Nashauri katoliki waendelee kusoma waraka wa bandari kila wiki baada ya misa hadi Desemba

Mtoa mada, kwanini isiwe hadi Oktoba 2030 atakapotoka Mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania?!!!!
 
Mtoa mada, kwanini isiwe hadi Oktoba 2030 atakapotoka Mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania?!!!!
kwa maombezi ya bikira maria! tusali matendo ya huruma kwa wote walioshiriki mkataba huo
 
Hiki ndio mzizi wa yote hayo hayo mengine ni porojo tu
 
Tutaendelea kusoma waraka huo hadi Kwaresma mwakani.
Hatutaki mambo ya kihuni sisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…