Nashauri magari yote ya Serikali na Taasisi za Umma yapakwe rangi za nembo zao kupunguza ukiritimba

Acha wale kwa urefu wa kamba zao mkuu. Ubaya ni kwamba hata wakifuata ushauri wako, pesa zitaliwa na wajuu yao hivyo haipunguzi ugumu wa maisha kwa raia.
 
V8 likiisha badilik plate number inakua mali ya dereva,muhimu kupiga kaunda suit safiii anakula maisha mjini na watoto wazuri.
Umenichekesha sana. Zama Mkete alimkimbia Ruge kwa mtego wa aina hiii. Yule dogo pia alikua na V8 katupia kiunoni na Kabastola ka Boss wake Zama akazama mzima mzima kuja kustuka watoto wa3 kaishia kumweka jamaa Billboards ili tujue amempenda kuuuumbe ana maumivu ya karne
 
 
UKUDA HUU na ROHO YA UCHAWI .....hayo unadhani serikali HAIYAJUWI ??

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
unaku na ukuda.hujafikiria suala la usalama. kaz hizi muda mwingine zimahitaji kutotambulika hv nikupe mfano we unafikr gar flan ikujulikana huona kama inahatarisha usalama wa wafanyakaz
unafikir watu wote wanapenda maamuz ya taasisi mbalimbal.hujafikria vizur labda kwa vile haupo huko
 
Kila gari la serikal huwa Linakuwa na namba ya usajili wa gari wa kawaida. Matumiz ya kiserikal ni mengi jombi.
hajui huyu ndio mana nilimuuliza anajua kama kila taasisi na idara huwa muda mwingine haitakiw kufahamika ili kazi ziende
anataka zikaririwe kama zile difenda na landcruiser za bluu za poti
 
UKUDA HUU na ROHO YA UCHAWI .....hayo unadhani serikali HAIYAJUWI ??

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
NJIA NI RAHISI SANA! Traffic wawe wanakagua kadi za gari hususani mashangingi na Nissan na ukikutwa umebandika namba feki kesi ya uhujumu uchumi inakuhusu, vinginevyo uhonge pesa ndefu ili polisi wakuachie
Mbwai mbwai
 
Hahahah usalama gan! Yaani gari ikiwa na nembo ndo security inaongezeka kama hujui!
Gari lenye nembo haliibiki!
Kama huamini kaibe magari ya mwendokasi au polisi!
Utetezi wa kitoto sana umeleta
 
hajui huyu ndio mana nilimuuliza anajua kama kila taasisi na idara huwa muda mwingine haitakiw kufahamika ili kazi ziende
anataka zikaririwe kama zile difenda na landcruiser za bluu za poti
Madereva naona jamaa kawagusa kunako
 
Anaogopa kugongewa au niaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…