Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa maombezi ya bikira maria! tusali matendo ya huruma kwa wote walioshiriki mkataba huoMtoa mada, kwanini isiwe hadi Oktoba 2030 atakapotoka Mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania?!!!!
Hiki ndio mzizi wa yote hayo hayo mengine ni porojo tuUchungu gani wanao
Usicheze na maslahi ya watu
Yaani miaka zaidi ya 60 wananyonya bure kwa kisingizio cha misamaha halafu ukate mirija ghafla subutu lazima walie tu
Hapa ni unafiki tu na kama wao sio wanafiki na wanamuogopa Mungu waseme ukweli kuwa kulikuwa na ugali hapo ila mnaumwagia mchanga
na nitakuwa nawahi kiti cha mbeleTutaendelea kusoma waraka huo hadi Kwaresma mwakani.
Hatutaki mambo ya kihuni sisi.