strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,308
Mama yuko sahihi kuwa karibu na wananchi wake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweni wewe unawajua Wangazija? au mpaka wakuzawadie busha ndio ulete heshima.Wangazija hawawezi kushindana na wasukuma wa gamboshi au wafipa wa lyamba lya mfipa! Yeye atangulize mungu tu.
Sipingi dhana zako moja kwa moja maana una hoja za msingi, na maangalizo yenye mantiki. Lakini matumizi ya mitandao ni mambo ya wakati, na yoyote anayetumia mitandao anafikia jamii kwa urahisi kuliko anayetumia njia nyingine yoyote. Hili la mama kutumia mitandao ni utashi wake binafsi na sio ushauri wa system, labda system nayo iadapt kwenye matumizi ya mitandao, lakini sio jambo planned na system.Mimi sidhani kama anaweza kusoma kitu mtandaoni halafu akakibeba hivyo hivyo.
Lazima atafanya uchunguzi wake kujiridhisha.
Na sio kwamba ndio anategemea mtandao as a main source.Naamini hii ni mojawapo tu kati ya njia zake nyingi kupata taarifa na kushauriwa.
Inawezekana pia haya ni maamuzi ya system yake na wanamsaidia kuhakikisha anapata anachotaka na sio kwamba ni yeye mwenyewe yuko mtandaoni full time au kwamba yeye personally ndio anaendesha zile accounts zake.
Inawezekana pia uwepo wake mitandaoni unaleta mtazamo fulani kwa jamii ambao in turn unaipa system feedback fulani wanayoitaka kirahisi tofauti na kama wangejificha na kutokuwa public.
Pia pre emptying ni mojawapo ya faida inayoweza kupata system ya mama kwa wao kuzoeleka mitandaoni kama hivi.(kama una idea ya intelijensia utanielewa hapo).
System inabadilisha mbinu kila wakati kulingana na mahitaji ya wakati kwa namna wao wanavyotaka kuendesha nchi.
Hivyo hata baadhi ya tabia kiongozi anafundishwa kuziadopt ili awe na taswira fulani katika jamii kwa wakati fulani na sababu fulani.
Nikudokeze tu kwamba sio mama pekee aliyeingia mtandaoni,viongozi wa serikali ya awamu ya sita wengi wameanza kuwa very active mitandaoni.
So nadhani this is planned na system iko aware na huenda ndio architecture wa hili kwa sababu wajuazo wao.
Tofaufi na Mama, baba yetu hakufanya maamuzi yake kwa ushauri wa kutoka mitandaoni na mara nyingi alifanya kinyume kabisaa! Hii ilitokana na umahiri wake binafsi ktk kufocus kwenye vipao mbele vya serikali yake pasipo kuyumbishwa! Sasa kama mama hata kuwa na talent hizo, kuyumba atayumbishwa sana na mapopoma wa mtaa wa ufipa!Magufuli was good mitandaoni alikuwa anapita mwenyewe na kufahamu mambo mengi na ikawa ngumu kwa wasaidizi wake kumdanganya.
Mama amerithi utamaduni huo na anashiriki kwa kutweet kabisa.
Huu ni utamaduni mzuri,unamuwezesha kuwa karibu na raia na kupata feedback ya kinachoendelea ground.
Naamini kabisa wasiotaka Rais na wasaidizi wake wa karibu kutumia mitandao wana nia mbaya ya kumweka Rais viganjani wamwendeshe wanavyotaka wao,wamwaminishe yale wanayotaka wao na kumshauri mnayotaka nyinyi.
Acheni mama ajivinjari mitandaoni,msimpangie.
La jana limewaumizeni sana mataga,mnataka kumcontrol Rais,haiwezekani.Acha awe huru.
Wangazija = Wasukuma -50%Kweni wewe unawajua Wangazija? au mpaka wakuzawadie busha ndio ulete heshima.
ThibitishaWangazija = Wasukuma -50%
Wangazija = Wafipa -65%
Mungu > Wangazija +Wafipa+Wasukuma
Thibitisha the oppossiteThibitisha
Nipo hapa hana haja ya kwenda mbaliMama pia ajizindike, na ikibidi aagize Wataalamu wa Kingazija waje kushield laa sivyo atarushiwa Uchawi na genge lillilopita la Wachawi
Mpe ushauri Mama yetu dhidi ya Makombora ya Gambosh nina wasiwasi na Usalama wake kwenye KITINipo hapa hana haja ya kwenda mbali
Yaani feedback ya bavicha ndio unaona feedback ya raia? Mitandaoni wamejaa bavicha...
Hii nchi aliiwezea magufuli peke yake, apumzike kwa amani
[emoji23]Wacheni Mama apangue apange timu itakayoendana na Kasi yake ya ukweli
Halafu achukue na ushauri wa Kigogo 14 kuhusu akina Ole Sabaya na wenzake
[emoji23][emoji23][emoji23]Wee utakua ndo Thobias mwesiga Richard,endelea kusubiria teuz za hadhi yako za kikada
Samia hua hakaachi ka iPhone6 kakeKwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.
Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.
Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.
My few cents.
Mwesiga unaendeleaje?Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.
Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.
Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.
My few cents.