Nashauri Rais awekwe mbali au apunguziwe access na mitandao ya kijamii

Nashauri Rais awekwe mbali au apunguziwe access na mitandao ya kijamii

Kwangu ni ushauri wa hovyo, akiwekwa mbali Lile genge linalomzunguka litampa matango pori zaidi.Kwangu utendaji wa rais wa kila siku pia umma ushirikishwa kwa njia mbalimbali Kama vile opinion polls kwa Mambo mbalimbali ya serikali na taasisi zake.Uwazi ni muhimu
 
Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.
Hii ni sasa; hiyo ilikuwa...

Enzi hii mitandao haiepukiki, mtu yeyote, hata rais hawezi kukwepa teknologia.

Ndio sababu inaitwa "mitandao"; ipo kila sehemu na anayeidharau atadharaulika.

Ungeeleweka sana katika ushauri wako, kwamba Rais awe 'Savvy/smart', sio kila kitu kionekanacho mtandaoni kinafaa kuzolewa.

Na ili asielemewe, hana budi kuwa na timu imara kabisa ya wasaidizi wanaojua kutumia mitandao kwa manufaa zaidi. Hawa wasiwe watu wa mlengo mmoja tu, wawe ni watu wenye uelewa mpana. Kazi yake kubwa/muhimu ni kuwatambua na kuwapata watu wa namna hiyo. Wasiwe watu wenye mawazo ya aina moja.

Huwezi kumweka mtu kama YEHODAYA au JohntheBabtist anayeimba CHADEMA siku nzima kwenye kundi kama hilo.

Wao watachuja na kutupilia mbali takataka, na kumfikishia mwenyewe vito maridhawa vilivyomo kwenye mitandao.

Wewe ulikuwa na "a few cents"; hizi ni "my two cents."
 
Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.
Kama watoa maoni ni watanzania, na mitandao inafanikisha hutoaji wa maoni kwa ufanisi zaidi, na katiba inataka wananchi kutoa maoni kuhusu maisha yao, kwa nini mitandao isimfikie?
 
Yaani ccm waliowengi wanapambana kumbadilisha mama ili awe Kama mwenda zake, haiwezekani mnajisumbua bure, mama Samia ni rais wa watanzania wote ana haki ya kuinteract nao muda wowote.Rais kuwa karibu na wananchi ni muhimu
 
Unaweza ukaliweka hivyo na ukaeleweka na baadhi ya watu ila lengo langu ni kumpa muda wa kuwa na maamuzi binafsi yasiyotokana na influence nyingine hasa wakati huu anapoanza kufanya kazi.

Huko mbeleni haina shida ila kwa sasa itamfanya asiwe na misimamo yake binafsi na watu watashindwa kuielewa misimamo yake yeye mwenyewe.
Maamuzi binafsi maana yake nini? Kabla ya kufanya maamuzi yeyote lazima uwe na information. Mitandao ya kijamii ina msaidia kupata information na feedback hivyo kumsaidia kufanya maamuzi sahihi.
 
Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.
Mzee umenuna yule empty head wa UVCCM kutumbuliwa?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.
Isingekuwa mitandao jana asingetengua ule uteuzi wa uvccm aliyewekwa tpdc.

Yaani mataga kasoma sunday school yohana university anataka akaongoze shirika la petroli ili wakaibe vitalu vya gesi na mafuta.
Embu tuliza papa muache mama afanye anavyotaka
 
Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.
Sehemu pekee iliyobaki kwa jamii kutoa dukuduku ni kwenye mitandao ya jamii
Mama asipopita humu anaweza asijue uelekeo wetu kama taifa
 
Mimi sidhani kama anaweza kusoma kitu mtandaoni halafu akakibeba hivyo hivyo.
Lazima atafanya uchunguzi wake kujiridhisha.

Na sio kwamba ndio anategemea mtandao as a main source.Naamini hii ni mojawapo tu kati ya njia zake nyingi kupata taarifa na kushauriwa.

Inawezekana pia haya ni maamuzi ya system yake na wanamsaidia kuhakikisha anapata anachotaka na sio kwamba ni yeye mwenyewe yuko mtandaoni full time au kwamba yeye personally ndio anaendesha zile accounts zake.

Inawezekana pia uwepo wake mitandaoni unaleta mtazamo fulani kwa jamii ambao in turn unaipa system feedback fulani wanayoitaka kirahisi tofauti na kama wangejificha na kutokuwa public.

Pia pre emptying ni mojawapo ya faida inayoweza kupata system ya mama kwa wao kuzoeleka mitandaoni kama hivi.(kama una idea ya intelijensia utanielewa hapo).

System inabadilisha mbinu kila wakati kulingana na mahitaji ya wakati kwa namna wao wanavyotaka kuendesha nchi.

Hivyo hata baadhi ya tabia kiongozi anafundishwa kuziadopt ili awe na taswira fulani katika jamii kwa wakati fulani na sababu fulani.

Nikudokeze tu kwamba sio mama pekee aliyeingia mtandaoni,viongozi wa serikali ya awamu ya sita wengi wameanza kuwa very active mitandaoni.

So nadhani this is planned na system iko aware na huenda ndio architecture wa hili kwa sababu wajuazo wao.
Well said, mfano mzuri ni akina Trump na Uhuru Kenyatta
 
Isingekuwa mitandao jana asingetengua ule uteuzi wa uvccm aliyewekwa tpdc.

Yaani mataga kasoma sunday school yohana university anataka akaongoze shirika la petroli ili wakaibe vitalu vya gesi na mafuta.
Enu tuliza papa muache mama afanye anavyotaka
Dunia imebadilika sn alafu yeye anataka tubaki kwenye analog nawakati watu wapo kwenye digital
 
Unaweza ukaliweka hivyo na ukaeleweka na baadhi ya watu ila lengo langu ni kumpa muda wa kuwa na maamuzi binafsi yasiyotokana na influence nyingine hasa wakati huu anapoanza kufanya kazi.

Huko mbeleni haina shida ila kwa sasa itamfanya asiwe na misimamo yake binafsi na watu watashindwa kuielewa misimamo yake yeye mwenyewe.
Mtaalam unataka raisi wetu aishi Karne ya 16 ,Ila wananchi wake waishi Karne ya 21?
 
Nakubaliana na wewe maana hatuna hata bunge this time, hili ni bunge huru kabisa
Mkuu huu ubabe wa kunyimana taarifa kuna watu wananufaika nao,
ila uzuri digital age haibahatishi na internet never forgets
Mama akichanganya teule zake na opinion za humu anaweza kuja na combination ya viongozi wazuri walio neutral.
 
Opinions nyingi za mitandaoni zinatolewa kwa malengo ya vukundi flani,

Ukifuatilia sana mambo ya mitandaoni itakua ngumu kufanya maamuzi binafsi, tutakua tunaongozwa na opinions za watu badala ya maamuzi ya kitaasisi,

Nimeandika kwa lengo jema tu, ushauri huu unaweza usizingatiwe pia.
Suala ni kudhibiti taarifa nyeti zisiwafikie watu kama Kigogo2014.

Haiwezekani mtu huyo aruhusiwa kuwa na "sensitive" au "clasified information" bila shida.

Wakiweza dhibiti hio na ikaonekana, basi hatuna usalama wa taarifa nyeti za serikali.

Inakuwa kama tupo porini majangiri nao wajiulia tu wanyama watakavyo na kukimbia na nyaraka za serikali.
 
Back
Top Bottom