Nashauri somo la physics liwe option kuanzia form one, mathematics liwe option pia

Nashauri somo la physics liwe option kuanzia form one, mathematics liwe option pia

Tunamshukuru mama kwa kuamua kuonyesha uozo uliopo, standardization ndio zilikiwa zinawafaulisha hata wasiojua kusoma na kuandika, lengo tu watu washangilie Kama mazombi eti umefaulu umepanda!!! Hii ndio picha halisi ya elimu yetu kwa miaka ya hivi karibuni
 
Hesabu na physics ni common disease huwa nafarijika na nafurahi nikiangalia matokeo yangu ya form 4 na form 6 ya hesabu mm sio mwalimu lkn mpk leo hii hesabu na physics sijsahau na pia huwa nawafundisha wanafunzi

Ngoja nikuambie tatizo ni walimu asilimia kubwa hawajui hesabu wala physics wamekariri mwalimu mzuri ni yule anaejua vizuri na aliyefaulu hivyo wanaopata division 1 ndio wawe walimu
Hujawahi kuona mtu mitihani anapiga A zote but ukimwambia akufundishe hajui kielekeza na mwingine anakufundisha fresh tu but mtihani unampiga fimbo?
 
Mathematics provides an effective way of building mental discipline and encourages logical reasoning and mental rigor. In addition, mathematical knowledge plays a crucial role in understanding the contents of other school subjects such as science, social studies, and even music and art.

Mathematics makes our life orderly and prevents chaos. Certain qualities that are nurtured by mathematics are power of reasoning, creativity, abstract or spatial thinking, critical thinking, problem-solving ability and even effective communication skills.

Math helps us have better problem-solving skills.
Math helps us think analytically and have better reasoning abilities. Analytical thinking refers to the ability to think critically about the world around us. Reasoning is our ability to think logically about a situation.

Siyo lazima wafaulu mathematics, ila ndo somo muhimu kuliko yote shuleni. Lina uhusiano mkubwa sana na uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi.
-Acheni UPUMBAVU
 
Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?

Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.

1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)

2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)

Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..

Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.

Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,

Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.

Turudi kwenye mada husika,

Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.

Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.

O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.

Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.

Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.

Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.

mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? 😁😁
Haya masomo physics, Chemistry, Biology na Mathematics ni masomo mazuri na msingi sana kwenye almost kila field ya maisha. Tatizo kubwa lililopo, hatuna walimu mahiri wenye uwezo wa kuyafundisha haya masomo kwa njia nyepesi ambayo wanafunzi wataweza kuyaelewa. Matokeo yake wanafunzi wengi badala ya kuyaelewa, huyakariri hapo ndio changamoto inapokuja.
Pili, haya masomo lazima uwe na msingi mzuri wa hesabu tangu primary level,sasa mtu yupo form 1 hata jina lake hawezi kuandika what do you think?.
 
Wazo lako ni la kipumbavu sana. Watoto wataendelea kufeli sana Maths na Physics kama mzazi ndo kama wewe usiyejua umuhimu wa Maths kwenye maendeleo ya nchi. Hakuna cha option wala nini. Maths na Physics ziendelee kuwa lazima. Lawama ziende kwa wazazi wapuuzi wasiojua umuhimu wa elimu. Tena wengine wanataka kukimbia hadi kuwanunulia sare za shule watoto wao. Huko tuendako hawa watoto wa matajiri na viongozi wa leo ndo watakuwa matajiri na viongozi wa kesho kwasababu hata hao St Francis wanaofaulu karibu wote wametoka familia za kitajiri. Maskini ndo wako bize kutaka Maths iwe option.
 
Hesabu hapana, kila kitu ni hesabu, kula kuongea, kucheza, kulima, kuongea , huwezi kuepuka hesabu. Biashara nayo ni hesabu! Hesabu ni muhimu!
 
Hilo somo la physics mnali -overate lakini ni somo jepesi na lakawaida Sana.
 
Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?

Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.

1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)

2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)

Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..

Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.

Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,

Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.

Turudi kwenye mada husika,

Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.

Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.

O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.

Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.

Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.

Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.

mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? 😁😁
Huna akili
 
Ninakuelewa sana hoja yako. Kuna kila sababu ya kutafuta ufumbuzi wa hili tatizo. Masomo hayo yaani Physics na Hesabu ni masomo muhimu. Siri na ufahamu wa ulimwengu umejificha kwenye masomo hayo.

Tutakuwa taifa la watu wajinga sana kama tutapuuzia masomo hayo. Ulimwengu unatawaliwa na Physics kuanzia enzi za Classical Physics ya akina Isaac Newton na wenzake hadi kwenye Quantum Physics ya akina Albert Einstein.

Moyo wangu unauma sana ninapoona watoto wanashindwa kusoma physics.
Itafutwe namna ya kufanya hesabu na physics ziwe zinamvutia mtoto toka akiwa msingi. Hayo masomo sio magumu. Ila vilaza wengi waliokimbia hesabu na physics kwa hofu, wanaendelea kuamini kuwa masomo hayo ni magumu na wengi wao ndio watunga sera. Tukiata walimi sahihi na vifaa vya kufundishia, haya madomo ni the most interesting.
 
Watoto laki tano wanapata F? Hapa tatizo siyo wanafunzi, tatizo ni elimu inayotolewa na namna inavyotolewa. wazo langu, masomo haya na elimu yote ingefundishwa kwa kiswahili, maana yanahitaji kuelewa na si kukariri. Mtoto anatakiwa kuelewa logarithm ni nini na si kukariri zile formula. Physics ndiyo kabisa, mtu anatakiwa kuelewa concepts na si kumeza mambo.
Mbona St. Francis, Canossa, Mazinde Juu, Feza, etc wanapiga almost A zote tena vitoto vya kike? Serikali ikajifunze huko wanafanyaje!
 
Haya masomo physics, Chemistry, Biology na Mathematics ni masomo mazuri na msingi sana kwenye almost kila field ya maisha. Tatizo kubwa lililopo, hatuna walimu mahiri wenye uwezo wa kuyafundisha haya masomo kwa njia nyepesi ambayo wanafunzi wataweza kuyaelewa. Matokeo yake wanafunzi wengi badala ya kuyaelewa, huyakariri hapo ndio changamoto inapokuja.
Pili, haya masomo lazima uwe na msingi mzuri wa hesabu tangu primary level,sasa mtu yupo form 1 hata jina lake hawezi kuandika what do you think?.
Walimu wapo ila watoto wenu hawana akili
 
Haya masomo ukiyajua vilivyo,unaanza kuona marafiki na ndugu kuwa ni wajinga, na hata unaweza kuoona na wazazi pia ni vilaza, subiri umalize kusoma halafu uwe unasotea job , ndio utajua hujui
 
Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?

Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.

1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)

2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)

Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..

Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.

Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,

Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.

Turudi kwenye mada husika,

Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.

Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.

O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.

Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.

Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.

Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.

mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? 😁😁
Form one bado watoto wadogo, hawana uwezo wa kufanya maamuzi mazuri
 
Mnaogopa Hesabu hamlitaki kabisa baadae mtasema lifutwe tu hakuna namna mmeanza mbali sana...ni vile hamjui tu ni moja ya somo lilikokufa kama physics tu hakuna vitu vipya alivyosoma Babu ndio hivyo hivyo...
 
Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?

Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.

1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)

2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)

Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..

Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.

Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,

Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.

Turudi kwenye mada husika,

Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.

Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.

O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.

Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.

Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.

Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.

mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? [emoji16][emoji16]

Kumbe na wewe ni zao la michael mnyama….safi sana,ni moja ya msaada mkubwa kwa shule za kata za Mwanza kwenye masomo hayo,watu wengi wamesoma pale bure,lakini hio tuition kama unatuliza akili asee huwezi feli Physics au Maths (2008-14) nimesoma kwa mnyama..
 
Back
Top Bottom