Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Status
Not open for further replies.
Nilichogundua ni kuwa viongozi wakiwa na hekima wana uwezo mkubwa wa kujenga uzalendo.
Najaribu kulitazama pambano la Simba vs AS Vita; wana simba walikuwa na mshikamano sana.
Ule ni mfano wa uzalendo.

Lakini hii ya taifa stars....daaaah mambo kibao yameibuka kwakuwa tu ni ya taifa, inaonekana kuna watu wako tayari kabisa kubomoa taifa lao ni nafasi tu hawana!
Haiwezekani design ya kawaida ibebeshwe jina la msalaba 'udini' for whose interest....
Nadhani kuna jambo kubwa sana limewagawa wananchi. Viongozi wajitathmini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msalaba ni nembo rasmi ya kanisa na wakristo hakuna kanisa lolote lisilo na msalaba.
Hakuna alama ya kujumlisha cross yake iko juu, bali cross ya alama ya kujumlisha ipo kati, na uwelewe kuwa alama huwakilisha utambulisho au maandishi kwa hiyo ktk mawasiliano ya alama huwezi kukurupa msalaba ukasema ni jumlisha utafeli,
Haja katazwa mkristo kuvaa alama za kikristo na muislam kuvaa alama za kiislam, ila tunapofika masula ya taifa, tunacha alama zetu na kuvaa alama ya taifa,
Swali hiyo alama inawakilisha kipi ktk taifa mpaka iwekwe ktk jezi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni nani amekwambia hizo ni jezi maalumu kwaajili ya kesho?

Ni kitu gani kinakufanya wewe uamini kilichopo katika hiyo jezi ni msalaba huo unaodai ni wa wakristu?
 
Wewe ni nani amekwambia hizo ni jezi maalumu kwaajili ya kesho?

Ni kitu gani kinakufanya wewe uamini kilichopo katika hiyo jezi ni msalaba huo unaodai ni wa wakristu?
Ndugu yangu hapa inaonekana tatizo sio msalaba, sababu ilikuwa inatafutwa tu!
Zisingekuwa na msalaba ingeibuliwa ishu nyngine, huku mtaani wapo ambao hawajui hbr ya hiyo jezi lkn wanaombea tufungwe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msalaba ni nembo rasmi ya kanisa na wakristo hakuna kanisa lolote lisilo na msalaba.
Hakuna alama ya kujumlisha cross yake iko juu, bali cross ya alama ya kujumlisha ipo kati, na uwelewe kuwa alama huwakilisha utambulisho au maandishi kwa hiyo ktk mawasiliano ya alama huwezi kukurupa msalaba ukasema ni jumlisha utafeli,
Haja katazwa mkristo kuvaa alama za kikristo na muislam kuvaa alama za kiislam, ila tunapofika masula ya taifa, tunacha alama zetu na kuvaa alama ya taifa,
Swali hiyo alama inawakilisha kipi ktk taifa mpaka iwekwe ktk jezi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekuwa brain washed na makanisa wewe. Msalaba hauna mahusiano na ukristo.

Wewe zungumzia wakatoriki,walokole, kkkt, sda, n.k
 
Nilichogundua ni kuwa viongozi wakiwa na hekima wana uwezo mkubwa wa kujenga uzalendo.
Najaribu kulitazama pambano la Simba vs AS Vita; wana simba walikuwa na mshikamano sana.
Ule ni mfano wa uzalendo.

Lakini hii ya taifa stars....daaaah mambo kibao yameibuka kwakuwa tu ni ya taifa, inaonekana kuna watu wako tayari kabisa kubomoa taifa lao ni nafasi tu hawana!
Haiwezekani design ya kawaida ibebeshwe jina la msalaba 'udini' for whose interest....
Nadhani kuna jambo kubwa sana limewagawa wananchi. Viongozi wajitathmini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiachana na T.stars ambayo tyr imeshagawa mashabiki..hofu yangu kubwa nyingine ni kwa Simba sc, naziona dalili za haya yanayoendelea kuamia ktk team ya simba kwakua imeshaonesha nia na dalili za kufanya vzr..

Simba wasipochanga karata zao vizuri wajiandae kwa anguko kubwa maana siasa (hasa za sasa) na michezo ni hatari sana hapa Tanzania.

Rejea kauli ya H.Polepole.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiachana na T.stars ambayo tyr imeshagawa mashabiki..hofu yangu kubwa nyingine ni kwa Simba sc, naziona dalili za haya yanayoendelea kuamia ktk team ya simba kwakua imeshaonesha nia na dalili za kufanya vzr..

Simba wasipochanga karata zao vizuri wajiandae kwa anguko kubwa maana siasa (hasa za sasa) na michezo ni hatari sana hapa Tanzania.

Rejea kauli ya H.Polepole.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sielewi alichosema polepole lakini kama kina lengo la kuihusisha simba na com an viongozi wanasiasa wa awamu ya tano, basi naitakia simba kufungwa.
 
Ndugu yangu hapa inaonekana tatizo sio msalaba, sababu ilikuwa inatafutwa tu!
Zisingekuwa na msalaba ingeibuliwa ishu nyngine, huku mtaani wapo ambao hawajui hbr ya hiyo jezi lkn wanaombea tufungwe!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui tutapona lini haya matatizo tuliyonayo.
Ni aibu sana kukuta watu na akili zao wanakakamaa shingo,ukiuliza tatizo nini eti msalaba. Jezi zenyewe hawana hata uhakika kama ndio zimeandaliwa kutumika kesho.


Yale yale ya nani achinje na nani asichinje. Hizi imani waliozileta kweli waliwaweza waafrika.
 
Sielewi alichosema polepole lakini kama kina lengo la kuihusisha simba na com an viongozi wanasiasa wa awamu ya tano, basi naitakia simba kufungwa.
Kasema kufanya vzuri kwa Simba ni matokeo mazuri ya uwekezaji wa miundo mbinu katika awamu ya Tano.

Anyway mkuu, tatizo CCM wanapenda kudandia mambo yenye publicity ili wajitangaze.. hata ule msiba wa ndg .Ruge (R.i.p) ulitumika vby kwa baadhi ya watu.

Hii kitu inarostisha kada ya michezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona unaendeleza yale yale ya waislamu kutokua na elimu..nimekwambia zungumza kuhusu mimi achana na hao mamilioni...au hauna shule umesoma madrasa tu wewe enh?
Nyie wakristo mna elimu ndio maana mmekuja na nabii Tito, enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewa...
 
Kiukweli naona nchi yetu imeanza kuwa tofauti na jinsi ilivyokua miaka ya nyuma, yani inafika muda watu wanatafuta pointi ndogo/kubwa kuanzisha taharuki katika jamii.

Nimepita katika mitandao ya kijamii watu wamekasirika na kutuhumu kuwa taifa linagawanywa kidini kwa sababu ya alama ya msalaba iliyo katika jezi ya timu ya taifa.

Kama nchi tumefikia hatua ya kuanza kugawana namna hii? Hii chuki imeanzia wapi maana inafikia watu wanatoa maoni kuwa kesho ni Msalaba 0- Uganda 4

Tanzania inaelekea wapi aisee?
View attachment 1052312

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu akili fupi hujadili ujinga,tena wengine ni wasomi wa kuhushimika wanaoeneza ujinga huu kwa kuleta tafsri za kidini,imefikia sasa kila kitu tunaangalia au tunakuwa na mtazamo wa kidini,je wangeweka mwezi watu wangelalamika kwa misingi ya dini,jibu nadhani hapana,,kwa mfano mimi na tafsiri huo msalaba kama pande nne za Tanzania Kusini,kaskazini,Magaharibi na mashariki, Pia ni alama ya kuonyesha uchanya au kujiongeza ,kama watu wanaona alama ya msalaba ni ya kidini basi wasiandike hata alama ya kujumlisha sababu ni alama ya msalaba tofauti ,NGOZI NYEUSI SI BURE INA LAANA.kutwa tunashinda kujadili viti vya kipuuzi .Tanzania haina dini basi!
 
Hizi za msalaba ni mvutoless, aheri ntembee tumbo wazi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom