nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,937
- 2,678
Kwan masomo yaushoga yashafika mashulenVipi kuhusu somo hili?View attachment 2474081
Hujawahi kuona mtu mitihani anapiga A zote but ukimwambia akufundishe hajui kielekeza na mwingine anakufundisha fresh tu but mtihani unampiga fimbo?Hesabu na physics ni common disease huwa nafarijika na nafurahi nikiangalia matokeo yangu ya form 4 na form 6 ya hesabu mm sio mwalimu lkn mpk leo hii hesabu na physics sijsahau na pia huwa nawafundisha wanafunzi
Ngoja nikuambie tatizo ni walimu asilimia kubwa hawajui hesabu wala physics wamekariri mwalimu mzuri ni yule anaejua vizuri na aliyefaulu hivyo wanaopata division 1 ndio wawe walimu
walimu wengi failure ndio wanakimblilia huko ingawa sio sababu moja kwa moja na wanafunzi nao wanashidaHujawahi kuona mtu mitihani anapiga A zote but ukimwambia akufundishe hajui kielekeza na mwingine anakufundisha fresh tu but mtihani unampiga fimbo?
Haya masomo physics, Chemistry, Biology na Mathematics ni masomo mazuri na msingi sana kwenye almost kila field ya maisha. Tatizo kubwa lililopo, hatuna walimu mahiri wenye uwezo wa kuyafundisha haya masomo kwa njia nyepesi ambayo wanafunzi wataweza kuyaelewa. Matokeo yake wanafunzi wengi badala ya kuyaelewa, huyakariri hapo ndio changamoto inapokuja.Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?
Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.
1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)
2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)
Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..
Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.
Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,
Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.
Turudi kwenye mada husika,
Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.
Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.
O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.
Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.
Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.
Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.
mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? 😁😁
Huna akiliAu mwalimu mpwayungu village unasemaje?
Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.
1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)
2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)
Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..
Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.
Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,
Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.
Turudi kwenye mada husika,
Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.
Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.
O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.
Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.
Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.
Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.
mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? 😁😁
Vipi unatafuta bwana?Huna akili
Itafutwe namna ya kufanya hesabu na physics ziwe zinamvutia mtoto toka akiwa msingi. Hayo masomo sio magumu. Ila vilaza wengi waliokimbia hesabu na physics kwa hofu, wanaendelea kuamini kuwa masomo hayo ni magumu na wengi wao ndio watunga sera. Tukiata walimi sahihi na vifaa vya kufundishia, haya madomo ni the most interesting.Ninakuelewa sana hoja yako. Kuna kila sababu ya kutafuta ufumbuzi wa hili tatizo. Masomo hayo yaani Physics na Hesabu ni masomo muhimu. Siri na ufahamu wa ulimwengu umejificha kwenye masomo hayo.
Tutakuwa taifa la watu wajinga sana kama tutapuuzia masomo hayo. Ulimwengu unatawaliwa na Physics kuanzia enzi za Classical Physics ya akina Isaac Newton na wenzake hadi kwenye Quantum Physics ya akina Albert Einstein.
Moyo wangu unauma sana ninapoona watoto wanashindwa kusoma physics.
Mbona St. Francis, Canossa, Mazinde Juu, Feza, etc wanapiga almost A zote tena vitoto vya kike? Serikali ikajifunze huko wanafanyaje!Watoto laki tano wanapata F? Hapa tatizo siyo wanafunzi, tatizo ni elimu inayotolewa na namna inavyotolewa. wazo langu, masomo haya na elimu yote ingefundishwa kwa kiswahili, maana yanahitaji kuelewa na si kukariri. Mtoto anatakiwa kuelewa logarithm ni nini na si kukariri zile formula. Physics ndiyo kabisa, mtu anatakiwa kuelewa concepts na si kumeza mambo.
Walimu wapo ila watoto wenu hawana akiliHaya masomo physics, Chemistry, Biology na Mathematics ni masomo mazuri na msingi sana kwenye almost kila field ya maisha. Tatizo kubwa lililopo, hatuna walimu mahiri wenye uwezo wa kuyafundisha haya masomo kwa njia nyepesi ambayo wanafunzi wataweza kuyaelewa. Matokeo yake wanafunzi wengi badala ya kuyaelewa, huyakariri hapo ndio changamoto inapokuja.
Pili, haya masomo lazima uwe na msingi mzuri wa hesabu tangu primary level,sasa mtu yupo form 1 hata jina lake hawezi kuandika what do you think?.
Form one bado watoto wadogo, hawana uwezo wa kufanya maamuzi mazuriAu mwalimu mpwayungu village unasemaje?
Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.
1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)
2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)
Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..
Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.
Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,
Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.
Turudi kwenye mada husika,
Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.
Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.
O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.
Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.
Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.
Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.
mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? 😁😁
Upuuzi mtupu. Badala ya kutoa maoni Physics, Chemistry, Biology na Mathematics viwe lazima kwa kila mwanafunzi, hadi form four! Wewe unataka viondolewe? Huo ni ubongo au uji?Vipi unatafuta bwana?
Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?
Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.
1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)
2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)
Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..
Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.
Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,
Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.
Turudi kwenye mada husika,
Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.
Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.
O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.
Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.
Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.
Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.
mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? [emoji16][emoji16]