No, sitakujibu......., please thoroughly analyze Lisu's recent behavior! particularly in terms of relationship with his team mate in his partyHaya mathread unayoandika kila dakika hayawezi kumshusha Lissu pale alipo sana sana unajidhalilisha tu kuwa wewe huna unachoamini wala kujua zaidi ya uchawa wako kwa Mbowe. Retired wewe wa kujishusha hadhi hadi kufikia kuwa kama Lucas Mwashambwa? Kweli hela ya Abdul imewatoa ufahamu wengi.
ASANTE MODS KWA KUREKEBISHA UNAPALATABLE HEADING. ALL IS FINE!Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!
Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!
Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.
Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.
Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.
Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.
Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Waambie pia warekebishe..unapalatable.....ASANTE MODS KWA KUREKEBISHA UNAPALATABLE HEADING. ALL IS FINE!
Sema tu mgao wa Abdul ndiyo umekubadilisha . Ila mjue hiyo hela ya huyo mtoto ndiyo kaburi la ChademaNashindwa kum define Lisu my once favorite politician!
Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!
Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.
Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.
Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.
Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.
Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Mkuu naona umekomaa sana. Siku moja unabandika Nyuzi 10.Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!
Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!
Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.
Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.
Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.
Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.
Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Mbowe ndiye kalianzisha aliposema ametumia fedha zake kwa miaka mingi kuijenga chama. Akimaanisha mchango wa wengine ktk ujenzi wa chama ni mdogo mno kuliko wake.Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Ametumwa na mkuu wa saccos. Yuko kwenye kazi maalumu. Lkn anaonekana kapagawa pia.Mkuu naona umekomaa sana. Siku moja unabandika Nyuzi 10.
Au wewe ndio Mbowe?
Au ni Dr. Lillian Mtei.Mkuu naona umekomaa sana. Siku moja unabandika Nyuzi 10.
Au wewe ndio Mbowe?
Mfululizo wa threads zako unaonyesha una kitu very personal na Lissu,haiwezikani unaandika nyuzi kumi kwa siku kumshambulia mtu huyo huyo tena kwa hoja zile zile huu pia ni aina ya wazimu ulio nao. Usijione na wewe uko salama sana kichwani hilo ni tatizo.No, sitakujibu......., please thoroughly analyze Lisu's recent behavior! particularly in terms of relationship with his team mate in his party
Sahihi kabisa, ila plus na chuki na roho mbaya inayokaribiana na husda!!Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!
Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!
Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.
Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.
Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.
Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.
Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Lissu ana shida mkuu!!Mfululizo wa threads zako unaonyesha una kitu very personal na Lissu,haiwezikani unaandika nyuzi kumi kwa siku kumshambulia mtu huyo huyo tena kwa hoja zile zile huu pia ni aina ya wazimu ulio nao. Usijione na wewe uko salama sana kichwani hilo ni tatizo.
Pro-Mbowe wanaweweseka mno.Huyo Lissu tangu aanze kupewa magonjwa nadhani yamefika elfu moja sasa.Changamoto ya wapokea ujumbe wengi wa Lissu wana mazoea ya kutopokea ujumbe wa moto/kama ulivyonyooka.Wanapenda na wamezoea kuambiwa kwa mafumbo,kudekezwa na kubembelezwa.Watazoea tu.
Kwani Wewe ni nani hadi umuelewe Tundu Lisu?Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!
Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!
Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.
Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.
Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.
Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.
Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
SIMTETEI YOYOTE, MBOWE SINA UCHAWA NAYE, MY FAVORITE POLITICIAN WAS LISU FOLLOWED BY MBOWE. NILITAMANI AMWACHIE LISU,,...LAKINI KWA BEHAVIOUR HII YA LISU hapana! hapana, hapana.Mtetea yai limegoma kutoka, lakini hamna namna lazima utage