Nashauri tuigeuze rushwa kuwa ni chanzo halali cha mapato ndani ya taasisi (Fast Corridor)

Vipi wanaotoa rushwa ya ngono?

UTELEZI SUBSTATION KIPOCHI MANYOYA

Vipi unashauri tujengwe na tuvyumba twa aina hii ya rushwa.

Natania,
Naitwa Machepele.
 
Vipi wanaotoa rushwa ya ngono?

UTELEZI SUBSTATION KIPOCHI MANYOYA

Vipi unashauri tujengwe na tuvyumba twa aina hii ya rushwa.

Natania,
Naitwa Machepele.
Ngono haiwezi kuwa ni mali ya umma! Kwanza ni kinyume na sheria kuchungulia faragha za watu!
Makosa ya kingono ni ubakaji na udhalilishaji wa kingono!

Inje ya hapo hayo ni makubaliano binafsi hayawezi kuwa ni rushwa!
 
Rushwa ni nje ya malipo ya kawaida, yani kifupi hiyo 45% itakuwa nayo ni ya serikali, hivyo watatengeneza mazingira nao wapate chao.
Yaani kwa kifupi tafsiri ya Rushwa ni pesa ya serekali inayoingia mfukoni mwa mtu binafsi!!
 
Hoja yako sio mbaya sana ila hata ukiweka hiyo fast track kuna watu watatoa tena rushwa ili wakwepe foleni pamoja na hiyo fast track. Mimi ninashauri kama nchi tuwe tu wabunifu ili uchumi ukue ambapo mishahara itapanda na kupunguza ugumu wa maisha. Rushwa kuisha ni ngumu ila kukiwa na unafuu wa maisha itapungua sana.... kwa mfano hakuna sababu ya Tanzania yenye mvua takribani 1150mm kwa mwaka kuzalisha 68000 metric tonnes za ngano wakati Saudi Arabia yenye 150mm ikizalisha 1.2million metric tonnes za ngano. Ikumbukwe Saudi hawana hata mito kama kwetu.
 
Foleni gan nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…