Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,996
- 6,290
Waweke ya mwezi na nyota itapendezaWakuu habari inayosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii ni uzembe wa TFF kuja na aina ya jezi ambayo ina msalaba ndani yake.
Suala hili si la kufanyia mzaha na linaweza kuligawa taifa pamoja na kurejesha nyuma morali na hamasa ya kuishangilia Taifa Stars.
Tanzania haina dini hivyo kuingiza alama ya dini fulani katika Taasisi ya kitaifa sio tu ni kitendo cha kizembe bali ni hatari kwa mustakbali mzima wa amani ya nchi yetu.
View attachment 1052174
Ni haramu kwa kuwa zina alama ya ukristo ndugu
Ufinyu wa mawazo ni kulalamikia kitu ambacho hakina madhara kama pattern kwenye nguo...sijui hata mna akili gani nyie watuSawa, ila linapokuja suala hili ni tofauti. Bulance ni universal symbol. Pia ya ambulance niwatu wameamua tu kuihusisha na msalaba ila sio msalaba ule. Pande zote kiurefu ziko sawa na zinakutana katikati. Hapa upande wa juu umesogea sana juu. Mkuu, kama kulikuwa njia ya kuepuka hili wasingeweka huo 'msalaba'. Najua hawakukusidia ila wana ufinyu wa mawazo.
Hua yanaitwa Msalaba mwekundu au ni alama ya kujumlisha nyekundu?Magari ya wagonjwa yana alama ya jumlisha na si msalaba . Tofautisheni + na msalaba. Huo ni msalaba.
Mi sina shida na huo msalaba ila hiyo jezi hata kama mtu umkristo yaani haivutii hata kidogo
Ha ha ha, wanachuja mbu na kumeza ngamia!Naomba kuuliza iv waislam wana utambua msalaba? sasa kama wewe ni mwislam msalaba una kuhusu nini wewe vaa tishet, msalaba waachie wanao utambuwa wewe haukuhusu, hamna dogo wala kubwa nyie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rangi Nyeupe Ya Nini Wakati Rangi Za Taifa Zipo(brand National Colours). Ingependeza Zaidi Blue Na Njano, Nyeusi Na Kijani Au Njano Na Kijani. Huo Weupe Hauleti Maana Kitaifa
yn kaongea pumba kweli
Kama huoni faida ukiivaa je umewezaje kuona hasara yake kama ukiivaa?sijui nduguzanguni wakristo mnajisikia faraja gani kutaka kuwavalisha watu wengine msalaba,mimi sioni hata hiyo faida itakayopatikana iwapo mbwana samata kwa mfano atavaa hizo sare,lakini sioni logic ya aliebuni hiyo sare zaidi ya kutafuta maneno ya watu
sijui nduguzanguni wakristo mnajisikia faraja gani kutaka kuwavalisha watu wengine msalaba,mimi sioni hata hiyo faida itakayopatikana iwapo mbwana samata kwa mfano atavaa hizo sare,lakini sioni logic ya aliebuni hiyo sare zaidi ya kutafuta maneno ya watu
Aliye design hiyo jezi ni kilaza na hao Tff walioiangalia kwa mara ya kwanza wakakubari itumike kama jezi ya Taifa pia vilaza
Na hapo ndio linapitaka jibu kuwa IQ ya watanzani ni ndogo kuliko nchi zote duniani
Approximately TZ IQ ni 0.0000000001
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliye design hiyo jezi ni kilaza na hao Tff walioiangalia kwa mara ya kwanza wakakubari itumike kama jezi ya Taifa pia vilaza
Na hapo ndio linapitaka jibu kuwa IQ ya watanzani ni ndogo kuliko nchi zote duniani
Approximately TZ IQ ni 0.0000000001
Sent using Jamii Forums mobile app
sioni faida inayopatikana kwa kuwafisha watu tshirt ya msalaba,japo ni dalili mbaya kwelikweli kuhusu bongo za watu walio order hizi tshirtMe naona sisi ndo tumetafsiri msalabaa na sio mtu aliyebuni izo jezi, usikute aliyebuni izo jezi yy aliweka kama kuongeza nakshi tu jezi ipendeze, iyo point ya msalaba naona haina mashiko, then mbona magari ya msalaba mwekundu hayapigwi marufuku kama ni udini?
Sio Kila Alama ya cross ni msalaba. Tukatae basi na alama ya jumlisha. Barbara nyingi zina Katisha Alama za msalaba Nazo tusipite hapo. Maisha halisi sio hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna baadhi ya watu wanakosoa jezi hii Mpya ya Taifa Star je kwa mtazamo wako kosa lipo wapi?View attachment 1051907
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uzi ngoja niuunganishe na ile thread yangu ya utumwa katika picha, maana tumetekwa akili kiasi hata alama ya kujumlisha mnaanza kuita msalabaThe Cranes piga wavaa misalaba hao!