewe kuhusu kiumbe alichoumba Mwenyezi Mungu?! Wewe ni mkamilifu?!
 
Turejee kwenye mada:
Mleta mada umelalamika zaidi, nilitegemea ujenge hoja za kuwatofautisha kiutendaji kuliko ulivyowasilisha.

Tuletee hoja 1, 2, 3 nk... kwa mifano hai (natambau ipo) kwa nini Dr. Gwajima alifaa kupewa muda zaidi kuijenga sekta ya afya.

Ila kiuhalisia, ukiachana na mapungufu yake kuna jambo moja aliliweka sawa kwenye sekta ya afya ambalo sasa limeanza kurudi nyuma nalo ni, "UWAJIBIKAJI WA WATUMISHI."

Na ndio maana walimchukia, nawajua watumishi wa umma wanapenda viongozi "Laissez-faire." Sasa hivi huduma zimekuwa za hovyo sana, tumerudi nyuma na wizara inapaswa kujitafakari na kutengeneza mfumo kama ambao alikuwa anauweka Dr. Gwajima wa kuwadhibiti watumishi japokuwa uliuma!

....
 
Nadhani huyu Hajuwi tafauti kati ya uongozi na utaalamu wa mifupa.

Sio kila Dakitari au muuguzi anaweza kuongoza.

"UONGOZI NI FANI MAALUMU"

mwambie Gwajima aliyekutuma
 
Hivi mnajua kama kuna kitengo cha tiba asili cha wizara chenye mkurugenzi msaidizi eneo husika na baraza la tiba asili na sheria ya bunge? Na wanalipwa mshahara kabisa wa Kodi za wananchi? Na kama kujifukiza huyo Dorothy Gwajima alijifukiza dawa za kujifukiza za taaluma ya tiba asili iliyop kisheria. Na hyo ndiyo ulikuwa msimamo wa serikali kutumia dawa za tiba asili ambazo zipo kisheria. Sasa shida ya Waziri hapo nini kama siyo shida yenu wenye sheria na taaluma na baraza? Yeye alitoa mfano tu jinsi gani mfanye.
Hata kama kuna kitengo cha tiba asili bado huwezi ku-advocate tiba asili huku uki-discredit maelezo ya kitalaamu!!

Steaming aliyokuwa anaia-advocate HAIUI virus, na wala sio kinga bali una matatizo ya kupumua, steaming inasaidia "kusafisha njia" ya upumuaji!

Na ninaposema matatizo ya kupumua, simaanishi just COVID-19 kama ambavyo akina Dr. Gwajima walibadilisha neno COVID-19 na kututaka tuite eti ni changamoto ya kupumua!!
 
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara Afya.

Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa hata Rais, Makamu au Waziri Mkuu.

Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.

The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.

Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.

Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.

Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.

Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.

Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.

Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu Wizara ya Afya.

You people deserve what you get

Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.

I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Haaminiki tena watanzania wenye akili zetu tuligundua hafai wakati wa awamu ya kujipendekeza awamu ya 5 kwakifupi hafai kuwa kiongozi kabisaaaaaa!!!!

Mtaalamu gani alishiriki kuudanganya umma wa watanzania akiwa na yule zuzu mwingine wa kimasai alie fukuzwa kule akakimbilia huko

Seriously unamtetea mtaalamu muongo unajua kuwa mtaalamu muongo ni muuaji hafai kabisa Toyota Corona tu alitudanganya je ikija Toyota Carina si atatuua kabisa yule hafai kuongoza hata hospitali ya kata
 
Tozo issue atukatai zinaleta hasira. Maumivu zaidi ni kuona wahusika wenyewe ni watu ovyo wanatuongezea maumivu,

Binanfsi kwangu Dorothy Gwajima wizara ambazo anatosha ni nyingi sana.

People like Ummy Mwalimu (huyu ananikera kama waziri wa afya tu nyingine yoyote couldn’t care), kama iivyo kwa Makamba, Nape, Mwigulu, Bashe na wengine wote wa ovyo ndio hali.
Mbona kuandika tu hujui?
 
Back
Top Bottom