#COVID19 Nashauri Serikali iandae mdahalo mubashara wa Television baina ya Askofu Gwajima na Waziri wa Afya ili kumaliza utata uliopo juu ya usalama wa chanjo

#COVID19 Nashauri Serikali iandae mdahalo mubashara wa Television baina ya Askofu Gwajima na Waziri wa Afya ili kumaliza utata uliopo juu ya usalama wa chanjo

Hapa umejibu hoja ipi kati ya hizo nilizotaja?, hivi nyie watu mnaona raha gani mnapomwaga ubongo wote chini na kujaza kinyesi cha mbuzi kichwani, mnafaidika nini? Hoja hujibiwa kwa hoja, hoja kwa hoja , hoja kwa hoja, turudie mara ngapi?!!
Weye toka umeazaliwa hujawahi kupiga chanjo ,chanjo ngapi umepiga mpk sasa .Gwajima hataki kupiga chanjo asiwatie watu pumba ,akatae kama yy tu na familiya yake ,masuala ya kijinga jinga mengi yasokuwa na tija.
 
Hawa wote, pamoja na serikali yenyewe hawastahili kusikilizwa kama uko timamu.

Serikali hii ndio ilituma ndege kwenda Madagascar kufuata ule upuuzi walioleta. Serikali hii ndio iliwaambia kuwa maombi yanatosha kuitokomeza COVID-19. Serikali hii hii ndio iliwaambia hakuna COVID-19. Tatizo sio chanjo, tatizo ni watu wanaokuletea hii chanjo hawajielewi.
Sawa, vipi kuhusu hizo hoja zake hapo juu?
 
Weye toka umeazaliwa hujawahi kupiga chanjo ,chanjo ngapi umepiga mpk sasa .Gwajima hataki kupiga chanjo asiwatie watu pumba ,akatae kama yy tu na familiya yake ,masuala ya kijinga jinga mengi yasokuwa na tija.
Nilichoma, ila hazikuwa za majaribio. Na vipi kuhusu hizo hoja zake hapo juu?
 
Sina shida ya pesa, natoa hoja tu.
Sasa weye una msapoti Gwajima .Je ? una mpango wa kuchoma au unamsubiri Gwajima btw dawa zote zinazo side effects zake ,nani kalazimishwa kuchoma chanjo ? Ukitaka choma hutaki wacha.Huyu bwana ana lengo lake.
 
Yaani unamaanisha Gwajima na Gwajima wapew airtime kwenye media? bangi mwachie bob marley tu
Kiukweli hata mimi nimeshangaa sana. Yani serikali ituandalie mdahalo wa vichaa?
 
Sasa weye una msapoti Gwajima .Je ? una mpango wa kuchoma au unamsubiri Gwajima btw dawa zote zinazo side effects zake ,nani kalazimishwa kuchoma chanjo ? Ukitaka choma hutaki wacha.Huyu bwana ana lengo lake.
Sawa, jibu hizo hoja zake hapo juu
 
yaani waanzishe kikundi chao cha comedy! good idea
 
Mollel ndo atakayekuwa msemaji wa Serikali. Serikali haiwezi kutosa mguu mswali magumu hayajibikiwa wameshindwa mpaka CDC kuyajibu.
Utaacha kuvaa barokoa jibu nenda kachome
Sitaambukiza jibu nenda kachome
Kikija kirusi kingine sitapata jibu nenda kachome.
 
Ili iweje? Na gwaji boy yy nani mpaka aandaliwe mdahalo na govt?
 
Mollel ndo atakayekuwa msemaji wa Serikali. Serikali haiwezi kutosa mguu mswali magumu hayajibikiwa wameshindwa mpaka CDC kuyajibu.
Utaacha kuvaa barokoa jibu nenda kachome
Sitaambukiza jibu nenda kachome
Kikija kirusi kingine sitapata jibu nenda kachome.
Yaani wanashindwa kabisa kujibu hoja, wanabaki kutisha watu
 
Mdahalo wa wazi hutumika hata kule Marekani kipindi cha uchaguzi, ambapo wagombea kupitia vyama pinzani huwekwa kwenye jukwaa moja na kupitishwa kwenye ‘tanuru la moto’ ili kuona nani anafaa, vivyo hivyo ifanyike kwa Askofu Gwajima na Waziri wa Afya (Serikali) ili tuweze kupata ‘consensus’ ya kitaifa juu ya usalama wa chanjo ambayo ni muhimu kwa mustakabali wa taifa letu.

Hoja ambazo wengi tuna shauku ya kuona zikijadiliwa , baadhi ni hizi:-

1.) Je, madhara (side effects) ya muda mfupi, muda wa kati (miaka mi5) na ya muda mrefu (miaka 10) ya hizo chanjo, kwa atakaechoma na kwa watoto atakaowazaa ni yapi?

2.) Je, chanjo ni nini? , yaani ili kitu kiitwe ‘chanjo’ kinatakiwa kiweze kufanya nini na nini? , na kwamba je, hicho kinachoitwa chanjo, kinaweza kufanya hayo?

3.) Kwa kuwa kirusi hiki huwa kinabadilika badilika kila baada ya muda fulani (fact), je, hii chanjo ya Johnson & Johnson iliyoletwa ni kwa ajili ya aina gani ya kirusi cha Corona, au ni kwa ajili ya aina zote za virusi vya Corona? Na kama kikija aina mpya ya kirusi, mfano ‘delta variant’ itabidi watu wakachomwe tena? Na kikija kingine wakachomwe tena? Na kikija kingine wakachomwe tena? Hadi lini? Mwisho wake ni lini?

4.) Je, tukishachomwa hiyo chanjo ya Corona, tunaacha kuvaa barakoa?, tunaweza kujichanganya kwenye mikusanyiko? , tunaweza kushikana mikono na kukumbatiana? , tunakuwa hatuwezi kupata maambukizi ya Corona? Tunakuwa hatuwezi kuambukiza wengine? Na je, ni kwanini wanaochoma chanjo wanaogopa zaidi Corona kuliko wasiochoma?

5.) Nk, Nk, Nk, Nk.

Sasa bila kujibu hizi hoja, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuwaelewa, nasikitika hadi kiongozi mkuu wa nchi anaanguka kwenye mtego wa kujibu hoja kwa vijembe kama anavyofanya waziri wake, mnatufanya tujute kutoa nafasi za uongozi kwa usawa baina ya jinsia zote, mnawaangusha wanawake. Hivi kweli mtu anasema bila wasiwasi kwamba ametestiwa mitambo na mumewe na kwamba yupo fiti, are we serious, hoja ndio hujibiwa hivyo? Hoja hujibiwa kwa hoja.
Mdaharo na mwehu? Nani yuko tayari kupromoti ujinga na upumbavu na pumba hizi ajidhalilishe?
 
Back
Top Bottom