#COVID19 Nashauri Serikali iandae mdahalo mubashara wa Television baina ya Askofu Gwajima na Waziri wa Afya ili kumaliza utata uliopo juu ya usalama wa chanjo

#COVID19 Nashauri Serikali iandae mdahalo mubashara wa Television baina ya Askofu Gwajima na Waziri wa Afya ili kumaliza utata uliopo juu ya usalama wa chanjo

Tujikite kwenye chanjo ya Corona, mada ipo hapo. Ninachoweka ni updates za madhara wanayopata waliochoma miaka mi5 nyuma, mfano Japan case za heart failure kwa waliochoma zimeongezeka kwa 4900%.., nitaendelea kuweka updates hata baada ya miaka 20, labda JF ifungwe…, maana kipindi kile tunaomba mjadala na waziri ilikuwa ni kuhojji possible outcomes kama hizi..
... tuliochanjwa tulichanjwa kwa hiyari, HATUKULAZIMISHWA!
Serikali haiwezi kukaa bila uamuzi kwenye suala nyeti kama jitihada za kuokoa maisha ya raia wake, kwahiyo iliruhusu tuamue wenyewe kuchanjwa ama la hizo chanjo zilizoletwa!
 
......Food for Thought.......
 

Attachments

Back
Top Bottom