Nashauri Uongozi Wa Yanga SC utumie Kikosi cha Kagame Cup kumenyana na Rivers United FC

Nashauri Uongozi Wa Yanga SC utumie Kikosi cha Kagame Cup kumenyana na Rivers United FC

Anyway, hii Yanga ya msimu huu, kiukweli inaniogopesha sana! Yaani Mwalimu atakua na wakati mgumu sana wa kumpanga nani ndani, na amuache nani nje!
Kila msimu maneno ni haya haya.... Twendeni Morocco Waarabu wanatusubiri Bana Congo
 
Hapa hamna timu kabisa unaweza kuta mmeikamia mechi kumbe hata madogo wa U20 wangeweza kuitafuna kirahisi. Kupangiwa kiTeam ambacho kimemaliza ligi ya Nigeria nafasi ya ni sawa na kucheza na Polisi Tanzania ya LigiKUU Tanzania Bara.
View attachment 1892283

Inaonekana hii timu imepata mbeleko ya kubeba kombe la NPFL ndio maana akapata nafasi ya ushiriki. Hebu tazama nafasi yao ya Ligi msimu ulio pita.

View attachment 1892286

Yaani timu ya nafasi ya sita huko ndio tuwawekee full mkoko, Huo utakuwa 1. Uonevu 2. Matumizi mabaya ya wachezaji na 3. Sio fair play.

View attachment 1892287
Na hata ushindi wao ni kuwafunda timu zilizo chini ya nafasi yake katika msimamo wa Ligi.
Ila mkisha manuliwa msipekeke msiba wenu TFF.
 
Hapa hamna timu kabisa unaweza kuta mmeikamia mechi kumbe hata madogo wa U20 wangeweza kuitafuna kirahisi. Kupangiwa kiTeam ambacho kimemaliza ligi ya Nigeria nafasi ya ni sawa na kucheza na Polisi Tanzania ya LigiKUU Tanzania Bara.
View attachment 1892283

Inaonekana hii timu imepata mbeleko ya kubeba kombe la NPFL ndio maana akapata nafasi ya ushiriki. Hebu tazama nafasi yao ya Ligi msimu ulio pita.

View attachment 1892286

Yaani timu ya nafasi ya sita huko ndio tuwawekee full mkoko, Huo utakuwa 1. Uonevu 2. Matumizi mabaya ya wachezaji na 3. Sio fair play.

View attachment 1892287
Na hata ushindi wao ni kuwafunda timu zilizo chini ya nafasi yake katika msimamo wa Ligi.
Mkuu ile timu iliyoitoa Simba hapa kwa mkapa ilikuwa nafasi gani kule Africa Kusini
 
Manchester UTD kapitwa alama 12 na Bingwa Manchester City.

Rivers United FC kapitwa alama 8 na Bingwa Akwa United.

Unataka kuniambia kuwa Rivers United FC ya Nigeria ni timu bora zaidi kuliko Manchester UTD...(Kwasababu tu kapitwa alama chache na Bingwa)?


Mtani jiangalie Aisee! Usije ukawa umedondokewa na kitu kizito kichwani hadi ukapoteza signals.

Hii ulipaswa uilekeze kwa mtoa uzi Utopolo mwenzio maana logic yake ilikuwa hiyo.Huyu mwingine amejaribu kumuuliza kama wewe ulivyodandia hoja yake.
 
Waulize Manunu FC walichungulia nafasi ya Kauza Chips kwa Amapiano wakaona ya nane wakadharau wakapigwa 4G, hawa tunapambana nao na tunawaheshimu
Subiri utajua hujui na hiyo bendi yenu ya hao Akina Koffi, Ipupa na awilo
 
Hesabu zako, sijazielewa! Ni kweli hiyo timu, ni ya sita kwenye ligi yao. Na Polisi, ni ya sita hapa kwetu. Lakini Polisi imezidiwa pointi 38 na bingwa. Lakini wao wamezidiwa pointi 8, na bingwa. Papo hapo, wewe UTOPOLO umezidiwa pointi 9 na bingwa.
Kwa hesabu hizo, wewe uliyezidiwa pointi 9 ni nafuu kuliko aliyezidiwa pointi 8 na Mshindi?
Mathematical reasoning. [emoji123]
 
Manchester UTD kapitwa alama 12 na Bingwa Manchester City.

Rivers United FC kapitwa alama 8 na Bingwa Akwa United.

Unataka kuniambia kuwa Rivers United FC ya Nigeria ni timu bora zaidi kuliko Manchester UTD...(Kwasababu tu kapitwa alama chache na Bingwa)?


Mtani jiangalie Aisee! Usije ukawa umedondokewa na kitu kizito kichwani hadi ukapoteza signals.
Mkuu huyu usipoteze naye muda2,ni wale mbumbumbu Rage alikuwa anawazungumzia.
 
Hesabu zako, sijazielewa! Ni kweli hiyo timu, ni ya sita kwenye ligi yao. Na Polisi, ni ya sita hapa kwetu. Lakini Polisi imezidiwa pointi 38 na bingwa. Lakini wao wamezidiwa pointi 8, na bingwa. Papo hapo, wewe UTOPOLO umezidiwa pointi 9 na bingwa.
Kwa hesabu hizo, wewe uliyezidiwa pointi 9 ni nafuu kuliko aliyezidiwa pointi 8 na Mshindi?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hao ndio wale wanaoangalia mtoto amekuwa wangapi darasani bila kuangalia wastani.
Yaani umemkomesha hatari.
 
Back
Top Bottom