Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Status
Not open for further replies.
Kwakwel mm nimeishia kucheka tu humu mapovu ya kanisa X msikiti.

HIV MNAJUAJE KAMA HIYO NI JEZ YA TAIFA STARS KWA AJIL YA GAME.

HUENDA NI MTU KAJITENGENEZEA KWA AJIL YA KWENDA KUHIJI HUKOO KWA WAKRISTO ISRAEL

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangaa hata mimi wakati jezi feki zipo kibao mitaani watu hujitengenezea tu
 
Kuna baadhi ya watu wanakosoa jezi hii Mpya ya Taifa Star je kwa mtazamo wako kosa lipo wapi?View attachment 1051907

Sent using Jamii Forums mobile app


Positioning
Kuna baadhi ya watu wanakosoa jezi hii Mpya ya Taifa Star je kwa mtazamo wako kosa lipo wapi?View attachment 1051907

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijaona ubunifu hata chembe kwenye hiyo jezi, japo mimi ni Muislam ila sina tatizo na huo Msalaba kwa sababu imani ya Mja ipo Moyoni mwake na siyo kwenye vazi, bali pia vazi ni sehemu muhimu ktk imani ya Mtu kwa hiyo kwa nchi Neutral kama Tanzania kulikuwa hakuna haja ya kuweka alama itakayoleta hisia za imani, siasa au itikadi.
Mara nyingine jitahidi hata kuweka kivuli cha Kilimanjaro+Twiga kifuani, kifua ndiyo sehemu kubwa yenye kuonekana kwa binadamu, hii itasaidia kuutangaza utalii wetu, Rangi nyeupe na blue haziendani vizuri kwenye design, hii ni kwa sababu zote ni rangi zenye kung'aa, rangi hizi hazileti matokeo mazuri zikionekana kwenye Luninga, sina uhakika kama TFF huwa Mnazingatia mambo kama haya.
Pia Jezi ni biashara kubwa sana, tofauti na kuvaliwa na wachezaji jezi inatakiwa ziwe na uwezo wa kuwavutia na kununuliwa na wapenzi/ mashabiki wa timu husika. Bendera ya Taifa na nembo ya TFF hapo zilipokaa juu ya Msalaba/Kujumlisha zimefanya ifanane kama shati yenye mifuko (form six) badala ya T- Shirt ya jezi.
Pamoja na Yote hayo TUJUMUIKE PAMOJA UWANJANI, TUWASHANGILIE WACHEZAJI WA TIMU YETU YA TAIFA, TUWEKE MBALI TOFAUTI ZETU, HII NI ZAMU YETU
 
mkuu ulivyo paniki nimecheka sana, nimemkuta na mwenzako huku mtaani (kijiwe cha kutengeneza pikipiki) kauwasha moto juu ya hii jezi.

kilicho fanya nifurahi sana ni vile namfahamu na tunakula(ga) nae kitimoto

NB. una uhakika upi mleta bandiko ni mkristo, amekuonesha vyeti vyake vya ubatizo
Hivi unajiona ulivyo mtu wa ajabu ajabu?! Huyo mtu ni mwenzangu kivipi?! Kwahiyo kama unakula nae kitimoto, ndo nini?! Wewe jamaa unaonekana ni MDINI! Kimsingi sija-panic ispokuwa maishani mwangu nawachukia sana watu wa aina yako kwa sababu ni watu hatari sana kwa jamii!!! Kwahiyo unaweza kuendelea kujichekesha lakini kwangu mtu kama ni wewe ni very disgusting.
 
Hiyo option nyingine ya golden color na black lazima utasikia imekaa ki Yanga zaidi.
Basi tubadili rangi za bendera yetu maana imekaa ki Yanga zaidi.
 
Kabla ya kuanza kulalamika tujiulize jezi official za timu ya Taifa zipoje, hiki ndio kipindi cha watu kupiga hela sio kila jezi za blue zilizoandikwa Tanzania zinawakilisha timu ya Taifa
 
Hapa kuna "diversion of attention", wanataka watu washughulishwe na kujadili mambo yasiyo na msingi wakati kuna mambo muhimu ya kujadili.
Hizo jezi huenda zimetengenezwa kwa ajili maalum ya biashara kwa watu fulani, hivyo waachwe wahusika wavae hizo jezi.
Waislamu tuwe na hekima tusigombanie huu upuuzi, ikiwa ni kweli hizi ni jezi za taifa basi mtihani kwa wachezaji waislamu ambao hawapendi kuvaa jezii za msalaba na hata wakivaa ni shauri zao. Kuna waislamu aidha ni wachezaji au washabiki wanavaa jezi za timu ambazo zina misalaba.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom