Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Wajaze uwanja kama chanzo cha mapato sioSuala LA msingi nikuhamasisha watu wajaze uwanja,haya mengine hayana tija ktk nchi ambayo haina dini
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajaze uwanja kama chanzo cha mapato sioSuala LA msingi nikuhamasisha watu wajaze uwanja,haya mengine hayana tija ktk nchi ambayo haina dini
Tutolee ujinga wako hapa! Unawajua ma ustadh ww?Mshenz ni wewe.
Inawezekana wewe ndo ulieweka ule msalaba kwenye jezi ukidhani maustadh hatagundua.
Kama kawaida Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu na kesho tutafungwa utake usitake.
Kanisa 0 - 5 Uganda.
Kama hajui hili wala lile kwanini huyo dogo wa kikristo asikojolee biblia? , mkuu unapozungumzia hizi ishu za kidini jaribu kubalance mambo.Ndo tabia zao ku raise hoja za kipumbavu, nakumbuka nikiwa kidato cha nne kuna dogo alikojolea msaafu maeneno ya mbagala jamaa walihamaki wakaenda polisi wakiomba wapewe uyo dogo wamshughulikie, imagine ! Watu wazima kabisa ! Wakat yule dogo hajui hili wala lile, mkuu they are foolish!
Nenda zako Pemba ukahemewe Kisogoni mwarabu koko weeee. Tazama Yeboyebo zako mguuni na Suruali Kimini Manina weee ujinga umewajaa kichwani hakuna lolote shithole kabisa[emoji23][emoji23][emoji16] Maza F◇◇k kama wewe ndo designer wa hiyo jezi pole.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nchi ipo salama mbona mmeweka msalaba peke yake mngeongeza na alama ya tasbih kwenye jezi.Nchi IPO salama na tunapoelekea kuzuri, ni wapuuzi wachache tu wanapost ujinga ujinga tu, Subiri kesho uone kama watanzania hawataishangilia timu yao, nadhani kuna mganda mmoja humu anasambaza huo ujinga.
Mbona zile za logo ya kilevi cha serengeti lager hamkuzilalamikia, afu haohao wachezaji na nyie washabiki mnavaa jezi za yanga na simba zenye logo ya Kilimanjaro lager lakin hamlalamiki, unafiki.sioni faida inayopatikana kwa kuwafisha watu tshirt ya msalaba,japo ni dalili mbaya kwelikweli kuhusu bongo za watu walio order hizi tshirt
Nadhani unataka kuanzisha balaa jingine, naomba ujikite katika mada mkuuHivi uislamu na kukosa elimu ni swa na pete na kidole sio?
Ndo hivo kesho tunapigwa 5 na mganda ili ulie zaidiTutolee ujinga wako hapa! Unawajua ma ustadh ww?
Hakukuwa na sababu ya wao kuweka hio alama japo sijui waliona hataleta chochoko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew nae umeanza kuweka gundu ☹️☹️Mshenz ni wewe.
Inawezekana wewe ndo ulieweka ule msalaba kwenye jezi ukidhani maustadh hatagundua.
Kama kawaida Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu na kesho tutafungwa utake usitake.
Kanisa 0 - 5 Uganda.
Mimi na familia yangu tumenunua jezi za Uganda na tutashabikia Uganda kujiepusha na huu uchochezi wa kidini unaofanywa na TFF.Hapo imekula kwao,ngoja tufike uwanjani tuone mgawanyiko utakavyokuwa
Na kama mimi ni wa bara?Nenda zako Pemba ukahemewe Kisogoni mwarabu koko weeee. Tazama Yeboyebo zako mguuni na Suruali Kimini Manina weee ujinga umewajaa kichwani hakuna lolote shithole kabisa
Mnajumlisha nini uwanjani na mnajua kabisa watanzania hawapendi mahesabu ?Vipi kama iyo ni alama ya kujumlisha na sio msalaba!!!...Akili zingine minyoo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeTFF wameleta uchochezi wa kidini.
Haiwezekani ustaadhi Mbwana Ali Samatta avalishwe hizi sare za kwaya.View attachment 1052339
Sent using Jamii Forums mobile app