Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Naona nia yako tushindwe kutengeneza hata kijiko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaotengeneza vijiko hawajawahi kufika shuleNaona nia yako tushindwe kutengeneza hata kijiko.
Zero zisitufanye kuache kusisitiza umuhimu wa Maths. Nadhani tuweke sheria kali na ikiwekwa watu wataweka juhudi katika maths. Siamini mtu kutopata angalau D ya maths Form Four kuwa anaweza kuwa makini katika profession yoyote baadayeNi mawazo yangu tu, but kipi kifanyike unadhani kupunguza zero za Mathematics na physics? Unaonaje? Tunakwama wapi ku-implement system hiyo iliyoko India?
Ni kuyawekea mkakati kabambe tu masomo hayo. Kwa nini iwe Tanzania tu na sio nchi zingine?! Unataka kusema nchi zingine wana akili kuliko Watanzania? Mungu alituumba wote na akili sawa, isipokuwa kuna mahala tumelega!Ni mawazo yangu tu, but kipi kifanyike unadhani kupunguza zero za Mathematics na physics? Unaonaje? Tunakwama wapi ku-implement system hiyo iliyoko India?
Nimezimiss thread zako mkuu.Un hoja nzuri lakini hujaipangilia sawa sawa maoni yako hasa ni yapi
Oooh mimi tena na thread mbona sijaandika kitambo sanaNimezimiss thread zako mkuu.
Lini utaanza kutupa madini kama zamani.
Mkuu naona uko sahihi kabisa.Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?
Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.
1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)
2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)
Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..
Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.
Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,
Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.
Turudi kwenye mada husika,
Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.
Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.
O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.
Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.
Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.
Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.
mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? 😁😁
Dunia nzima maths ni lazima, hata China Maths na English ni compulsory,mathematics haiwezi kuwa option, hilo ni somo la lazima.
Tutashindwa hata kumtuma mtoto dukani kama hesabu zitawekwa kwenye option.
Somo la hesabu ndiyo linatakiwa kuwa msingi wa kwenda chuo chochote hata vya ufundi unesi , kilimo ,biashara, hata kujiunga kwenye majeshi piaAu mwalimu mpwayungu village unasemaje?
Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.
1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)
2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)
Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..
Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.
Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,
Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.
Turudi kwenye mada husika,
Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.
Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.
O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.
Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.
Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.
Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.
mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? [emoji16][emoji16]
Hiyo picha uliyoweka inapingana na hoja yakoDunia nzima maths ni lazima, hata China Maths na English ni compulsory,
Rishi Sunak anataka wanafunzi UK wasome hesabu mpaka umri wa miaka 18 ingawa amepingwa sana
Hata mwalimu aliemfundisha katia neno
Lakini hesabu ni lazima tangu watoto ila wenzetu vifaa vya kufundisha hesabu wanavyo sana kuanzia toys
Sisi ni hesabu tu ndio maana watoto wanaona somo gumu tofauti na wenzetu wao hesabu wanafanya kwa watoto kama mchezo na Kadri wanavyokuwa wanazidi kuelewa zaidi
Hesabu ni ngumu kwa wengi lakini muhimu sanaView attachment 2473846
Mmeifanyia nini dunia kwa kufanya yote hayo!?Mathematics is & must be a compulsory subject.
Ukija kwetu Kenya somo la hisabati Ni lazima kwa kila mwanafunzi.
And when it comes to science subjects, a student must take at least two science subjects.For instance chemistry & physics, physics & Biology or Biology & chemistry.
Nadhani serikali zetu zinatakiwa zihamashishe Zaidi umuhimu wa somo la hisabati na science miongoni mwa wanafunzi pamoja na kuwapatia materials za kutosha zinazohusiana na hayo masomo.
Siwezi jibu swali la kipuuxi Kama hili lako.Mmeifanyia nini dunia kwa kufanya yote hayo!?
Nimesoma mpaka hizo quantum physics...,Siwezi jibu swali la kipuuxi Kama hili lako.
Wewe Ni mmoja wa waliofeli masomo ya hisabati na Physics huko Tz