Popote walipo TEC chukueni ushauri huu!
Waraka uendelee kusomwa kila wiki baada ya misa hadi disemba!
Wiki hii serikali waliandaa kila aina ya vigisu na spinning kwa kumtumia Mzee Kikwete na majukwaa, matamasha na maelekezo kwa waandishi ili kukava story zao katika kufumba habari ya waraka.
Nashauri waraka uendelee kusomwa hadi pale serikali itakapojibu au kusitisha mkataba huo hata kwa hasara ndogo iliyopo sasa!
Waraka uendelee kusomwa kila wiki baada ya misa hadi disemba!
Wiki hii serikali waliandaa kila aina ya vigisu na spinning kwa kumtumia Mzee Kikwete na majukwaa, matamasha na maelekezo kwa waandishi ili kukava story zao katika kufumba habari ya waraka.
Nashauri waraka uendelee kusomwa hadi pale serikali itakapojibu au kusitisha mkataba huo hata kwa hasara ndogo iliyopo sasa!