Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Status
Not open for further replies.
Wakuu habari inayosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii ni uzembe wa TFF kuja na aina ya jezi ambayo ina msalaba ndani yake.

Suala hili si la kufanyia mzaha na linaweza kuligawa taifa pamoja na kurejesha nyuma morali na hamasa ya kuishangilia Taifa Stars.

Tanzania haina dini hivyo kuingiza alama ya dini fulani katika Taasisi ya kitaifa sio tu ni kitendo cha kizembe bali ni hatari kwa mustakbali mzima wa amani ya nchi yetu.

View attachment 1052174
Waweke ya mwezi na nyota itapendeza
 
sijui nduguzanguni wakristo mnajisikia faraja gani kutaka kuwavalisha watu wengine msalaba,mimi sioni hata hiyo faida itakayopatikana iwapo mbwana samata kwa mfano atavaa hizo sare,lakini sioni logic ya aliebuni hiyo sare zaidi ya kutafuta maneno ya watu
 
Sawa, ila linapokuja suala hili ni tofauti. Bulance ni universal symbol. Pia ya ambulance niwatu wameamua tu kuihusisha na msalaba ila sio msalaba ule. Pande zote kiurefu ziko sawa na zinakutana katikati. Hapa upande wa juu umesogea sana juu. Mkuu, kama kulikuwa njia ya kuepuka hili wasingeweka huo 'msalaba'. Najua hawakukusidia ila wana ufinyu wa mawazo.
Ufinyu wa mawazo ni kulalamikia kitu ambacho hakina madhara kama pattern kwenye nguo...sijui hata mna akili gani nyie watu
 
sijui nduguzanguni wakristo mnajisikia faraja gani kutaka kuwavalisha watu wengine msalaba,mimi sioni hata hiyo faida itakayopatikana iwapo mbwana samata kwa mfano atavaa hizo sare,lakini sioni logic ya aliebuni hiyo sare zaidi ya kutafuta maneno ya watu
Kama huoni faida ukiivaa je umewezaje kuona hasara yake kama ukiivaa?

Sent using unknown device
 
sijui nduguzanguni wakristo mnajisikia faraja gani kutaka kuwavalisha watu wengine msalaba,mimi sioni hata hiyo faida itakayopatikana iwapo mbwana samata kwa mfano atavaa hizo sare,lakini sioni logic ya aliebuni hiyo sare zaidi ya kutafuta maneno ya watu

Me naona sisi ndo tumetafsiri msalabaa na sio mtu aliyebuni izo jezi, usikute aliyebuni izo jezi yy aliweka kama kuongeza nakshi tu jezi ipendeze, iyo point ya msalaba naona haina mashiko, then mbona magari ya msalaba mwekundu hayapigwi marufuku kama ni udini?
 
Jezi zina utata tayari si ajabu zisivaliwe kwani baadhi wameshaanza kuzipiga vita.

Aliye design hiyo jezi ni kilaza na hao Tff walioiangalia kwa mara ya kwanza wakakubari itumike kama jezi ya Taifa pia vilaza

Na hapo ndio linapitaka jibu kuwa IQ ya watanzani ni ndogo kuliko nchi zote duniani
Approximately TZ IQ ni 0.0000000001

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me naona sisi ndo tumetafsiri msalabaa na sio mtu aliyebuni izo jezi, usikute aliyebuni izo jezi yy aliweka kama kuongeza nakshi tu jezi ipendeze, iyo point ya msalaba naona haina mashiko, then mbona magari ya msalaba mwekundu hayapigwi marufuku kama ni udini?
sioni faida inayopatikana kwa kuwafisha watu tshirt ya msalaba,japo ni dalili mbaya kwelikweli kuhusu bongo za watu walio order hizi tshirt
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom