Yupo sawa kabisa, si wananchi au wadau wote wanaweza kumuona na kumshauri, hii nchi sio yake ni yetu, hivyo kama anasoma na kupitia anaangalia matatizo ya wananchi wake, nyie vipi mmezoea kutawaliwa kwa amri ndio mmeshazowea, yupo sawa kabisa kwa maana hiyo anaangaliwa raia zake wana shida na manunguniko na wanataka au kupenda nini.
Karne hayo ya mwaka alikuwanayo waliopita. Bora huku kwenye mitandao kuliko Ikulu iliyojaa wajumbe, wajumbe si watu wema au hulijui hilo.
Karne hayo ya mwaka alikuwanayo waliopita. Bora huku kwenye mitandao kuliko Ikulu iliyojaa wajumbe, wajumbe si watu wema au hulijui hilo.