Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
Ifungwwe tu
Eti ikishinda pombe nusu bei.upagani mtupu
Eti ikishinda pombe nusu bei.upagani mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waswahili bhna tatizo sana kitu kidogo huwa wanakomaa wala hakina maana.
Msalaba ni nembo rasmi ya kanisa na wakristo hakuna kanisa lolote lisilo na msalaba.
Hakuna alama ya kujumlisha cross yake iko juu, bali cross ya alama ya kujumlisha ipo kati, na uwelewe kuwa alama huwakilisha utambulisho au maandishi kwa hiyo ktk mawasiliano ya alama huwezi kukurupa msalaba ukasema ni jumlisha utafeli,
Haja katazwa mkristo kuvaa alama za kikristo na muislam kuvaa alama za kiislam, ila tunapofika masula ya taifa, tunacha alama zetu na kuvaa alama ya taifa,
Swali hiyo alama inawakilisha kipi ktk taifa mpaka iwekwe ktk jezi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu hapa inaonekana tatizo sio msalaba, sababu ilikuwa inatafutwa tu!Wewe ni nani amekwambia hizo ni jezi maalumu kwaajili ya kesho?
Ni kitu gani kinakufanya wewe uamini kilichopo katika hiyo jezi ni msalaba huo unaodai ni wa wakristu?
Umekuwa brain washed na makanisa wewe. Msalaba hauna mahusiano na ukristo.Msalaba ni nembo rasmi ya kanisa na wakristo hakuna kanisa lolote lisilo na msalaba.
Hakuna alama ya kujumlisha cross yake iko juu, bali cross ya alama ya kujumlisha ipo kati, na uwelewe kuwa alama huwakilisha utambulisho au maandishi kwa hiyo ktk mawasiliano ya alama huwezi kukurupa msalaba ukasema ni jumlisha utafeli,
Haja katazwa mkristo kuvaa alama za kikristo na muislam kuvaa alama za kiislam, ila tunapofika masula ya taifa, tunacha alama zetu na kuvaa alama ya taifa,
Swali hiyo alama inawakilisha kipi ktk taifa mpaka iwekwe ktk jezi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha politicsNdugu yangu hapa inaonekana tatizo sio msalaba, sababu ilikuwa inatafutwa tu!
Zisingekuwa na msalaba ingeibuliwa ishu nyngine, huku mtaani wapo ambao hawajui hbr ya hiyo jezi lkn wanaombea tufungwe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiachana na T.stars ambayo tyr imeshagawa mashabiki..hofu yangu kubwa nyingine ni kwa Simba sc, naziona dalili za haya yanayoendelea kuamia ktk team ya simba kwakua imeshaonesha nia na dalili za kufanya vzr..Nilichogundua ni kuwa viongozi wakiwa na hekima wana uwezo mkubwa wa kujenga uzalendo.
Najaribu kulitazama pambano la Simba vs AS Vita; wana simba walikuwa na mshikamano sana.
Ule ni mfano wa uzalendo.
Lakini hii ya taifa stars....daaaah mambo kibao yameibuka kwakuwa tu ni ya taifa, inaonekana kuna watu wako tayari kabisa kubomoa taifa lao ni nafasi tu hawana!
Haiwezekani design ya kawaida ibebeshwe jina la msalaba 'udini' for whose interest....
Nadhani kuna jambo kubwa sana limewagawa wananchi. Viongozi wajitathmini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sielewi alichosema polepole lakini kama kina lengo la kuihusisha simba na com an viongozi wanasiasa wa awamu ya tano, basi naitakia simba kufungwa.Ukiachana na T.stars ambayo tyr imeshagawa mashabiki..hofu yangu kubwa nyingine ni kwa Simba sc, naziona dalili za haya yanayoendelea kuamia ktk team ya simba kwakua imeshaonesha nia na dalili za kufanya vzr..
Simba wasipochanga karata zao vizuri wajiandae kwa anguko kubwa maana siasa (hasa za sasa) na michezo ni hatari sana hapa Tanzania.
Rejea kauli ya H.Polepole.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu hapa inaonekana tatizo sio msalaba, sababu ilikuwa inatafutwa tu!
Zisingekuwa na msalaba ingeibuliwa ishu nyngine, huku mtaani wapo ambao hawajui hbr ya hiyo jezi lkn wanaombea tufungwe!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kasema kufanya vzuri kwa Simba ni matokeo mazuri ya uwekezaji wa miundo mbinu katika awamu ya Tano.Sielewi alichosema polepole lakini kama kina lengo la kuihusisha simba na com an viongozi wanasiasa wa awamu ya tano, basi naitakia simba kufungwa.
England?Usiwe boya wewe Barcelona sio timu ya taifa ni timu ya mtu anafanya atakavyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie wakristo mna elimu ndio maana mmekuja na nabii Tito, enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewa...Naona unaendeleza yale yale ya waislamu kutokua na elimu..nimekwambia zungumza kuhusu mimi achana na hao mamilioni...au hauna shule umesoma madrasa tu wewe enh?
Kama hajui hili wala lile kwanini huyo dogo wa kikristo asikojolee biblia? , mkuu unapozungumzia hizi ishu za kidini jaribu kubalance mambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajielewi huyo mkuuYaani anachkulia simple sana.. ina maana mtoto wake akija kukojolea Biblia atakaa kimya kwakua ni mdogo au..
Ndugu yangu akili fupi hujadili ujinga,tena wengine ni wasomi wa kuhushimika wanaoeneza ujinga huu kwa kuleta tafsri za kidini,imefikia sasa kila kitu tunaangalia au tunakuwa na mtazamo wa kidini,je wangeweka mwezi watu wangelalamika kwa misingi ya dini,jibu nadhani hapana,,kwa mfano mimi na tafsiri huo msalaba kama pande nne za Tanzania Kusini,kaskazini,Magaharibi na mashariki, Pia ni alama ya kuonyesha uchanya au kujiongeza ,kama watu wanaona alama ya msalaba ni ya kidini basi wasiandike hata alama ya kujumlisha sababu ni alama ya msalaba tofauti ,NGOZI NYEUSI SI BURE INA LAANA.kutwa tunashinda kujadili viti vya kipuuzi .Tanzania haina dini basi!Kiukweli naona nchi yetu imeanza kuwa tofauti na jinsi ilivyokua miaka ya nyuma, yani inafika muda watu wanatafuta pointi ndogo/kubwa kuanzisha taharuki katika jamii.
Nimepita katika mitandao ya kijamii watu wamekasirika na kutuhumu kuwa taifa linagawanywa kidini kwa sababu ya alama ya msalaba iliyo katika jezi ya timu ya taifa.
Kama nchi tumefikia hatua ya kuanza kugawana namna hii? Hii chuki imeanzia wapi maana inafikia watu wanatoa maoni kuwa kesho ni Msalaba 0- Uganda 4
Tanzania inaelekea wapi aisee?
View attachment 1052312
Sent using Jamii Forums mobile app