#COVID19 Nashauri Serikali iandae mdahalo mubashara wa Television baina ya Askofu Gwajima na Waziri wa Afya ili kumaliza utata uliopo juu ya usalama wa chanjo

... tuliochanjwa tulichanjwa kwa hiyari, HATUKULAZIMISHWA!
Serikali haiwezi kukaa bila uamuzi kwenye suala nyeti kama jitihada za kuokoa maisha ya raia wake, kwahiyo iliruhusu tuamue wenyewe kuchanjwa ama la hizo chanjo zilizoletwa!
 
......Food for Thought.......
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…