Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Punguzo la bia halafu msalaba kwa hiyo tuseme ni coincidence
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguzo la bia halafu msalaba kwa hiyo tuseme ni coincidence
Ungekuwa unanijua sawa maana nina elimu kuliko mnaemtegemea katika ukoo wenuHahahaha...blaza njoo tule nguruwe upate akili...maana unafeli sana...elimu dunia imekupita pembeni...hahahaha
Kwaio na elimu yako yote kuubwa kama unavyojinasibu ndo ukapatwa na jazba baada ya kuona jezi imechorwa kama msalaba..? Sasa hio elimu inakusaidia nini? Maana umeshindwa tofautisha mambo yenye msingi wa kawaida na imani..?Ungekuwa unanijua sawa maana nina elimu kuliko mnaemtegemea katika ukoo wenu
Naongea lugha za kutosha na bado naweza kuwa baba yako wa kambo lakini nimegairi baada ya kuniambia mama yako hana elimu
Nilikuwa nafikiri wakristo wote mna elimu kama mnavyosema sisi hatuna
Hapo mpe pole mama yako kakosa mtu
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Sababu ya kukujibu ni maneno yako kuhusu elimu.Kwaio na elimu yako yote kuubwa kama unavyojinasibu ndo ukapatwa na jazba baada ya kuona jezi imechorwa kama msalaba..? Sasa hio elimu inakusaidia nini? Maana umeshindwa tofautisha mambo yenye msingi wa kawaida na imani..?
Mi nazipenda hizo zenye msalaba maana zimereflect uhalisia kwamba timu ya taifa yenyewe ni msalaba kwetu sisi wapenda sokaMi napendekeza hizi zenye msalaba ziwe special maana zimetokea kukubalika na watanzania wengi sana, kutokana na jinsi ilivyo dizainiwa vizuri pamoja na ile alama ya msalaba
Sent using unknown device
Vipi kama iyo ni alama ya kujumlisha na sio msalaba!!!...Akili zingine minyoo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli naona nchi yetu imeanza kuwa tofauti na jinsi ilivyokua miaka ya nyuma, yani inafika muda watu wanatafuta pointi ndogo/kubwa kuanzisha taharuki katika jamii.
Nimepita katika mitandao ya kijamii watu wamekasirika na kutuhumu kuwa taifa linagawanywa kidini kwa sababu ya alama ya msalaba iliyo katika jezi ya timu ya taifa.
Kama nchi tumefikia hatua ya kuanza kugawana namna hii? Hii chuki imeanzia wapi maana inafikia watu wanatoa maoni kuwa kesho ni Msalaba 0- Uganda 4
Tanzania inaelekea wapi aisee?
View attachment 1052312
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hivyo wengine mapagani wasilazimishe mimambo yao
Nadhani tulipofikia kama nchi hakuitaji calculator kujua kua nchi haiko kama awali..
Mtu kuiombea Uganda ishinde unaweza kumuona yupo organized kama taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
TFF wakiwa na akili nzuri hizi jezi hazitavaliwa kamwe vinginevyo kutakuwa na viroja uwanjani kuhusu jezi hizi kutoka kwa wapenzi na mashabiki wa Taifa Stars labda wazivae ugenini.
Nani kakwambia hizi ni jezi official za Taifa stars? ulimuona mchezaji gani kavaa? yani jezi zitengenezwe uko mtaani kwa mapenzi yao halafu useme za taifa stars...Kiukweli naona nchi yetu imeanza kuwa tofauti na jinsi ilivyokua miaka ya nyuma, yani inafika muda watu wanatafuta pointi ndogo/kubwa kuanzisha taharuki katika jamii.
Nimepita katika mitandao ya kijamii watu wamekasirika na kutuhumu kuwa taifa linagawanywa kidini kwa sababu ya alama ya msalaba iliyo katika jezi ya timu ya taifa.
Kama nchi tumefikia hatua ya kuanza kugawana namna hii? Hii chuki imeanzia wapi maana inafikia watu wanatoa maoni kuwa kesho ni Msalaba 0- Uganda 4
Tanzania inaelekea wapi aisee?
View attachment 1052312
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kama iyo ni alama ya kujumlisha na sio msalaba!!!...Akili zingine minyoo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16] ndo tulipofikia mkuu watu wanahoji mbona barcelona ipo hiyo alama lkn watu hawaongei.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu pili itaonesha kua sisi ni first aid kit kwenye upande wa soka yani tunagawa dozi ambayo tunsitoa kwenye box la msalaba mwekundu, kwa dhana hii tutaweza kufanikisha kuwatoa mchezoni wapinzani hivyo kujipatia ushindi mnonoMi nazipenda hizo zenye msalaba maana zimereflect uhalisia kwamba timu ya taifa yenyewe ni msalaba kwetu sisi wapenda soka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli naona nchi yetu imeanza kuwa tofauti na jinsi ilivyokua miaka ya nyuma, yani inafika muda watu wanatafuta pointi ndogo/kubwa kuanzisha taharuki katika jamii.
Nimepita katika mitandao ya kijamii watu wamekasirika na kutuhumu kuwa taifa linagawanywa kidini kwa sababu ya alama ya msalaba iliyo katika jezi ya timu ya taifa.
Kama nchi tumefikia hatua ya kuanza kugawana namna hii? Hii chuki imeanzia wapi maana inafikia watu wanatoa maoni kuwa kesho ni Msalaba 0- Uganda 4
Tanzania inaelekea wapi aisee?
View attachment 1052312
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli naona nchi yetu imeanza kuwa tofauti na jinsi ilivyokua miaka ya nyuma, yani inafika muda watu wanatafuta pointi ndogo/kubwa kuanzisha taharuki katika jamii.
Nimepita katika mitandao ya kijamii watu wamekasirika na kutuhumu kuwa taifa linagawanywa kidini kwa sababu ya alama ya msalaba iliyo katika jezi ya timu ya taifa.
Kama nchi tumefikia hatua ya kuanza kugawana namna hii? Hii chuki imeanzia wapi maana inafikia watu wanatoa maoni kuwa kesho ni Msalaba 0- Uganda 4
Tanzania inaelekea wapi aisee?
View attachment 1052312
Sent using Jamii Forums mobile app