Nashauri somo la physics liwe option kuanzia form one, mathematics liwe option pia

Nashauri somo la physics liwe option kuanzia form one, mathematics liwe option pia

Hiyo picha uliyoweka inapingana na hoja yako
Unaongea in general sana hesabu gani unayoongelea!?
Hesabu ya mhim ni kujumlisha, kutoa, kuzidisha na kugawanya kwa mtu ambaye hana mpango wa kwenda
kwenye matechnical, technology na science education.
Mtu umesoma public speaking, tourism, communication skills, journalist, mwanamichezo au artist Calculas itamsaidia nini kwenye real life!?
Messi, Ronaldo, Tigger wood, Maywether, Chris Brown, Celine Dion, Selina Gomez hizo hesabu zinawasaidia nini!?
kwa kuwa kasema wazir mkuu wa uingereza haifanyi kuwa yuko sahihi
Pia kwa kuwa umesema wewe haina maana kwamba uko sahihi.
 
Vipi kuhusu somo hili?
IMG-20230108-WA0005.jpg
 
Somo la hesabu ndiyo linatakiwa kuwa msingi wa kwenda chuo chochote hata vya ufundi unesi , kilimo ,biashara, hata kujiunga mageshi pia
Ni kweli, wayasome sasa wanayoyaweza kupunguza zero, kuna haja gani kuwalazimisha watoto kitu ambacho hawana uwezo nacho?
 
Pia kwa kuwa umesema wewe haina maana kwamba uko sahihi.
Hakuna sehemu nimedai niko sahihi, ila ukienda ground utauona usahihi wangu
mfano Diamond, Messi, Samta, mo dewji, bakhresa, kishimba, JK, Sa100, Mohammed Ali, Gandhi, wale wafalme wa saudia na Qatar.
nachoongea wasome wale tu watakao apply hivyo vitu kwenye maisha yao ya kila siku mfano scientist.
mwisho kabisa tufanye research ya kweli nini kifanyike haya ni maoni tu japo naamini ni ya kweli
 
Hesabu na physics ni common disease huwa nafarijika na nafurahi nikiangalia matokeo yangu ya form 4 na form 6 ya hesabu mm sio mwalimu lkn mpk leo hii hesabu na physics sijsahau na pia huwa nawafundisha wanafunzi

Ngoja nikuambie tatizo ni walimu asilimia kubwa hawajui hesabu wala physics wamekariri mwalimu mzuri ni yule anaejua vizuri na aliyefaulu hivyo wanaopata division 1 ndio wawe walimu
Ni kweli umeongea, watu wa mwanza wanamfahamu mkandawile na Michael na wengineo hawa walifanya mambo magumu tuyaone mepesi kwa sababu ya content walizokua nazo, nadhani wale walikua nondo vile kwa sababu tuition ziliwapa pesa sana, Michael mnyama alipelekwa shule ya taqwa but alifukuzwa kwa matokeo mabovu, unaweza ukanijibu kwanini?...shida ni wanafunzi? Au ni system mbovu ya kuendesha shule? Ukubali au ukatae Mathematics au physcs sio kwa ajili ya kila Mwanafunzi kuna wanafunzi wengine hata ufanyaje, wengine wanazaliwa given uwezo wa kuchaji kichwani unakuepo.
 
Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?

Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.

1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)

2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)

Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..

Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.

Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,

Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.

Turudi kwenye mada husika,

Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.

Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.

O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.

Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.

Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.

Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.

mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? [emoji16][emoji16]
Hawa wataelewa kweli hayo masomo

Ova
 
Hatuwezi kuwa taifa zima la coding, itafikia wakati coders watakuwa obsolete
Nadhani hoja hapa ilikuwa kuachana na mfumo wa wanafunzi kufundishwa kwa kukariri, hii kitu inaua sana uwezo wa wanafunzi ku reason in logical way... Sisi wa zamani tulikuwa na ule ufundishwaji wa kujenga hoja. Mitihani multiple choices ilikuwa only one section out of 4 or 5 sections. Ukisikia vile visa vya Msafiri ana kondoo, majani na mbwa mwitu na akafika mtoni ambako alitakiwa avushe kitu kimoja kimoja yote ilikuwa inalenga kufikiri na kupasua bongo..
 
Hayo unayo tamani yawe option ndio masomo yanayotawàla dunia,ila kwa kuwa mvivu,kwako yawe option ila kwa maslahi ya taifa yawe lazima hata itolewe ruzuku kuyaenzi na kuyaendeleza,🤔
Mkuu Mimi nimetoa wazo tu kwa ajili ya kupunguza F, ninaona ndio maana zunguka shule zote kipindi hiki wanaochagua physcs form 3 ni wangapi? Wengi wanakimbia saaana
 
Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?

Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.

1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)

2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)

Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..

Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.

Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,

Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.

Turudi kwenye mada husika,

Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.

Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.

O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.

Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.

Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.

Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.

mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? 😁😁
Kwa uwelewa wangu mdogo naona mitaala ya masomo ya sayansi hasa physics iboreshe kuenda na na usasa zaidi na kufundishwa katika lugha raisi zaidi kwa hivi vidato vya chini, Mambo ni mengi sana kwa muda mchache huku kukiwa hakuna vifaa vya maabara kufanyia practical katika mashule zaidi imekuwa anayeweza kukariri zaidi ndiye mshindi huku wengine wakiwa hawaelewi....
Ili kuto wavunja moyo wanaotaka kuyachukua maana yakiogopwa sana tutakuwa na tatizo kubwa la wataalamu katika nyanja mbalimbali za sayansi.
Mimi ni mhanga wa Physics A level....Kuna vitu na maswali ya practical ndo nmekuja kuyaona kwa mara ya kwanza kwenye mtihani wa taifa.
 
Tuanzie na namna tunavyowapata walimu wetu, je mfumo huo unatoa walimu competent kwenye sayansi?
Mkuu, walimu wanaofundisha ordinary secondary level ni diploma holders, hawa walifaulu somo la mathematics na hivyo kuruhusiwa kusoma level ya diploma. Sio sahihi kabisa kusema kwamba hawa walimu hawajuwi mathematics, vinginevyo walidanganya kwenye matokeo ya mitihani yao! Tukumbuke walimu hawa walipatikana kutokana na mchakato madhubuti baada ya matokeo kutoka kwenye mamlaka inayothibitisha uwezo wa ki - elimu kwa mtu husika. Hawa sio wengine bali ni NECTA - ni chombo tunachokiamini sana kwa secta ya elimu hapa nchini kwetu. Sasa ukisema tusiwaamini hawa walimu wetu, ni sawa na kusema tusikiamini hiki chombo chetu! Je, ni sahihi? Hapana, bado chombo chetu kinafanya vizuri, tatizo lipo kwa wahusika wenyewe!
 
Tatizo ni serikali kuamua beba mizigo ya watu wajinga na wapumbavu.

Ingeacha wajinga waendelee kuwepo kuliko kuwa na wahitimu wengi wasio elewa kitu
Nakubaliana na wewe, hasa hasa kuanzia primary maana kuna cases mtoto unasikia kafaulu lakini kuandika na kusoma vizuri hajui... Angalia sasa hivi nguvu kubwa ni kujenga majengo lakini hatusikii maboresho ya walimu. Ilitakiwa wale waliofaulu vizuri Universities ndiyo wawe walimu na walipwe vizuri.
 
Nadhani hoja hapa ilikuwa kuachana na mfumo wa wanafunzi kufundishwa kwa kukariri, hii kitu inaua sana uwezo wa wanafunzi ku reason in logical way... Sisi wa zamani tulikuwa na ule ufundishwaji wa kujenga hoja. Mitihani multiple choices ilikuwa only one section out of 4 or 5 sections. Ukisikia vile visa vya Msafiri ana kondoo, majani na mbwa mwitu na akafika mtoni ambako alitakiwa avushe kitu kimoja kimoja yote ilikuwa inalenga kufikiri na kupasua bongo..
Mi pia nimepitia mfumo wa zamani wa kuandika na kufanya hesabu Darasa la 7, nini kilitokea hadi ikawa hivi ilivyo leo hatujui.

Ila elimu yetu imekufa
 
Back
Top Bottom