Nashauri Rais awekwe mbali au apunguziwe access na mitandao ya kijamii

Nashauri Rais awekwe mbali au apunguziwe access na mitandao ya kijamii

Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii...
wewe jamaa huna ushauri mzuri kabisa nakumbuka ndio miongoni waliomfelisha Hayati.

Unajua madhara ya huu ushauri wako??

Kwanini unataka kutunyima haki yetu ya msingi??

Unafikiri Rais yuko pale kwa ajili ya wasaidizi wake au raia??

Watu ka ninyi hatuwataki katika utawala huu, kwakua kada wenu katumbuliwa??
 
Dunia ya leo imeimarika kwa ajili ya mitandao kwa kupata habari zote nzuri na mbaya
Viongozi wote wapo mitandaoni na kuandika na kusoma maoni ya watu wa kila aina na kujua nini kinachoendelea duniani

Kutokufuatilia mitandao ni kujifungia kwenye bubble
 
Umeshindwa kuelewa point yangu ndogo sana kwamba ,

Pressure ya mitandaoni ni kubwa sana,

Kila mtu anataka jambo lake lifanyike kama anavyotaka yeye Rais bado hajaizoea office, kumpa access ya mitandaoni muda huu ni kumnyima peace of mind wakati wa kutimiza majukumu yake.

Kwa sasa tumpe muda kwanza once atakapokuwa settled anaweza fanya atakalo, na itakua vizuri kwani atakuwa anaangalia reaction ya her own decisions.
Tatizo ni mahitaji ya wakati mkuu.
Huo muda wa kutulia hana na hapaswi kuwa nao na itakuwa kosa la karne akifanya hivyo.
Mengine hayaandikiki humu mkuu.
Tumuombee tu alimradi urais ni taasisi basi naamini anao uwezo wa kuhimili mahitaji ya kazi yake katika mazingira aliyoyakuta.
 
Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.
Unapotaka mama akaye mbali na Sisi watoto wake, Unafanya makosa makubwa sana! Kosa kubwa, ni kwamba unamwona mama yetu wa taifa hana akili ataendeshwa endeshwa tu! Mama anatakiwa akeshe JM, aangalie madini humu, na hilo haliwezi kumwondolea akili! Wabaguzi wa kijinsia mtakunywa maji kwa karai mwaka huu, kuleeenyai kabisa
 
wewe jamaa huna ushauri mzuri kabisa nakumbuka ndio miongoni waliomfelisha Hayati.

Unajua madhara ya huu ushauri wako??

Kwanini unataka kutunyima haki yetu ya msingi??

Unafikiri Rais yuko pale kwa ajili ya wasaidizi wake au raia??

Watu ka ninyi hatuwataki katika utawala huu, kwakua kada wenu katumbuliwa??
Tatizo la wakosoaji wa mitandaoni wanafikiri wanahaki ya kwanza katika kila jambo tabia ambayo na wewe umeionesha hapa na pia wanataka kila jambo lifanyike kadri watakavyo ni vigumu sana kuwa hivyo.

Kwa muda huu ambapo Rais anapanga serikali yake, apumzishwe kukutana na mambo kama haya.
 
Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.
NAKUUNGA MKONO KWA ASILIMIA MIA.100%.
 
Inapendeza sana kuona CCM mnanyukana wenyewe kwa wenyewe!

Wapambe wa Jiwe mmeachwa yatima upepo umehama! Sasa pateni mavuno ya October Mwaka jana ila kaeni mkijua vilio vya wengi vina majibu yake na mmeyapata?

Vipi yale Maandamano ya kumuongeza jiwe miaka ya kutawala yapo bado?
 
Tatizo la wakosoaji wa mitandaoni wanafikiri wanahaki ya kwanza katika kila jambo tabia ambayo na wewe umeionesha hapa na pia wanataka kila jambo lifanyike kadri watakavyo ni vigumu sana kuwa hivyo.

Kwa muda huu ambapo Rais anapanga serikali yake, apumzishwe kukutana na mambo kama haya.
apumzishwe kwani mgonjwa???😠😠😠
 
Inapendeza sana kuona CCM mnanyukana wenyewe kwa wenyewe!

Wapambe wa Jiwe mmeachwa yatima upepo umehama! Sasa pateni mavuno ya October Mwaka jana ila kaeni mkijua vilio vya wengi vina majibu yake na mmeyapata?

Vipi yale Maandamano ya kumuongeza jiwe miaka ya kutawala yapo bado?
Reaction iliyopo mitandaoni kwa sasa ni kama vile kuna atayetekeleza ilani ya Chadema, hilo sahau kamanda.
 
Na wajinga wengi pia wako mitandaoni mkuu,

Sio kila kinachoandikwa kinafaa .

Haya ni matusi ya rejareja kwa Mheshimiwa Raisi, yaani mnamchukulia Raisi kuwa ni mjinga na kilaza hasiyeweza kuchanganua baya na zuri la mtandaoni? Na ujinga na ukilaza huo mnaomvika nao mnataka kutumia nafasini hiyo kuchumia matumbo yenu.
 
Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.

Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.

Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.

My few cents.

Hii nchi aliiwezea magufuli peke yake, apumzike kwa amani
 
Yaani Lumumba na Team Dictator hawana hamu kabisa. Mnamchomekea makapi? Atayadondosha in no time. Cheki TPDC? !!!!! Na bado. Mtaita maji Mmma. Huyu halambwi Miguu bali ni Mtendaji.
 
Hii nchi aliiwezea magufuli peke yake, apumzike kwa amani
Kabisa mkuu,

Ila namiini Rais wa sasa atapita mule mule ,

Mwenyewe anakiri kabisa alipata darasa tosha alipokua akifanya kazi naye.

Sina mashaka naye.
 
Kwa nini unataka awe na misimamo yake binafsi badala ya yale wananchi wengi wenye akili timamu wanayopendekeza kwa ajili ya nchi yao?
Unaweza ukaliweka hivyo na ukaeleweka na baadhi ya watu ila lengo langu ni kumpa muda wa kuwa na maamuzi binafsi yasiyotokana na influence nyingine hasa wakati huu anapoanza kufanya kazi.

Huko mbeleni haina shida ila kwa sasa itamfanya asiwe na misimamo yake binafsi na watu watashindwa kuielewa misimamo yake yeye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom