GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Hata mimi napenda maelezo ya vitu ninavyoviona kwenye movie.Binafsi huwa napenda maelezo in deeply wengine sijui okay kila mtu na lake mengine tutayakuta vitabuni..[emoji28]
Nafikiri hili litakuja kuwa soko la baadae watu wakibadilika sahivi wacha waende mwendo huu steps zitachange tu!Hata mimi napenda maelezo ya vitu ninavyoviona kwenye movie.
Ni kawaida kabisa kuangalia movie.
Halafu nikairudia kwa kufuatilia baadhi ya vitu ninavyoviona kwenye movies.
Ila sasa huku mtaani sidhani kama wengi wanapenda hivyo.
Wengi hawapendi hayo sema ndiyo kilichopo sokoni. Fanya utafiti utaona, ndiyo maana Animation ya Kirikuu ilipotafsiriwa kitaalamu ilibamba sana. Ndiyo maana movie zilizotafsiriwa vizuri kama Neria hadi leo tunaikumbuka. Hakuna anayependa miruzi na makelele ya Dj Max nk, ni kwamba tu ndiyo kitu kilichopo.Poor Market Analysis
_Ungejua wateja wakina nani na wanahitaji nini usingeshauri hiki.
Wateja ni Ordinary People most of them sio wasomi na hawana expose ya maisha na lugha kwa ujumla, wanachohutaji
*mbwembwe za Dj
*Madoido kama mruziii
*Sauti ya DJ basi
kutarsiri kwa usahihi si hutajio lao
utafeli vibaya sana.
Ndugu siutafanya hivyo kama umepiga umande kidogo ngeli inapanda. Kumbuka kuna watu hata majina yao hawajui kuandika na wanapenda hizo tamthilia na filamu za kigeni.Na kwa nini uangalie movie ambayo imetafsiriwa
Download movie na subtitle yake, uangalie mbona maisha ni simple tu wakuu
Hata movie kama Neria?Nikiambiwa nichague kuuwawa au kuangalia muvi zilizotafsiriwa ninachagua kuuwawa
Ni kweli ila unaweza tafuta leseni au ukatafsiri movie zilizopo kwenye public domain. Kupata leseni ya kutafsiri movie kama za kinigeria haiwezi kuwa gharama kubwa.Hivi unajua kutafsiri movie bila ruhusa ya muhusika ni kosa la jinai? Ndio huko wapo makanjanja na wataendelea kuwepo!
Sijaiona hiyo muviHata movie kama Neria?
DJ Afro anawakilisha KE, lakini ni waongo sehemu zingine! ππΎ ππΎ ππΎ πWaongo sana hawa jamaa. Siku hizi kuna sijui DJ nani nani, wengi sana.
π π πKutafsiri movie kunahitaji degree ?
Kumbe Upepo wa Pesa ni Mnyonge?Mnyonge kwani hili suala lina ubaya gani?
Ni kosa lakini kama sio ya nchi yenyu basi hakuna atakayekufuata, movie kibao zimetafsiria na hamna loloteNi kweli ila unaweza tafuta leseni au ukatafsiri movie zilizopo kwenye public domain. Kupata leseni ya kutafsiri movie kama za kinigeria haiwezi kuwa gharama kubwa.
Hapa umekosea asee, ndiyo maana niliamua kitambo sana niwe na_download movie mwenyewe Netfrix kwa sababu ya mawazo kama yako.Aina ya AK47 hapa mtafsiri anaweza akaweka pozi movie kidogo halafu kwa maelezo mafupi na yaliyoshiba
Kweli, kwanza hizo DJ movies zinakera sana,yaani uongo mwingi pale. Mi bora movie niicheki mwenyewe nielewe au hata kama ina subs sawa, lakini kelele za ma DJ hapana, sitambui raha yake! π€£Na kwa nini uangalie movie ambayo imetafsiriwa
Download movie na subtitle yake, uangalie mbona maisha ni simple tu wakuu
Lugha na uelewa wa jumla wa mambo unahitajika. Mtu mwenye digrii anafaa sana.Kutafsiri movie kunahitaji degree ?
Hawatasfiri chochote pale, sawa na mimi niangalie movie alafu niwe 'base' na washkaji, nawasimulia.Hapa umekosea asee, ndiyo maana niliamua kitambo sana niwe na_download movie mwenyewe Netfrix kwa sababu ya mawazo kama yako.
Mfano kuna movie inaitwa Enemy At The Gate kuna mashine zipo humo huyo mtafsiri unayemtaka aelezee hizo siraha movie itaisha hajamaliza kueleza hata mbili.
Mtoa mada nimemuelewa anavyotaka same like me kuwa, watafasiri kile kinachosemwa na waigizaji na kuchombeza na maneno yao.
Hao kina dj muphy nk wanasimulia matukio siyo kutafsiri movie.