Uchungu gani wanao
Usicheze na maslahi ya watu
Yaani miaka zaidi ya 60 wananyonya bure kwa kisingizio cha misamaha halafu ukate mirija ghafla subutu lazima walie tu
Hapa ni unafiki tu na kama wao sio wanafiki na wanamuogopa Mungu waseme ukweli kuwa kulikuwa na ugali hapo ila mnaumwagia mchanga