NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
Pole kwa kuto kuona! VAA MIWANIHuyu aliyeleta uzi huu is an idiot wapi hiyo alama inaonyesha ni msalaba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwa kuto kuona! VAA MIWANIHuyu aliyeleta uzi huu is an idiot wapi hiyo alama inaonyesha ni msalaba
Mkuu kumbe Tanzania bado tunaishi na vichwa vya wendawazimuVipi kama iyo ni alama ya kujumlisha na sio msalaba!!!...Akili zingine minyoo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Jipe subira unapoongea na wanaume, kesho wakivaa hizo jezi utaniruhusu nikuite demu wangu?Nani kakwambia hizi ni jezi official za Taifa stars? ulimuona mchezaji gani kavaa? yani jezi zitengenezwe uko mtaani kwa mapenzi yao halafu useme za taifa stars...
Acha uzwazwa wewe,,, unataka kutuambia uandishi wa msalaba uko sawa na uandishi wa alama ya jumulisha?!!!Vipi kama iyo ni alama ya kujumlisha na sio msalaba!!!...Akili zingine minyoo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejitahidi kuandika japo ni pumberHivi wewe unafikiri alie weka huo msalaba hapo ni juha anajua anachofanya hiyo ni jezi ya taifa alama zinanazotakiwa hapo nizile alama zinazowakilisha taifa hilo liko wazi, hayatufate afya mbaya ya akili tukatae sio msalaba ni alama tu
Sasa niambie alama hiyo inawakilisha nini ktk taifa letou?
Halafu unajitia ujuha kuuliza tanzania inaelekea wapi
Huoni inaelekea ktk MSALABA
Sent using Jamii Forums mobile app
Zisivaliwe kabisaa! Kwani lazima wavae hizo?!!TFF wakiwa na akili nzuri hizi jezi hazitavaliwa kamwe vinginevyo kutakuwa na viroja uwanjani kuhusu jezi hizi kutoka kwa wapenzi na mashabiki wa Taifa Stars labda wazivae ugenini.
Kiukweli naona nchi yetu imeanza kuwa tofauti na jinsi ilivyokua miaka ya nyuma, yani inafika muda watu wanatafuta pointi ndogo/kubwa kuanzisha taharuki katika jamii.
Nimepita katika mitandao ya kijamii watu wamekasirika na kutuhumu kuwa taifa linagawanywa kidini kwa sababu ya alama ya msalaba iliyo katika jezi ya timu ya taifa.
Kama nchi tumefikia hatua ya kuanza kugawana namna hii? Hii chuki imeanzia wapi maana inafikia watu wanatoa maoni kuwa kesho ni Msalaba 0- Uganda 4
Tanzania inaelekea wapi aisee?
View attachment 1052312
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapumbavu tu ndio wana muda wa ku debate kuhusiana na hii jezi, hata muislamu mwenye akili zake timamu anayeijua vyema dini yake hawezi kupoteza muda kuhoji stupid stuff kama hizi, ni wale muslims wa uswahilini wenye majungu majungu ndio wanaoibua hoja za kijinga namna hii! Nonsense!
Quoi!Wapumbavu tu ndio wana muda wa ku debate kuhusiana na hii jezi, hata muislamu mwenye akili zake timamu anayeijua vyema dini yake hawezi kupoteza muda kuhoji stupid stuff kama hizi, ni wale muslims wa uswahilini wenye majungu majungu ndio wanaoibua hoja za kijinga namna hii! Nonsense!
Naongeze MkuuMsalaba 0---- Uganda 3.
Labda tuanzie hapo mkuu!Mnajumlisha nini uwanjani na mnajua kabisa watanzania hawapendi mahesabu ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliokuja na hii maada wapuuzi tu waambieKiukweli naona nchi yetu imeanza kuwa tofauti na jinsi ilivyokua miaka ya nyuma, yani inafika muda watu wanatafuta pointi ndogo/kubwa kuanzisha taharuki katika jamii.
Nimepita katika mitandao ya kijamii watu wamekasirika na kutuhumu kuwa taifa linagawanywa kidini kwa sababu ya alama ya msalaba iliyo katika jezi ya timu ya taifa.
Kama nchi tumefikia hatua ya kuanza kugawana namna hii? Hii chuki imeanzia wapi maana inafikia watu wanatoa maoni kuwa kesho ni Msalaba 0- Uganda 4
Tanzania inaelekea wapi aisee?
View attachment 1052312
Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaida ya (alama ya) msalaba, mstari/mkia wa chini huwa mrefu. Alama ya kujumlisha mistari yake yote iko sawia (+).Vipi kama iyo ni alama ya kujumlisha na sio msalaba!!!...Akili zingine minyoo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaida ya (alama ya) msalaba, mstari/mkia wa chini huwa mrefu. Alama ya kujumlisha mistari yake yote iko sawia (+).Hakuna msalaba wa namna hiyo, hiyo Ni alama ya kujumlisha, Narudia Tena Hakuna msalaba wa hivyooo