Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Kheri huyo kafikiria kuinua kipato cha nyumbani kupitia pesa ya mkopoMimi nimesoma na jamaa, ela yake ya accomodation alikuwa anaigawana na watu wa nyumbani kwao huko kijinini. anasema wanaanzisha biashara. kwani shida iko wapi mtu akijibana aanzishe biashara ni akili hiyo.
Upumbavu hauna ujazoNashauri hii mikopo ya elimu ya juu ifutwe,mbona wanachuo wenzao wa diploma wanasoma bila mkopo na hatusikii kelele zozote?
Tofauti yao na wenzao wa diploma ipo wapi?
Nimeona serikali inataka kuwapa mikopo na hawa diploma,, hili nalo litakuwa kosa kubwa sana, yani kujibebesha mzigo juu ya mzigo ,,, cha muhimu hapo serikali wapige kimya tu na huko kwa ngazi ya degree wawafutie kabisa kama ikibidi labda wawape ada tu ,pesa ya kula wajitegemee.
Ndiwooo ndiwoooHela ya serikali usipoila ukiwa chuoni Subiri mpaka miaka 20 mbele.. Hapa katikati pana ka age tunakaita maturity age (MA) upauke kwanza kidogo. Ko vijana msijibane sana hela ya boom hainyanyui zege aise.
Wat else something? [emoji23][emoji23][emoji23]But you can do something else [emoji28]
Aaaah thubutuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Coca huyu mzeee umemwelewa kwan [emoji28]
View attachment 2983800
Hajui kwamba hela yao wanakata na PAYE unalipa vizuri ambayo kimsingi ni kodi unayochangia direct kwenye maendeleo ya nchiTaifa gani mkuu??? Si wanakata hela yao kwenye mshahara au unataka niwasaidie nini???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipoo.Yani kama mzazi sina uwezo wa kumpatia mwanangu pesa ya matumizi ajitafutie mwenyewe,, mzee kashiba posho huyu.. My daughter is typing KUJITAFUTIA MWENYEWE [emoji41]
Yametoka wapi tena hayo manenomnataka tu mpewe pesa mshindane kuvaa