[emoji16][emoji16] ndo tulipofikia mkuu watu wanahoji mbona barcelona ipo hiyo alama lkn watu hawaongei.Vipi kama iyo ni alama ya kujumlisha na sio msalaba!!!...Akili zingine minyoo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli naona nchi yetu imeanza kuwa tofauti na jinsi ilivyokua miaka ya nyuma, yani inafika muda watu wanatafuta pointi ndogo/kubwa kuanzisha taharuki katika jamii.
Nimepita katika mitandao ya kijamii watu wamekasirika na kutuhumu kuwa taifa linagawanywa kidini kwa sababu ya alama ya msalaba iliyo katika jezi ya timu ya taifa.
Kama nchi tumefikia hatua ya kuanza kugawana namna hii? Hii chuki imeanzia wapi maana inafikia watu wanatoa maoni kuwa kesho ni Msalaba 0- Uganda 4
Tanzania inaelekea wapi aisee?
View attachment 1052312
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia makalio kufikiri mkuu!?Mbona ambulance zina msalaba na bado mnazitumia nyie wafuasi wa mudy
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakitoka hapo wakatae kwenda shule(maana zimeletwa na makafiri)Unaweza shangaa mtoa mada ni shabiki wa Man u anavaa bila shida jezi ya mashetani wekundu wenye msalaba, mkitoka hapo hamieni kwenye ambulance..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushenzi wako ni kusambaza ujumbe wa kishenzi na kipumbavu ili washenzi wenzio waendeleee kufahamu zaid
Jezi imepambwa utadhani nyumba ya muhindi sivai mimi
Na iyo jumlisha inamaanisha nini kwanza,tuanzie hapoVipi kama iyo ni alama ya kujumlisha na sio msalaba!!!...Akili zingine minyoo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila amber ruty na mumewe ni waislamu ujue na mambo yao mumeyaruhusuNiwakumbushe tu kwa Waislam ni haram kuvaa jezi hii na ni bora wakajiweka mbali nayo
Wapumbavu tu ndio wana muda wa ku debate kuhusiana na hii jezi, hata muislamu mwenye akili zake timamu anayeijua vyema dini yake hawezi kupoteza muda kuhoji stupid stuff kama hizi, ni wale waislam wa uswahilini wenye majungu majungu ndio wanaoibua hoja za kijinga namna hii! Nonsense!Wakuu habari inayosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii ni uzembe wa TFF kuja na aina ya jezi ambayo ina msalaba ndani yake.
Suala hili si la kufanyia mzaha na linaweza kuligawa taifa pamoja na kurejesha nyuma morali na hamasa ya kuishangilia Taifa Stars.
Tanzania haina dini hivyo kuingiza alama ya dini fulani katika Taasisi ya kitaifa sio tu ni kitendo cha kizembe bali ni hatari kwa mustakbali mzima wa amani ya nchi yetu.
View attachment 1052174
Watengeneze na kanzu basiNiwakumbushe tu kwa Waislam ni haram kuvaa jezi hii na ni bora wakajiweka mbali nayo
Yaani kwa akili kama hizi watu watasema hata hisabati hawasomi eti kuna alama ya msalaba(+) ubaradhuli mtupuVipi kama iyo ni alama ya kujumlisha na sio msalaba!!!...Akili zingine minyoo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app