Nashauri Makonda ahamishiwe Dodoma ili Makao Makuu yachangamke

Nashauri Makonda ahamishiwe Dodoma ili Makao Makuu yachangamke

Tuachieni makonda wetu hapa chuga tafadhali
 
Kakuchelewesha baba yako...........ulitakiwa kufa choooni yeye kamwagia ndani .......ndio madhala yake haya...............mtoto upo kama genital wart
Sibishani na mtoto wa kahaba....umekulia madanguroni wkt mama yako anajiuza ...akili zako bado zinawaza kimalaya malaya tu
 
Heri ya mwaka mpya 2025.
Kwa muda mfupi tumeshuhudia jinsi RC Makonda alivyo waunganisha wa chuga na kufurahia maisha kwa pamoja. Wamepokea mwaka 2025 kwa shangwe kubwa.
Hakika Arusha kumechangamka kwa ubunifu wa RC Makonda.

Nashauri kama itafaa, RC Makonda ahamishiwe Makao Makuu Dodoma ili napo pachangamke maana pame powaaaaaaaaaa sana.
Dodoma haitaki midomo
 
Hata bunge litachangamka, maan yule buana haangalii wewe ni mbunge au waziri au nani, ukizingua utakiona ..... Kwa ufupi haogopi mtu!

Ila jamaa anafanya vitu vyake kimya kimya Tena kwa weledi!

Wana habari wanamfuata wenywe ili ziuzike habari zao!

Saizi Arusha inavuma kuliko Dar.... Ukimtoa Mwampisa Dar hamna lolote l maana... Yule mkuu wa Mkoa chapombe hatari! Hengohova zinaongea hatr!

Kwa ufupi Makonda anwapenda sn vijana wachapa kazi na sio wavivu!

Huyu buanaa endapo akija kuwa Rais wa nchi miaka ijayo wzee mjipange ataondoa na kuweka vijana!
Makonda hata akipelekwa Katavi nakwmbia Mkoa wa Katavi utavuma kuliko Dasalama!

Mheshimiwa Rais mlete Mbeya Makonda!
Unaonekana kama unanongwa na Dar wewe,fanyeni juhudi ya kuipandisha mikoa mingine juu hiyo ni juhudi nzuri,lakini mtakapo taka kulimganisha na Dar Bado mtakwama manaake Dar Iko mbali uwezekano wa kuikamata haipo.
 
We mkuda tu uliezaliwa danguroni
Braza unabishana na mtu I'd yake imeanza 2024 wewe bado kinda sana.........I'd yangu imeanza 2010 ..........hatufanani tafuta wa kubishana na wewe .......nakaribia kuwa platnumz members tafuta size yako
 
Anamfanya mama yako boya ww...kufanya mkesha wa mwaka mpya na kujaza magari barabarani ndo utatuz wa changamoto za wan Arusha?au we ni msukuma ulieloea huko ?
Una dalili zote za kishoga,
Angalia mambo ya msingi na sio mambo kama matamasha na kusherehesha
 
Anamfanya mama yako boya ww...kufanya mkesha wa mwaka mpya na kujaza magari barabarani ndo utatuz wa changamoto za wan Arusha?au we ni msukuma ulieloea huko ?
Sijui kwanini najibizana na wewe,
Ukicheza na tak litakupaka mavi na tak lenyewe ndo wewe
 
Back
Top Bottom