Karot
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 1,159
- 1,313
Kuna sehemu Pemba waliigomea gari ya wagonjwa kisa msalaba, mpaka ulitolewa ndo wakaitumia.
]Kupata hakuna kudogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna sehemu Pemba waliigomea gari ya wagonjwa kisa msalaba, mpaka ulitolewa ndo wakaitumia.
Mimi mwenyewe wa simba sijaipenda hii jezi kwasababu imekaa kiyanga yanga basiHv mbona tuna jezi nzuri tu, ingawa mi ni mpenzi wa simba ile jezi ya blue ,nyeusi na njano inafaa kabisa hawa waliobadili ni wapenda hela tu za manunuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajaribu huku kufanya huo upuuzi kama walioufanya pembaKuna sehemu Pemba waliigomea gari ya wagonjwa kisa msalaba, mpaka ulitolewa ndo wakaitumia.
]Kupata hakuna kudogo
Neno "laana" mbona unalitumia kama kweli hupendi alama yakeNeno gani Mkuu
Kuna hesabu zinafanywa au gari zinakatisha mwilini mwa wachezaji?Sio Kila Alama ya cross ni msalaba. Tukatae basi na alama ya jumlisha. Barbara nyingi zina Katisha Alama za msalaba Nazo tusipite hapo. Maisha halisi sio hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Alama ya kujumlisha pembe zoteVipi kama iyo ni alama ya kujumlisha na sio msalaba!!!...Akili zingine minyoo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa matako wamejisahaulisha
Serikali haina dini ila watu wake wana dini! Tanzania haina dini ila watu wake wana dini! Watu walishatahadharisha mapema tu hapa! Haya mambo ya misalaba kwenye jezi ya taifa sinunui hata Kama Mimi ni mkristo! This is not fair and this is our country View attachment 1051778View attachment 1051779
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mama yangu anaingia kivipi wakati hahusiki haya basi mama yangu hana elimu lakini hawezi kumind kisa jezi inaashiria msalaba au alama ya mwezi basi kukata mzizi wa fitina jezi iwekwe picha ya nguruwe..We shoga? Mbona umekazana nikuzungumzie wewe wakati mada sio yako
Humu hata wewe una elimu ya juu ila nataka kujua ya mama yako
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Tena nguruwe aliefanana ukoo wenuSasa mama yangu anaingia kivipi wakati hahusiki haya basi mama yangu hana elimu lakini hawezi kumind kisa jezi inaashiria msalaba au alama ya mwezi basi kukata mzizi wa fitina jezi iwekwe picha ya nguruwe..
Kuna ka ukweli hapa[emoji16]jambo lolote akitia mkono BASHITE basi ujue halina mwisho mwema
Hahahaha...blaza njoo tule nguruwe upate akili...maana unafeli sana...elimu dunia imekupita pembeni...hahahahaTena nguruwe aliefanana ukoo wenu
Mjipange wote mkila mavi kama nguruwe
Sent from my SM-G570F using Tapatalk