Nashauri somo la physics liwe option kuanzia form one, mathematics liwe option pia

Nashauri somo la physics liwe option kuanzia form one, mathematics liwe option pia

Hiyo picha uliyoweka inapingana na hoja yako
Unaongea in general sana hesabu gani unayoongelea!?
Hesabu ya mhim ni kujumlisha, kutoa, kuzidisha na kugawanya kwa mtu ambaye hana mpango wa kwenda
kwenye matechnical, technology na science education.
Mtu umesoma public speaking, tourism, communication skills, journalist, mwanamichezo au artist Calculas itamsaidia nini kwenye real life!?
Messi, Ronaldo, Tigger wood, Maywether, Chris Brown, Celine Dion, Selina Gomez hizo hesabu zinawasaidia nini!?
kwa kuwa kasema wazir mkuu wa uingereza haifanyi kuwa yuko sahihi
Mkuu mimi napingana na Sunak pia ila nakubaliana na wewe

Hesabu ni muhimu kwa kila mtu hata hao uliowanadi inawasaidia kujua wana ngapi zimeingia na ngapi wametumia, sio lazima wazijue hesabu za kufanyia kazi

Sijajichanganya mkuu na nimeelewa vizuri
 
Ninakuelewa sana hoja yako. Kuna kila sababu ya kutafuta ufumbuzi wa hili tatizo. Masomo hayo yaani Physics na Hesabu ni masomo muhimu. Siri na ufahamu wa ulimwengu umejificha kwenye masomo hayo.

Tutakuwa taifa la watu wajinga sana kama tutapuuzia masomo hayo. Ulimwengu unatawaliwa na Physics kuanzia enzi za Classical Physics ya akina Isaac Newton na wenzake hadi kwenye Quantum Physics ya akina Albert Einstein.

Moyo wangu unauma sana ninapoona watoto wanashindwa kusoma physics.
Physics, Chemistry, Biology, Mathematics the best subjects ever! Dunia iko hivi ilivyo because of those subjects. Taifa lolote linalojitambua litaweka mkazo kwenye hayo masomo unless we want to be followers forever!
 
Mkuu mimi napingana na Sunak pia ila nakubaliana na wewe

Hesabu ni muhimu kwa kila mtu hata hao uliowanadi inawasaidia kujua wana ngapi zimeingia na ngapi wametumia, sio lazima wazijue hesabu za kufanyia kazi

Sijajichanganya mkuu na nimeelewa vizuri
Nimeeleza vizuri basic mathematics inatosha kabisa kwa mtu ambaye hana mpango wa kuendelea na technical, technoloy au science education
 
Waalimu tangu shule ya msingi, wawe wa viwango vya juu. Kwanza wenyewe wawe waliofaulu masomo yao.
Mishahara ya waalimu iboreshwe ili kuwavutia wanaofaulu sekondari kujiunga na ualimu.
Vyuo vya ualimu viboreshwe dhana za ufundishaji, na wawe na wakufunzi walioiva, ili wanafunzi watoke hapo na ujuzi wa walichosomea na uwezo wa kuwaelimisha wanaoenda kuwafundisha.
Mashule yawezeshwe kwa zana, vitabu na maabara ili ufundishaji uwe kamili na rahisi kueleweka. Mazingira ya shule na makazi yawe rafiki kwa wanafunzi na waalimu wao.
Huu ni uwekezaji, kama mwingine wowote, serikali iwe na nia ya dhati kama inavyoendekeza siasa na wanasiasa, inatakiwa sasa iigeukie sekta ya elimu!
Mawazo yako yapo ofisi za makatibuu wakuu lkn yanafanywa kuwa SIRI
 
Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?

Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.

1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)

2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)

Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..

Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.

Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,

Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.

Turudi kwenye mada husika,

Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.

Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.

O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.

Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.

Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.

Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.

mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? 😁😁
Hayo unayo tamani yawe option ndio masomo yanayotawàla dunia,ila kwa kuwa mvivu,kwako yawe option ila kwa maslahi ya taifa yawe lazima hata itolewe ruzuku kuyaenzi na kuyaendeleza,🤔
 
Tutailaumu serikali kwa sababu ndiyo ina mamlaka ya kupeleka wanafunzi kuendelea na shule.

Serikali imeshusha ufaulu kwa makusudi ili malengo yao kisiasa yatimie.

Wazazi nao walaumiwe kwa kuzaa watoto wengi bila uwezo wa kuwagharamikia kupata elimu iliyo bora.

Hivi sasa ni mtu anazaa afu anasubiri serikali imsomeshee bure

Tanzania itakuja kuwa na taifa bovu sana huko mbeleni, makahaba,majambazi watakuwa wengi sana.

Ni muda serikali ianze mipango ya kuweka usalama kwani kuna bomu linatengenezwa
 
Mada nzuri mno ila kama kawaida yetu inapewa majibu rahisi,tatizo lipo kwenye foundation ya elimu yetu !mtoto akifika darasa la kwanza aanze kujifunza programing n coding, hii itamfanya mtoto ajenge uwezo wa kufikiri na sio kukariri,waalimu bora watafutwe na kuandaliwa vema na bila shaka tutarudia kule tuliko potea, hivi record ya Professor Sarungi pale Tosa ilivunjwa?elewa hadi leo UK inachukua waalimu na Nurse's from Zimbabwe, unafikiri why?Rwanda pia kaenda Zimbabwe mbona hakuja kwetu kutafuta waalimu bora!
Hatuwezi kuwa taifa zima la coding, itafikia wakati coders watakuwa obsolete
 
Hayo unayo tamani yawe option ndio masomo yanayotawàla dunia,ila kwa kuwa mvivu,kwako yawe option ila kwa maslahi ya taifa yawe lazima hata itolewe ruzuku kuyaenzi na kuyaendeleza,🤔
Mkuu hayo unayoyasema yamefanyika kwa zaidi ya 65 yrs mpaka leo hatujawahi kufanya jambo lolote la kushangaza
huko Qatar, Saudia, hizo kama wanasoma ni kwa uchache ila wameendelea.
England ilifanya program yakuwa inawachukua watu wenye uwezo mkubwa (walikuwa wachache) wanaishi kwenye royal family na wanapewa hadhi inayostahili ndio wamekuwa sehemu kubwa ya mapinduzi ya viwanda.
Tanzania watu wenye uwezo mkubwa kwa hayo masomo wapo akiwepo na mtaalam Elias Kihombo(RIP) lakini hakuna value yeyote waliyoadd kwa sababu mfumo hauwatambui.
 
Back
Top Bottom