Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Status
Not open for further replies.
TFF wakiwa na akili nzuri hizi jezi hazitavaliwa kamwe vinginevyo kutakuwa na viroja uwanjani kuhusu jezi hizi kutoka kwa wapenzi na mashabiki wa Taifa Stars labda wazivae ugenini.

 
Hata isingekua na huo msalaba jezi mbaya hiyo.sijui nani kadizaini
 
Wapumbavu tu ndio wana muda wa ku debate kuhusiana na hii jezi, hata muislamu mwenye akili zake timamu anayeijua vyema dini yake hawezi kupoteza muda kuhoji stupid stuff kama hizi, ni wale muslims wa uswahilini wenye majungu majungu ndio wanaoibua hoja za kijinga namna hii! Nonsense!
 
Wapumbavu tu ndio wana muda wa ku debate kuhusiana na hii jezi, hata muislamu mwenye akili zake timamu anayeijua vyema dini yake hawezi kupoteza muda kuhoji stupid stuff kama hizi, ni wale waislam wa uswahilini wenye majungu majungu ndio wanaoibua hoja za kijinga namna hii! Nonsense!
 
wanahangaika nini kwa kudanganywa na wabunifu uchwara wa kibongo ? mbona sare bongo ni blue na ipo poa hadi wazungu wakija bongo ndio wanaichukulia kama vazi la taifa kuonyesha uzalendo? achilia mbali huo urembo ulio sawa na alama ya kujumlisha !!! hiyo jezi ukivaa hata ukiwa mbali huwezi kujinyambulisha kuwa wewe ni mtanzania haina mvuto wowote zaidi ya marangi mengi yasio na mpangilio. Nani kawadanganya kuwa jezi ya taifa inakuwa na madoido mengi? likine wachangiaji tuache udini
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…