Nashauri Rais awekwe mbali au apunguziwe access na mitandao ya kijamii

Nashauri Rais awekwe mbali au apunguziwe access na mitandao ya kijamii

Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.
Mama km mama umbea ni asili ya wanawake wa kiafrika
 
Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.
Mnasumbuliwa na sumu aliyowanywesha JPM, sumu ya chuki, uadui, visasi, na kila baya. Mnaumia kuona baadhi ya sauti mlizohangaika kuzichafua kupitia maharamia kama Musiba, sasa ZINASIKILIZWA. Mnatamani awe Rais wenu peke yenu lakini yeye ameshatanabaisha kuwa yupo inclusive. Mtahangaika sana.

Kama ukaribu wake na mitandao ya kijamii imesaidia kuchukua hatua muhimu (eg suala la Plot C kule Mererani) iweje basi mkerwe na Uwepo wake huko?

MATAGA mtapata tabu sana
Screenshot_20210406-202011.jpg
 
Rais amekiri kuwa siku ameteua matatibu na wakuu wa taasisi alilala saa nane usiku akisoma feedback za mitandaoni...
Halafu ukute amekuta maoni yanatija ya kufa mtu. Yaani kwa sasa mitandaoni ndio kwenye watanzania wengi wa kila hali kisiasa, kiuchumi, kielimu na kijamii.
 
Ipo haja wamshauri aachane na maswala haya kwa muda.
 
Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.
Kuna opinion sahihi na opinion ambazo siyo sahihi ?
 
Dunia ya leo Kumzuia au Kumpunguzia Rais access ya Mitandao ni Kitendo cha Kipumbavu na Kisichovumilika na pia Kinakera kama kikitoka kwa Great Thinker wa JamiiForums.

Yaani mnataka Rais Mama Samia Suluhu Hassan asiwabadilishe au asiwaondoe hao Manyang'au yenu ili yaendelee Kuharibu na Kuwalinda Kiuchumi kwa Gharama ya Kuwafisadi Watanzania Wanyonge?

Tena sasa nakuambia hakuna Rais ambaye kama akiwa anapenda Kuipitia Mitandao ya Kijamii na hasa huu huu wa JamiiForums ataongoza nchi vizuri mno kama Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan.

Katika dunia ya leo kamwe huwezi Kushindana na Nguvu ya Mtandao hasa katika Suala zima la Ushawishi ndani ya nchi yoyote ile. Mbona Marais wengine wakubwa tu duniani akina Biden, Putin na Kagame wapo mno Mitandaoni tena 24/7 na nchi zao zinapiga hatua za Kimaendeleo?

Huyo Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan amekuambia huwa anakesha fully humu Mitandaoni? Acha Kumpangia cha Kufanya na kama haya Mabadiliko yamekugusa pole sana anza Kujiandaa Kisaikolojia na tambua kuwa kutesa ni kwa zamu na sasa Rais ni SSH na siyo tena Hayati JPM.
Huwa nasoma “comments” kabla ya ku “post”” “comment” ili kusiwe na “redundancy”. Umeniwakilisha.
 
Back
Top Bottom