Ngozi nyeusi ina ngonjera sana maneno mengi vitendo zero! Mwanaume aliamua na akaanza kutekelaza!Miradi hiyo siyo kwamba ni mibaya ila swala ni timing, haikuwa ni kipaumbele hasa kwa wakati tulionao.
Moja ya shida ya serikali hizi ambazo mifumo yao ya utawala ni centralized ni misplacement of priorities.
Ndio uzuri wa mfumo wa shirikisho (Federal System of Government), wananchi wa eneo husika ndio wanaamua vipaumbele vyao tofauti na mfumo huu tulionao ambao rais ndiye anaamua vipaumbele.
Ndio maana akili yake mbofumbofu hawa manka si ndio hulelewa na bibi hawa na hawana malezi ya baba na mama?Huyo siyo Mangi ni manka
We ni raia wa wapi? Kwani hiyo reli inaanzia mwanza na kuishia mwanza?Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.
Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi
Hakuwa mwanaume yule. Alikuwa mkurupukaji.Mwanaume aliamua na akaanza kutekelaza!
Nipo kisiwani Lyakanyasi lakini najua Serikali yote ipo Dodoma. Kuna siku sisi wavuvi tulikuja kuonana na Waiziri wa Mifugo na Uvuvi nikaona Ofisi zote za Serikali zipo pale Mtumba Dodoma. Tena sehemu ipo nje ya mji na inapendeza sana.Utakuwa unaishi Busisi wewe. Serikali ipo Dar.
Wewe ni mwehu haijawah tokeaKwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.
Kuwepo ofisi kwa maana ya majengo haina maana yoyote. Ungesema watendaji wa ofisi hizo walikuwepo ningekuelewanikaona Ofisi zote za Serikali zipo pale Mtumba Dodoma.
Kwani Magufuli alikuwa anapata wapi pesa?
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.
Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.
1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.
3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.
4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.
N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi
Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?
Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
Mkuu ifike mahali wastishe kila kitu ambacho kulifanywa awam ya 5 ila waje ma genuine ambao watakuwa na vitu vipya awamu ya sita, kiukwel tumechoshwa na kusikia watu wanavyo mu- underline Mwamba,Sioni sababu yenye mantiki ya kusitishwa miradi hiyo yote hususani SGR, daraja la Busisi na bwawa la kufua umeme la mwalimu Nyerere kwa manufaa ya kiuchumi isipokuwa usitishwe miradi ya ununuzi wa ndege uliokusudiwa na serikali kwani zilizopo bado hazijaonyesha matunda toshelevu badala yake pesa hizo zielekezwe kwenye miradi mingine yenye tija kwa Taifa hususani zinazogusa wananchi moja kwa moja mf.kilimo na huduma zingine za kijamii.
Hey buddyKwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.
Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.
1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.
3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.
4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.
N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi
Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?
Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
Kwel mkuu na wale waliotufikisha hapo wafungwe/kunyongwa, ili liwe fundisho kwa watu wengine, maana hakuna awam mbaya Kama 5, watu walikuwa hawawajibiki, wanakula Rushwa, wanaonea watu,Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.
Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.
1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.
3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.
4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.
N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi
Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?
Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
Walikuwepo na Waziri na Manaibu wake walikuwepo. Ofisi nyingi zilikuwa na watendajiKuwepo ofisi kwa maana ya majengo haina maana yoyote. Ungesema watendaji wa ofisi hizo walikuwepo ningekuelewa
Basi nakushauri rudi tena ukaangalie utakubaliana na mm. Dodoma ni makao makuu kwenye makaratasi tu kwa sasaWalikuwepo na Waziri na Manaibu wake walikuwepo. Ofisi nyingi zilikuwa na watendaji