- Thread starter
- #21
Mwana Chadema...... is this enough for you?Kwani Wewe ni nani hadi umuelewe Tundu Lisu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwana Chadema...... is this enough for you?Kwani Wewe ni nani hadi umuelewe Tundu Lisu?
hayo ni ako... si yangu...andiko langu hali uelekeo huoSahihi kabisa, ila plus na chuki na roho mbaya inayokaribiana na husda!!
so what?Hapa watu mlikua hamjalamba pesa za dulla
View attachment 3184046
Yaani ndani ya Ubongo wako Mkuu akili yako inamuwaza Lissu kila baada dakika kadhaa maana unamuanzishia nyuzi kama vile jamaa ni mtu hatari sana.Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!
Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!
Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.
Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.
Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.
Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.
Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Wakamsingizia MagufuliWatu wengi nilikuwa naona ni waumini wa Lisu tena wako tayari kufa nae leo hii wamemgeuka?
.
Napata wasiwasi hata waliompiga Lisu risasi huenda wapo ndani ya chadema.
Anahisi Lissu ni chizi, kumbe yeye ndio chiziYaani ndani ya Ubongo wako Mkuu akili yako inamuwaza Lissu kila baada dakika kadhaa maana unamuanzishia nyuzi kama vile jamaa ni mtu hatari sana.
Hakuna pro Mbowe, tunamsema Lisu kwa anayoyafanya. hata Mbowe akisema na withdraw form ya kugombea, Lisu atabaki hafai milelel amina!Pro-Mbowe wanaweweseka mno.
Leo ndio hafai?Hakuna pro Mbowe, tunamsema Lisu kwa anayoyafanya. hata Mbowe akisema na withdraw form ya kugombea, Lisu atabaki hafai milelel amina!
Yes anaharibu Chama ninachokipenda, atakigawa na kukiua milele kama vyama vile 19. That is my concern. Nilimpenda sana Lisu na chadema! Naamini katika democracy, uhuru wa mawazo, katiba mpya, uchaguzi huru and the like!Yaani ndani ya Ubongo wako Mkuu akili yako inamuwaza Lissu kila baada dakika kadhaa maana unamuanzishia nyuzi kama vile jamaa ni mtu hatari sana.
Kwa recent behavior, recent matamshi yake yasiyokuwa na kaba ya ulimi! KUROPOKA...kumbe alikuwaAMEFICHA MAKUCHA. SHORT OF THIS LISU WAS SMART, VERY SMART.Leo ndio hafai?
Mbona mlimpa jukwaa la kupambana na JPM kuwania Urais? Au kwa kuwa anaongea msioyapenda?
Aibu tupu.Wakamsingizia Magufuli
Jamaa halali usiku wala mchanaAu ni Dr. Lillian Mtei.
Una vinasaba vyovyote na Mtei family?Mwana Chadema...... is this enough for you?
Lissu kawasaidia sana kuifahamu sura halisi ya Chadema na viongozi wake ambayo hamkuifahamu kabla.... mshukuru hata kwa hilo.Kwa recent behavior, recent matamshi yake yasiyokuwa na kaba ya ulimi! KUROPOKA...kumbe alikuwaAMEFICHA MAKUCHA. SHORT OF THIS LISU WAS SMART, VERY SMART.
Kwa kutwa moja anaanzisha nyuzi 10 kumshambulia Lissu hii aina fulani ya kichaa.Jamaa halali usiku wala mchana
Alichokiandika hapa mwaka 2017 leo amekiishi baada ya tundu lissu kusema ukweli akiwa upinzaniHapa watu mlikua hamjalamba pesa za dulla
View attachment 3184046