si zungumzii dini ila alama ya kujumlisha hua inagawa semu mbili za kufanana na sio kma msalaba kuwa sehemu ya chuni kua kubwaYaani watu ni kujihisia tu.Nani aliwaambia huo ni msalaba?What if ni alama ya kujumlisha tu.Mbona mkiwa mnafanya hesabu za kujumlisha hamkuwahi kulalamika kuwa ni msalaba?
Hahahaha Daaaah umenikumbusha Mbali kweli jezi ya AC Milan kifuani hapa kwenye moyo ina alama ya kujumlisha na wanavaa hawajawahi isusaUnakuta anaeikataa hii jezi ya Taifa starz anavaa Jezi ya Barcelona au Ac milan..
Na huyo mzee mpumbavu aliyezungumzwa ni Amunike! Ubarikiwe sana mtumishi kwa neno zuriHii mechi tukifungwa Itapendeza sana
MHUBIRI 4:13 SUV
"Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu. ambaye hajui tena kupokea maonyo."
Wee kwa akili hicho ni kitu gani?Hivi kwanini watu mnakosa uzalendo,yaani huo kwenu ni msalaba?
Ni wajinga tu wanaoaminu kuwa ule ni msalaba unaotumiwa na wakristo wakati Yesu hayupo paleHahahaha Daaaah umenikumbusha Mbali kweli jezi ya AC Milan kifuani hapa kwenye moyo ina alama ya kujumlisha na wanavaa hawajawahi isusa
Sent using Jamii Forums mobile app
You clumsy little foolMbona ambulance zina msalaba na bado mnazitumia nyie wafuasi wa mudy
Sent using Jamii Forums mobile app
Niwakumbushe tu kwa Waislam ni haram kuvaa jezi hii na ni bora wakajiweka mbali nayo