Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Udini ni umasikini na ujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nawe nyoko zako .... Umeona hilo tu .....Subiri waislamu waje watasema wametengwa kwa sababu wameona alama ya msalaba hapo kwenye jezi?
CC Zero IQ
Wakimaliza malalamiko ya misalaba watakuja mbona zina rangi za yanga?Bila kupoteza muda
Kuna jezi inayosambaa mitandaoni ambayo wengi wa mashabiki wa soka haswa kutoka upande wa pili wa waislam wamelalamikia kuwa inayo alama ya msalaba......lakini mpaka sasa naona TFF wala hile kamati pendwa ya kusaidia stars kuwapiga uganda 5-0 hawajaongea kitu kutoa maelezo......
Sidhani kama ni kitu kizuri, zaidi zaidi itasaidia kuwagawa mashabiki kwenye misingi ya dini wakati timu ni yetu sote.
Na hata kama ni uzushi nadhani unastahili kupingwa maana unazidi kuzagaa mitandaoni ambako ndio habari zinasambaa haraka.
Kila la heri stars
View attachment 1052088View attachment 1052089
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisms kilikuwa cha utani nashangaa imekuwa mjadalaWe nawe nyoko zako .... Umeona hilo tu .....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji6][emoji1][emoji1][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenichekesha sana ni kama unamwita Dada yangu ......... aje
Sitaki kumtaja hata jina maana najua kiwango chake cha ligi sio cha nchi hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni shambulio dhidi ya ndugu zetu waislam. Haiwezekani jezi ya team ya taufa ikawekwa msalaba wakati hii nchi sio ya dini flaniHivi kwanini watu mnakosa uzalendo,yaani huo kwenu ni msalaba?
Hatutaki msalaba kwenye team ya taifa bora tuishabikie uganda kama ni hiviUkiwa mdini utaona ni msalaba! Hovyo sana
Punguza jazba wewe mlokoleHao wanaoneza hizo propanda wanatakiwa wawe lupango...n upumbav@ uliopita maelezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni msalaba? Kwanini usifikirie hivyo vyumba vya pembeni kuwa ni mstatili na mraba ukafikiria msalaba.Hili ni shambulio dhidi ya ndugu zetu waislam. Haiwezekani jezi ya team ya taufa ikawekwa msalaba wakati hii nchi sio ya dini flani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani umelazimishwa uvae? mbona jezi za barca na ac milan mnavaa na bado zina hio alama
Msalaba wanaotumia wakristo ni lazima uwe na Mchoro wa mtu alietundikwa ambae ni yesu...WAKRISTO WANAOONA HUO SIO MSALABA WATULETEE MSALABA WAO ULIVYO...KUKANUA HILO...?
Sent using Jamii Forums mobile app