Ni kweli mwalimu hawezi kujua, kwasababu injinia ndo kawakusanya wachezaji huko kawamwaga pale Yanga.Anyway, hii Yanga ya msimu huu, kiukweli inaniogopesha sana! Yaani Mwalimu atakua na wakati mgumu sana wa kumpanga nani ndani, na amuache nani nje!
Hesabu zako, sijazielewa! Ni kweli hiyo timu, ni ya sita kwenye ligi yao. Na Polisi, ni ya sita hapa kwetu. Lakini Polisi imezidiwa pointi 38 na bingwa. Lakini wao wamezidiwa pointi 8, na bingwa. Papo hapo, wewe UTOPOLO umezidiwa pointi 9 na bingwa.Hapa hamna timu kabisa unaweza kuta mmeikamia mechi kumbe hata madogo wa U20 wangeweza kuitafuna kirahisi. Kupangiwa kiTeam ambacho kimemaliza ligi ya Nigeria nafasi ya ni sawa na kucheza na Polisi Tanzania ya LigiKUU Tanzania Bara.
View attachment 1892283
Inaonekana hii timu imepata mbeleko ya kubeba kombe la NPFL ndio maana akapata nafasi ya ushiriki. Hebu tazama nafasi yao ya Ligi msimu ulio pita.
View attachment 1892286
Yaani timu ya nafasi ya sita huko ndio tuwawekee full mkoko, Huo utakuwa 1. Uonevu 2. Matumizi mabaya ya wachezaji na 3. Sio fair play.
View attachment 1892287
Na hata ushindi wao ni kuwafunda timu zilizo chini ya nafasi yake katika msimamo wa Ligi.
Hahaha, mkuu umemaliza kila kitu.Hesabu zako, sijazielewa! Ni kweli hiyo timu, ni ya sita kwenye ligi yao. Na Polisi, ni ya sita hapa kwetu. Lakini Polisi imezidiwa pointi 38 na bingwa. Lakini wao wamezidiwa pointi 8, na bingwa. Papo hapo, wewe UTOPOLO umezidiwa pointi 9 na bingwa.
Kwa hesabu hizo, wewe uliyezidiwa pointi 9 ni nafuu kuliko aliyezidiwa pointi 8 na Mshindi?
Acha nadharia wewe sisi tutachapa kila mtu ata ww tarehe 25 tunaanza na wewe ndo wafuate ao mto fcHesabu zako, sijazielewa! Ni kweli hiyo timu, ni ya sita kwenye ligi yao. Na Polisi, ni ya sita hapa kwetu. Lakini Polisi imezidiwa pointi 38 na bingwa. Lakini wao wamezidiwa pointi 8, na bingwa. Papo hapo, wewe UTOPOLO umezidiwa pointi 9 na bingwa.
Kwa hesabu hizo, wewe uliyezidiwa pointi 9 ni nafuu kuliko aliyezidiwa pointi 8 na Mshindi?
uzi umeishia hapa. 🤣🤣🤣Hesabu zako, sijazielewa! Ni kweli hiyo timu, ni ya sita kwenye ligi yao. Na Polisi, ni ya sita hapa kwetu. Lakini Polisi imezidiwa pointi 38 na bingwa. Lakini wao wamezidiwa pointi 8, na bingwa. Papo hapo, wewe UTOPOLO umezidiwa pointi 9 na bingwa.
Kwa hesabu hizo, wewe uliyezidiwa pointi 9 ni nafuu kuliko aliyezidiwa pointi 8 na Mshindi?
Manchester UTD kapitwa alama 12 na Bingwa Manchester City.Hesabu zako, sijazielewa! Ni kweli hiyo timu, ni ya sita kwenye ligi yao. Na Polisi, ni ya sita hapa kwetu. Lakini Polisi imezidiwa pointi 38 na bingwa. Lakini wao wamezidiwa pointi 8, na bingwa. Papo hapo, wewe UTOPOLO umezidiwa pointi 9 na bingwa.
Kwa hesabu hizo, wewe uliyezidiwa pointi 9 ni nafuu kuliko aliyezidiwa pointi 8 na Mshindi?
Manchester UTD kapitwa alama 12 na Bingwa Manchester City.uzi umeishia hapa. 🤣🤣🤣
Mkuu, ligi yao ilikuwa ina ushindani mkubwa sana. Hiyo timu mnayoidharau, ilizidiwa pointi tatu tu, na timu ya pili. Huwezi kulinganisha na matokeo ya hapa kwetu. Yanga wajiandae vizuri tu, sio kwa kuwaaminisha kuwa wapinzani wao, ni VIBONDE!Manchester UTD kapitwa alama 12 na Bingwa Manchester City.
Rivers United FC kapitwa alama 8 na Bingwa Akwa United.
Unataka kuniambia kuwa Rivers United FC ya Nigeria ni timu bora zaidi kuliko Manchester UTD...(Kwasababu tu kapitwa alama chache na Bingwa)?
Mtani jiangalie Aisee! Usije ukawa umedondokewa na kitu kizito kichwani hadi ukapoteza signals.
Hiv kwann hii timu ya sita katika msimamo lakini inashiriki caf championHesabu zako, sijazielewa! Ni kweli hiyo timu, ni ya sita kwenye ligi yao. Na Polisi, ni ya sita hapa kwetu. Lakini Polisi imezidiwa pointi 38 na bingwa. Lakini wao wamezidiwa pointi 8, na bingwa. Papo hapo, wewe UTOPOLO umezidiwa pointi 9 na bingwa.
Kwa hesabu hizo, wewe uliyezidiwa pointi 9 ni nafuu kuliko aliyezidiwa pointi 8 na Mshindi?
Hiv kwann hii timu ya sita katika msimamo lakini inashiriki caf champion
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Naona ni mwendo wa kujifarijiAnyway, hii Yanga ya msimu huu, kiukweli inaniogopesha sana! Yaani Mwalimu atakua na wakati mgumu sana wa kumpanga nani ndani, na amuache nani nje!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umemkomesha huyu churaHesabu zako, sijazielewa! Ni kweli hiyo timu, ni ya sita kwenye ligi yao. Na Polisi, ni ya sita hapa kwetu. Lakini Polisi imezidiwa pointi 38 na bingwa. Lakini wao wamezidiwa pointi 8, na bingwa. Papo hapo, wewe UTOPOLO umezidiwa pointi 9 na bingwa.
Kwa hesabu hizo, wewe uliyezidiwa pointi 9 ni nafuu kuliko aliyezidiwa pointi 8 na Mshindi?