Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamtaki heka heka... umezoea kurelaxx...Hapana aisee tulienaye anatutosha
Tunaweza kutekeleza wajibu wetu bila kukaripiwa wala kusemwasemwa hadharaniHamtaki heka heka... umezoea kurelaxx...
Makao makuuu wamepowaaaaaaa sana.Hapana aisee tulienaye anatutosha
Mtuache tuendelee kulima mitama , karanga na alizeti zetu. Hatutaki hekaheka wagogo siyeMakao makuuu wamepowaaaaaaa sana.
Wacha Makonda aje achangamshe makao.
Haaahaaaa, mnataka kuiba tu, ngoja aje awaumbuwe wezi na wazembe🤣🤣Mtuache tuendelee kulima mitama , karanga na alizeti zetu. Hatutaki hekaheka wagogo siye
Dodoma walala hoi wengi...hata akileta nyama choma festival watani watatoka kwenda kuomba wao hawapendi kununuaHeri ya mwaka mpya 2025.
Kwa muda mfupi tumeshuhudia jinsi RC Makonda alivyo waunganisha wa chuga na kufurahia maisha kwa pamoja. Wamepokea mwaka 2025 kwa shangwe kubwa.
Hakika Arusha kumechangamka kwa ubunifu wa RC Makonda.
Nashauri kama itafaa, RC Makonda ahamishiwe Makao Makuu Dodoma ili napo pachangamke maana pame powaaaaaaaaaa sana.
😂😂😂Mkuu hakuna mkulima mwizi langu ardhi jembe na mbegu saa ngapi taenda iba na nikaibe nini mkuu😊😊😊Haaahaaaa, mnataka kuiba tu, ngoja aje awaumbuwe wezi na wazembe🤣🤣
Utakuwa huna land lover wewe ndio maana unamakasiriko ya kobe mzeeSijawah kujua ni jambo gan la muhimu kafanya Zaid ya kuendesha matamasha kama wafanyavyo wasanii
Duh! Mnatuonea tu sisi sio ombaomba . Wasukusu ni balaa wametoka kanda ya ziwa wamejazana mji mzima na vi wheel chairDodoma walala hoi wengi...hata akileta nyama choma festival watani watatoka kwenda kuomba wao hawapendi kununua
Nani kakuambia land rover ndo maendeleo?mizuzu ka nyie ndo mtachelewesha wananchi kufika nchi ya ahadiUtakuwa huna land lover wewe ndio maana unamakasiriko ya kobe mzee
Kakuchelewesha baba yako...........ulitakiwa kufa choooni yeye kamwagia ndani .......ndio madhala yake haya...............mtoto upo kama genital wartNani kakuambia land rover ndo maendeleo?mizuzu ka nyie ndo mtachelewesha wananchi kufika nchi ya ahadi
Acheni chuki na roho mbaya,usilolijua usishabikie tuSijawah kujua ni jambo gan la muhimu kafanya Zaid ya kuendesha matamasha kama wafanyavyo wasanii