Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Kila msimu maneno ni haya haya.... Twendeni Morocco Waarabu wanatusubiri Bana CongoAnyway, hii Yanga ya msimu huu, kiukweli inaniogopesha sana! Yaani Mwalimu atakua na wakati mgumu sana wa kumpanga nani ndani, na amuache nani nje!
Ila mkisha manuliwa msipekeke msiba wenu TFF.Hapa hamna timu kabisa unaweza kuta mmeikamia mechi kumbe hata madogo wa U20 wangeweza kuitafuna kirahisi. Kupangiwa kiTeam ambacho kimemaliza ligi ya Nigeria nafasi ya ni sawa na kucheza na Polisi Tanzania ya LigiKUU Tanzania Bara.
View attachment 1892283
Inaonekana hii timu imepata mbeleko ya kubeba kombe la NPFL ndio maana akapata nafasi ya ushiriki. Hebu tazama nafasi yao ya Ligi msimu ulio pita.
View attachment 1892286
Yaani timu ya nafasi ya sita huko ndio tuwawekee full mkoko, Huo utakuwa 1. Uonevu 2. Matumizi mabaya ya wachezaji na 3. Sio fair play.
View attachment 1892287
Na hata ushindi wao ni kuwafunda timu zilizo chini ya nafasi yake katika msimamo wa Ligi.
Mkuu ile timu iliyoitoa Simba hapa kwa mkapa ilikuwa nafasi gani kule Africa KusiniHapa hamna timu kabisa unaweza kuta mmeikamia mechi kumbe hata madogo wa U20 wangeweza kuitafuna kirahisi. Kupangiwa kiTeam ambacho kimemaliza ligi ya Nigeria nafasi ya ni sawa na kucheza na Polisi Tanzania ya LigiKUU Tanzania Bara.
View attachment 1892283
Inaonekana hii timu imepata mbeleko ya kubeba kombe la NPFL ndio maana akapata nafasi ya ushiriki. Hebu tazama nafasi yao ya Ligi msimu ulio pita.
View attachment 1892286
Yaani timu ya nafasi ya sita huko ndio tuwawekee full mkoko, Huo utakuwa 1. Uonevu 2. Matumizi mabaya ya wachezaji na 3. Sio fair play.
View attachment 1892287
Na hata ushindi wao ni kuwafunda timu zilizo chini ya nafasi yake katika msimamo wa Ligi.
Manchester UTD kapitwa alama 12 na Bingwa Manchester City.
Rivers United FC kapitwa alama 8 na Bingwa Akwa United.
Unataka kuniambia kuwa Rivers United FC ya Nigeria ni timu bora zaidi kuliko Manchester UTD...(Kwasababu tu kapitwa alama chache na Bingwa)?
Mtani jiangalie Aisee! Usije ukawa umedondokewa na kitu kizito kichwani hadi ukapoteza signals.
Wanaelewa basi[emoji23][emoji23]Hii ulipaswa uilekeze kwa mtoa uzi Utopolo mwenzio maana logic yake ilikuwa hiyo.Huyu mwingine amejaribu kumuuliza kama wewe ulivyodandia hoja yake.
Ngoja tumwachia Nabi hiliAnyway, hii Yanga ya msimu huu, kiukweli inaniogopesha sana! Yaani Mwalimu atakua na wakati mgumu sana wa kumpanga nani ndani, na amuache nani nje!
Uto mshapigwa nyuma mbele, nje ndani kabla hata ya mechi. Nafuu mkaokoa gharama mkajitoa tu.Ukiandika acha nafasi. Tusio na Macho tuweze kusoma kirahisi mtani.
Subiri utajua hujui na hiyo bendi yenu ya hao Akina Koffi, Ipupa na awiloWaulize Manunu FC walichungulia nafasi ya Kauza Chips kwa Amapiano wakaona ya nane wakadharau wakapigwa 4G, hawa tunapambana nao na tunawaheshimu
Watapiga mpka quantrickKweli kabisa!! Pale mbele tunamuweka striker wetu hatari Waziri Junior Shentembo!!
Ni mwendo tu wa hatrick!!!
Mathematical reasoning. [emoji123]Hesabu zako, sijazielewa! Ni kweli hiyo timu, ni ya sita kwenye ligi yao. Na Polisi, ni ya sita hapa kwetu. Lakini Polisi imezidiwa pointi 38 na bingwa. Lakini wao wamezidiwa pointi 8, na bingwa. Papo hapo, wewe UTOPOLO umezidiwa pointi 9 na bingwa.
Kwa hesabu hizo, wewe uliyezidiwa pointi 9 ni nafuu kuliko aliyezidiwa pointi 8 na Mshindi?
Hiyo 25 utacheza klabu bingwa na Simba! Ila mfunge Simba lkn kombe huambulii hata moja msimu huu.Acha nadharia wewe sisi tutachapa kila mtu ata ww tarehe 25 tunaanza na wewe ndo wafuate ao mto fc
Mkuu huyu usipoteze naye muda2,ni wale mbumbumbu Rage alikuwa anawazungumzia.Manchester UTD kapitwa alama 12 na Bingwa Manchester City.
Rivers United FC kapitwa alama 8 na Bingwa Akwa United.
Unataka kuniambia kuwa Rivers United FC ya Nigeria ni timu bora zaidi kuliko Manchester UTD...(Kwasababu tu kapitwa alama chache na Bingwa)?
Mtani jiangalie Aisee! Usije ukawa umedondokewa na kitu kizito kichwani hadi ukapoteza signals.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hesabu zako, sijazielewa! Ni kweli hiyo timu, ni ya sita kwenye ligi yao. Na Polisi, ni ya sita hapa kwetu. Lakini Polisi imezidiwa pointi 38 na bingwa. Lakini wao wamezidiwa pointi 8, na bingwa. Papo hapo, wewe UTOPOLO umezidiwa pointi 9 na bingwa.
Kwa hesabu hizo, wewe uliyezidiwa pointi 9 ni nafuu kuliko aliyezidiwa pointi 8 na Mshindi?
Wakati watani wanakutana tarehe 25 Yanga atakuwa ametolewa tayari huko CafuniPale tunapiga 7.
Mkuu, hebu acha kutukatisha tamaa!Wakati watani wanakutana tarehe 25 Yanga atakuwa ametolewa tayari huko Cafuni
Wamepata tiketi hiyo kwa namna ambayo Namungo walivyo pata tiketi kushiriki kimataifa.Hiv kwann hii timu ya sita katika msimamo lakini inashiriki caf champion
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app