johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tutampeleka Ustaadh Yasin wa Taqwa masjid opposite na nyumbani Kwa Tundu Lisu 😂😂Atakua kama mgeni mwalikwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutampeleka Ustaadh Yasin wa Taqwa masjid opposite na nyumbani Kwa Tundu Lisu 😂😂Atakua kama mgeni mwalikwa
Huo ndiyo ukweli. Mnaaminishwa uzushi tu.Hayo mawazo yako na usitake kila mtu awe na mawazo kama yako
Umeandikwa wapi huo ukweli?Huo ndiyo ukweli. Mnaaminishwa uzushi tu.
Mnalishwa matango pori na nyie mnafakamia tu.Umeandikwa wapi huo ukweli?
Unapuyanga sana Malaria Sugu imeshapanda utosiniSorry, dini moja
Haya sasa,mambo yanakuwa mambo,subiri tuoneCHADEMA sio chama cha kidiniView attachment 3193874
Funguka, hilo ni Kanisa lipi?Huu ndio ushauri wangu
Kazi za kanisa katika jamii ni pamoja na kusaidia kuondoa migogoro kwa kutoa huduma za amani na upatanishi.
Kanisa lina jukumu muhimu la kuwa kiungo cha umoja, kutoa mwongozo wa maadili na haki, na kuwasaidia watu kuelewa na kutatua tofauti zao kwa njia ya amani.
Vilevile, kanisa linahamasisha mshikamano na ushirikiano kati ya watu katika jamii, linalenga kukuza maelewano na kupunguza migogoro kwa njia ya mazungumzo na maelewano.
Hata yesu aliwaponya wenye Imani na waliokubali kutubu na kumtumikia Mungu, Kanisa linaleta suruhu Kwa wenye utayari wa kupewa huduma Hiyo, Je wafuasi/ wakuu wa Chadema wapo tayari kupata huduma ya Kanisa?Huu ndio ushauri wangu
Kazi za kanisa katika jamii ni pamoja na kusaidia kuondoa migogoro kwa kutoa huduma za amani na upatanishi.
Kanisa lina jukumu muhimu la kuwa kiungo cha umoja, kutoa mwongozo wa maadili na haki, na kuwasaidia watu kuelewa na kutatua tofauti zao kwa njia ya amani.
Vilevile, kanisa linahamasisha mshikamano na ushirikiano kati ya watu katika jamii, linalenga kukuza maelewano na kupunguza migogoro kwa njia ya mazungumzo na maelewano.
Udini mbaya sana sana!Kwanini isiwe Msikiti?
Hawajaomba kusaidiwa, lakini pia chadema haijafikia stage hiyoHuu ndio ushauri wangu
Kazi za kanisa katika jamii ni pamoja na kusaidia kuondoa migogoro kwa kutoa huduma za amani na upatanishi.
Kanisa lina jukumu muhimu la kuwa kiungo cha umoja, kutoa mwongozo wa maadili na haki, na kuwasaidia watu kuelewa na kutatua tofauti zao kwa njia ya amani.
Vilevile, kanisa linahamasisha mshikamano na ushirikiano kati ya watu katika jamii, linalenga kukuza maelewano na kupunguza migogoro kwa njia ya mazungumzo na maelewano.
Ulijuaje kama matongo pori? Hicho unachokiamini sio matango pori?Mnalishwa matango pori na nyie mnafakamia tu.
Kuna wakatoliki na WalutheriLissu, Mbowe, Heche na Wenje wote wanaswali kanisa moja