raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Mbona mapema sana duhBaada ya Lowassa kufariki naona Fred na wadogo zake wameamua kuiuza ili wagawane mpunga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mapema sana duhBaada ya Lowassa kufariki naona Fred na wadogo zake wameamua kuiuza ili wagawane mpunga.
Hii haikuwa kimasikharaWakati nikiwa advance, kuna likizo ndogo nilienda kujifungia hapo, shule wanajua niko home, na home wanajua niko shule.
Woiiiiiih!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamepatwa na nn had wanauza? Lol
Kuna mengi hapa Ina wezekana Biashara zimekuwa ngumu hasa kwa aina ya Hotel ,wengi wanalala lodge za kawaida ambazo kwa Moro huwa full hasa Wk end au wamiliki wameamua kufanya Mbinu za biashara.Wakati nikiwa advance, kuna likizo ndogo nilienda kujifungia hapo, shule wanajua niko home, na home wanajua niko shule.
Woiiiiiih!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamepatwa na nn had wanauza? Lol
Hao wananchi hawajawahi hata kuingia humo, wambie haivunjwi inabadili umiliki na uendeshaji tu.Wananchi wabubujikwa na machozi kuona Nashera hotel inauzwa.
Ulienda kujifungia au kufungiwa? Nyosha maelezo bhana.Wakati nikiwa advance, kuna likizo ndogo nilienda kujifungia hapo, shule wanajua niko home, na home wanajua niko shule.
Woiiiiiih!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamepatwa na nn had wanauza? Lol
Halafu ukaishia kuachana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati nikiwa advance, kuna likizo ndogo nilienda kujifungia hapo, shule wanajua niko home, na home wanajua niko shule.
Woiiiiiih!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamepatwa na nn had wanauza? Lol
Afu hata haikua hivyo, unavyowazaaa!!Hii haikuwa kimasikhara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niliiacha ndyo hotel baada ya hela nlokua nayo kuisha.Halafu ukaishia kuachana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kujifungiaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulienda kujifungia au kufungiwa? Nyosha maelezo bhana.
Duuuh bas hatarii, ila palikua pazuri sana palee.Kuna mengi hapa Ina wezekana Biashara zimekuwa ngumu hasa kwa aina ya Hotel ,wengi wanalala lodge za kawaida ambazo kwa Moro huwa full hasa Wk end au wamiliki wameamua kufanya Mbinu za biashara.
Hahahahaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niliiacha ndyo hotel baada ya hela nlokua nayo kuisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala hakukuwa na sponsa. Nilikua mwenyewe na kwa pesa zanguHahahahaa.
Sponsor aliishiwa nguvu sio..
Utakubali sasa???? Kulikuwa na haja gani ya kuwaficha nyumbani na kwanini ulienda kujificha hotelini?Hapanaaa!!!
Tushushe sisiNilienda kufanya utalii wa ndanii.
[emoji23][emoji23][emoji23] ckua na ratiba ya kwenda home, ila shule nlidanganya narud home, na home hawakua wanajua chochote, maana likizo ndogo, nlikua sirudi home nabaki shule.Utakubali sasa???? Kulikuwa na haja gani ya kuwaficha nyumbani na kwanini ulienda kujifucha hotelini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tushushe sisi
Ila sponsor alifaidi sana vp alikuweka na Ile staili mpya ya mijuu guu? Au ni mwendo wa missionary kusaga kunguni?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]