Nashauri Rais awekwe mbali au apunguziwe access na mitandao ya kijamii

Nashauri Rais awekwe mbali au apunguziwe access na mitandao ya kijamii

Mleta mada bado anasumbuliwa na kiburi alichoachiwa na mwenda zake kwa kufikiri kwamba wao wasaidizi ndio wenye maoni safi na sio wengine. Jinga kabisa.
 
Reaction iliyopo mitandaoni kwa sasa ni kama vile kuna atayetekeleza ilani ya Chadema, hilo sahau kamanda.
Pole sana! Haina haja ya kufanya Spining ya matukio siko upande wa bimkubwa wala MATAGA! Nyie nyukaneni vizuri tu

Wasaa huu wasakatonge wa jiwe wamesharudi kwenye default settings za akili zao wanaikataa nyungu tena wanataka chanjo na barakoa wanavaa...

Wengine wanakubali kweli taskforce ilitumika kukusanya kodi kwa mabavu na kukwapua pesa za watu ndani ya account za watu!

Hiyo ni kwa ufupi serikali ya wanyonge
 
Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.
Kama mmeshindwa kumpiga kwa yule kilaza mliotaka kumpenyeza TPDC hilo halitakaa litokee, rais anatakiwa kufanya informed decision based on majority opinions, kwani kajiweka hapo au watu ndo wamemchagua.....wewe unafikiri kwa nini hatakiwi kusikiliza watu wanaotoa maoni yao kwenye mitandao.....yaani una thinking ya kizamani sana...
 
Mpandosha uzi ni muumini wa utawala wa giza.wa yule ibirisi aliyepita. Mwache
Kusubstitute bunge kwa mitandao ya kijamii sio sawa.

Kama kuna hoja mnataka kuzifikisha kwa mamlaka it is through your MP's ,

Mnasusa bunge na elections pia na bado mnataka kuitumia mitandao kama official means ya kupeleka mawazo yenu ambayo tena sio mawazo tu ni amri kwa maana kwamba yasipotekelezwa basi mhusika atakumbana na kashfa, that is wrong, completely wrong.
 
Wacheni Mama apangue apange timu itakayoendana na Kasi yake ya ukweli

Halafu achukue na ushauri wa Kigogo 14 kuhusu akina Ole Sabaya na wenzake
Kigogo 14 ni mdudu gani?
Unachukua ushauli kwa mtu asiejulikana?
Mnataka kumuona raisi ana akili kama zenu?
 
Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.
Mkuu vipi, issue ya kutenguliwa kwa msomi wa Yohana University imewachanganya...
 
Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.
MKUU mh SSH ,huku kutamsadia Sana maana, kazungukwa na wanafiki Sana wa ccm japo mungu ananiambia yu kiongonzi mwenye kipaji, ila majizi yamemzunguka, mungu atampigania, na Huyo makam wake ajae nae kwa hakili kiroho mungu bado hajanipa nafasi ya kumfaham zaidi, nje ya kiroho naona hakustahili but mungu anasema nifungu bahada ya jana na bahada ya siku 19 nilifanya wakati wa uchaguzi majibu nimeyaona mpaka mda huu, japo wakati wa mfungo sio kila jibu liwe wazi
So kuanzia jana na bahada siku kumi na tisa nitafunga tena ,KWA Sasa ni mda wa kutafuta ruhusa rasmi kazini ,maana sijawai mbishia yeye anipae pumzi japo sio mchungaji
 
Naona mataga mnajaribu kuja na mbinu zenu ili mpenyeze majina yenu kama akina huyo mpuuzi aliyeteuliwa na kutenguliwa ndani ya masaa kadhaa.Kama mama asingetembelea mitandao ya kijamii,angejuaje kama wajanja wamemletea kanjanja.
 
MKUU mh SSH ,huku kutamsadia Sana maana, kazungukwa na wanafiki Sana wa ccm japo mungu ananiambia yu kiongonzi mwenye kipaji, ila majizi yamemzunguka, mungu atampigania, na Huyo makam wake ajae nae kwa hakili kiroho mungu bado hajanipa nafasi ya kumfaham zaidi, nje ya kiroho naona hakustahili but mungu anasema nifungu bahada ya jana na bahada ya siku 19 nilifanya wakati wa uchaguzi majibu nimeyaona mpaka mda huu, japo wakati wa mfungo sio kila jibu liwe wazi
So kuanzia jana na bahada siku kumi na tisa nitafunga tena ,KWA Sasa ni mda wa kutafuta ruhusa rasmi kazini ,maana sijawai mbishia yeye anipae pumzi japo sio mchungaji
Mkuu nikushukuru sana kwa nia yako njema ya kuliombea Taifa letu,

Usiache kufanya hivyo, ni jambo jema sana.
 
Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.
Ushauri wako ni UOGA.
Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi hapaswi kuwa muoga..
Kama Rais anapewa mamlaka ya kusaini mtu kunyongwa au kuruhusu vita ataogopaje umbea?
 
Wewe nadhami bado unaishi kwenye Ulimwengu wa giza.

Zamani viongozi walitumia zaidi mikutano na vikao kupata maoni ya wanaowaongoza. Katika Ulimwengu wa kisasa, viongozi hupata maoni ya wananchi kupitia mitandao, halafu wewe unasema viongozi wasipate.maoni ya wanaowaongoza! Upo kwenye ufahamu wako kamili?
 
Unaweza ukaliweka hivyo na ukaeleweka na baadhi ya watu ila lengo langu ni kumpa muda wa kuwa na maamuzi binafsi yasiyotokana na influence nyingine hasa wakati huu anapoanza kufanya kazi.

Huko mbeleni haina shida ila kwa sasa itamfanya asiwe na misimamo yake binafsi na watu watashindwa kuielewa misimamo yake yeye mwenyewe.
Msimamo wa kiongozi anayefaa na aliye makini lazima uzingatie matakwa ya anaowaongoza. Hivyo ji muhimu sana, Rais kutumia njia zote zinazoratikana, na hasa mitandao ya kijamii ili kupata maoni ya anaowaongoza, lakini pia kupata taarifa mbalimbali kutoka kwa watu mbalimbali, na kuzifanyoa kazi.
 
Opinions nyingi za mitandaoni zinatolewa kwa malengo ya vukundi flani,

Ukifuatilia sana mambo ya mitandaoni itakua ngumu kufanya maamuzi binafsi, tutakua tunaongozwa na opinions za watu badala ya maamuzi ya kitaasisi,

Nimeandika kwa lengo jema tu, ushauri huu unaweza usizingatiwe pia.
Ninaamini, hakuna mwenye akili timamu na aliye na dhamira njema atakayezingatia ushauri wako.
 
Unaweza ukaliweka hivyo na ukaeleweka na baadhi ya watu ila lengo langu ni kumpa muda wa kuwa na maamuzi binafsi yasiyotokana na influence nyingine hasa wakati huu anapoanza kufanya kazi.

Huko mbeleni haina shida ila kwa sasa itamfanya asiwe na misimamo yake binafsi na watu watashindwa kuielewa misimamo yake yeye mwenyewe.

Kwa taarifa yako akiwa karibu na mitandao anakuwa na fikra huru zaidi, kuliko kujifungia na wezi wenzake wa kura, maana wanampa mawazo ya kidhalimu tu. Ili huyu mama aongoze hii nchi kwa utashi wa wananchi, inabidi aingie mitandaoni apate ushauri sahihi, na sio wa wasaka tonge wa ccm. Mungu ameamua kufanya mabadiliko bila ku damu, hivyo hamuwezi kuzuia ukweli, kwani kila jambo lina muda wake, na sasa muda huo umewadia. Kamshauri Mpango akae mbali na mitandao, maana yeye ndio roho ya kidhalimu.
 
Mama pia ajizindike, na ikibidi aagize Wataalamu wa Kingazija waje kushield laa sivyo atarushiwa Uchawi na genge lillilopita la Wachawi
Wangazija hawawezi kushindana na wasukuma wa gamboshi au wafipa wa lyamba lya mfipa! Yeye atangulize mungu tu.
 
Back
Top Bottom