Nashauri Makonda ahamishiwe Dodoma ili Makao Makuu yachangamke

Nashauri Makonda ahamishiwe Dodoma ili Makao Makuu yachangamke

Mpwapwa ingekuwa mkoa ningeomba aende huko akapachangamshe
 
Makonda anapiga kazi sana, ni kati ma RC bora kwa ufuatiliaji wa miradi inayoendelea ktk himaya yake....anauwezo wa kusimamia fedha zinazotumika na kuzingatia value for money, mbunifu, mtatua kero za wananchi.....nk n.k...
 
Heri ya mwaka mpya 2025.
Kwa muda mfupi tumeshuhudia jinsi RC Makonda alivyo waunganisha wa chuga na kufurahia maisha kwa pamoja. Wamepokea mwaka 2025 kwa shangwe kubwa.
Hakika Arusha kumechangamka kwa ubunifu wa RC Makonda.

Nashauri kama itafaa, RC Makonda ahamishiwe Makao Makuu Dodoma ili napo pachangamke maana pame powaaaaaaaaaa sana.
Dodoma walala hoi wengi...hata akileta nyama choma festival watani watatoka kwenda kuomba wao hawapendi kununua
 
Haaahaaaa, mnataka kuiba tu, ngoja aje awaumbuwe wezi na wazembe🤣🤣
😂😂😂Mkuu hakuna mkulima mwizi langu ardhi jembe na mbegu saa ngapi taenda iba na nikaibe nini mkuu😊😊😊
 
Dodoma walala hoi wengi...hata akileta nyama choma festival watani watatoka kwenda kuomba wao hawapendi kununua
Duh! Mnatuonea tu sisi sio ombaomba . Wasukusu ni balaa wametoka kanda ya ziwa wamejazana mji mzima na vi wheel chair
 
Uko sawa 100%
RC wa Dodoma, Hana speed ya kumsaidia Samia,ila ana speed ya kujirusha mitandaoni kwa shughuli za ajabu.
Sio mbunifu,mfuatiliaji na mtekelezaji!
Ana kijamaa ,jobless kinamsumbua mji mzima, akikifuata Dar Kila wikiend
 
Alafu wapo wakuu wa mikoa Tz wapo smart ila hutowasikia na makelele ,mbwembwe za Media hata siku moja,

Sasa njoo kwa ndugu uyu
 
Nani kakuambia land rover ndo maendeleo?mizuzu ka nyie ndo mtachelewesha wananchi kufika nchi ya ahadi
Kakuchelewesha baba yako...........ulitakiwa kufa choooni yeye kamwagia ndani .......ndio madhala yake haya...............mtoto upo kama genital wart
 
Tunasubiri mtanange wa Ubunge Kigamboni utangazwe tuende mtoa Arusha kwa nguvu. Nyie wa Dodoma ombeni Mtaka arudishwe hapo.
 
Sijawah kujua ni jambo gan la muhimu kafanya Zaid ya kuendesha matamasha kama wafanyavyo wasanii
Acheni chuki na roho mbaya,usilolijua usishabikie tu
Magufuli mlimkataa hivi hivi mwisho hayupo kila mtu anamlilia,
Kweli ukipoteza ndo unajua ulikua na nini
 
Back
Top Bottom