Nashindwa kabisa kumuelewa Tundu Lissu, moja kati ya wanasiasa niliokuwa nawakubali sana

Nashindwa kabisa kumuelewa Tundu Lissu, moja kati ya wanasiasa niliokuwa nawakubali sana

Watoto mnatumika vibaya nyie! Haitoshi kukipenda chama hadi mpate mtu wa kumpenda ndani ya chama?

Lissu kama wanadamu wengine na kiongozi ameshafanya makosa mengi, lakini si makosa ya kumfanya ashindwe kuongoza chama kama mnavyotuaminisha.
 
SIMTETEI YOYOTE, MBOWE SINA UCHAWA NAYE, MY FAVORITE POLITICIAN WAS LISU FOLLOWED BY MBOWE. NILITAMANI AMWACHIE LISU,,...LAKINI KWA BEHAVIOUR HII YA LISU hapana! hapana, hapana.

LISU ATASABABISHA HATA CHAMA KIFUTWE. MFANO SAMIA AKIAMUA KUKIFUTA LISU ATAMFANYA NINI? ULISHAWAHI KUJIULIZA HILO? Most probably utasema hawezi!!!!!!
👏👏👏👏👏👏👏
 
Unadhani Lisu atamlazimisha Samia kufanya anayouataka. Anatafuta risasi za pili. By the way ametangaza confrontation, ngoja tuone atakavyo fanya hiyo confrontation na Samia!
Kuna wakati mazungumzo ndiyo njia kama hakuna nguvu ya Umma. Asitegemee Kuna mtanzania ataingia barabarani kufa... Sisi mimmaiti kama alivyosema Kenyatta
Lisu alishawahi kutangazia watu waingie kwa barabara na hawakuingia
 
Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!

Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!

Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.

Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.

Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.

Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.

Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Tundu lisu akiwa kiongozi inabidi awepo mtu wa juu yake kumsimamia, akiwa yeye ndio kiongozi mkuu atakwama Mambo mengi sana
Kwa sababu bado kifua cha kubeba mambo hana,atatangaza kila kitu mpk hata kwa wasio husika
 
Kuna tuhuma moja ambayo Tundu Lissu sijamsikia akiiongelea ni tuhuma ya UKABILA, kwenye tuhuma ya RUSHWA Lissu yuko 🔊loud and clear.

Ninaamini Lissu akishinda atafanya REFORMS kwenye Chama, hilo sina wasiwasi nalo.
 
Huyo Lissu tangu aanze kupewa magonjwa nadhani yamefika elfu moja sasa.Changamoto ya wapokea ujumbe wengi wa Lissu wana mazoea ya kutopokea ujumbe wa moto/kama ulivyonyooka.Wanapenda na wamezoea kuambiwa kwa mafumbo,kudekezwa na kubembelezwa.Watazoea tu.
Na mpaka sasa ameendelea kuwasababishia magonjwa, na watalazwa sana mwaka huu
 
Very true! Nimeumia kweli maana chadema niliipenda sana na Lisu was my favorite mwanasiasa. Nilimpenda kwa uhodari wa kujenga hoja akiwa bungeni na nje ya bunge. A very good guy! One to admire

SASA, uenyekiti umemkengua. Huwezi kuua chama ambacho kimekufikisha hapo ulipo! Chadema is heading to a grave like CUF , NCCR Mageuzi, and the rest of the so called vyama vya siasa!
Kuna wakati wa kusema ukweli na kunyamaza kusema Ukweli ambao unaona utaisambatatishha famlia. Usipoliona hilo...HUNA BUSARA, HUFAI KABISA.

Yanayojadiliwa ndani ya Baraza la mawaziri huwa ni siri....unless yameruhusiwa kutangazwa, likewise kwenye vyama vyetu. sasa Lisu anatoa siri za ndani ya chama kama vile hakuwa sehemu ya maamuzi! Huyo ni hatari..kisa Uenyekiti!
Mwambie Mbowe wakati ukuta, shida iko wapi? Kama ni busara basi Mbowe ndio alipaswa kuitumia sasa. Watu wa aina ya kina Mbowe huwa hawakai pembeni hadi itumike nguvu kuwatoa.
 
Anawapeleka putaputa hadi wanakaa upandeupande kama wanaangalia muvi ya kutisha/horror movie!Lissuuuu wapeleke hivyohivyo hadi waimbe haleluya!
Vipi hii Krismasi twende Nyumbani kwa Lissu na katoni zetu za Konyagi halafu tuwaambie kambi ya Sultani Mbowe kuwa Konyagi zimetoka kwa Mchungaji Msigwa ili wajae nyavuni kama wote halafu Lissu anawakataa kwenye Press.

Vipi hiyo Strategy?
 
No, sitakujibu......., please thoroughly analyze Lisu's recent behavior! particularly in terms of relationship with his team mate in his party
Lissu yupo na tatizo kubwa na kwa kweli tuwe makini naye kwenye uongozi wa juu wa CHAMA.
 
Kuna tuhuma moja ambayo Tundu Lissu sijamsikia akiiongelea ni tuhuma ya UKABILA, kwenye tuhuma ya RUSHWA Lissu yuko 🔊loud and clear.

Ninaamini Lissu akishinda atafanya REFORMS kwenye Chama hilo sina wasiwasi nalo.
Kwasababu katika modern world hatutumii card ya ukabila, it’s a worst card to use… unless umeamua kufanya siasa kama za CCM. Pia utatakiwa kujustify kama waliopewa nafasi hawastahili, ni ngumu kujustify.

The guys is smart!
 
Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!

Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!

Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.

Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.

Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.

Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.

Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Mbona wewe mwenyewe unalalamika na kumlaumu "kwa kutumia hisia zako tu " sawa huyu unayemuona anaenda kwa "hisia...?"

What is the difference between you and him if I may ask..?

Aongoze kwa mfano upi ambao wewe hujauona kwake kama kiongozi at least ktk nafasi mbalimbali alizoshika ndani na nje ya chama...?

Baadhi ya sifa kuu za kiongozi yeyote wa umma popote ni:
A: Truthfulness (mkweli)
B: Confidence (Jasiri/aliye tayari hata kufa kwa ajili ya watu wake)
C: Trustfulness (mwaminifu/anayeaminika)
D: Transparent (muwazi)
E: Visionary (mwenye maono ya wapi anataka taasisi iende)
F: Cooperative (mshirikishaji)
G: Unselfishness (asiye mbinafsi)
H: Realistic (mwenye vision na mipango ambayo ni halisi na insyotekelezeka kwa anaowaongoza)
I: Moral Quality (mwenye maadili ya kiuongozi)
J. Consistent (asiye kigeugeu ktk misimamo yake) nk nk

##Katika sifa hizi baadhi tu, hebu sema moja au mbili tu ambazo huyu bwana hana...

##Hivi kuna kiongozi gani ndani ya CHADEMA au ndani ya CCM ama popote anayeweza kukataa "blank Cheque ya kujaza mwenyewe kiwango utakacho" cha mapesa ya hongo ya Abdul ili tu uache kumkosoa mpinzani wako kisiasa? Huu kama si uadilifu, uaminifu na uwazi ni kitu gani kwako wewe ndugu Retired ?

##Freeman Mbowe pamoja na majigambo ya utajiri wake wa fedha na vitu tokana na biashara zake, lakini kwa pesa za Abdul na mama Abdul amekwama kwenye mtego wa kipengere hicho. Nani mwadilifu kati ya watu hawa wawili..?

I thought ungejenga hoja yako kwa kuonesha vivid examples inayo portray hisia za Tundu Lissu na wewe ukionesha ukweli wako...

I bet to say, hata hujui ulichokiwasilisha hapa dude...

Tundu Lissu ni kichwa kile. Hana longo longo aisee. Huyu jamaa ni NURU lakini eti GIZA linajaribu kuifukuza NURU. Is it possible....?

Mnamwona mropokaji kwa kuwa mambo yenu ya gizani sasa yanawekwa NURUNI na sasa mnajaribu kuishambulia NURU...!!

Scenario ya vita hii anayopambana nayo Tundu Lissu dhidi ya mfumo uliooza kwa ujumla wake, ndio kama ule wa watawala wa dunia ya wakati wa Yesu Kristo ambao Yesu Kristo alikuja toka mbinguni kuja kuufumua na kujenga mfumo mpya na ndivyo ilivyo leo...

Walimshambulia sana na kumuita kila jina baya la udhalilishaji na kutweza utu wake. Walikuwa wanaambiwa ukweli na mambo na matendo yao mabaya. Mioyoni mwao walijua ni kweli mambo hayako sawa. Lakini kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao, kwa nje waliikataa kweli na kuamua kubaki gizani (upande wa shetani)..

Kwa kwa kuwa walishindwa kuona uongo na makosa ndani ya Yesu Kristo ili kumshitaki na kumpoteza kabisa asiendelee kuwasumbua, walimtungia makosa ya uongo. Kwa kudhani wamempoteza mazima, wakauteka mfumo wa haki. Yesu Kristo akakutwa na hatia ya kubambikiza. Akahukumiwa kunyongwa (kusulubiwa msalabani hadi afe)....

Ikawa hivyo lakini hawakutambua kuwa hiyo ndiyo ilikuwa njia ya kuvunja na kuuharibu mfumo dhalimu wa utawala wa serikali zs kidunia za wakati huo na wa sasa...

Mwamba kumbe hakufa kwani baada ya siku tatu akaonekana akiwa hai tena. Kumbe alishuka pande za chini kabisa kwenda kummaliza na adui dhalimu aliyekuwa kuzimu..

Hili ni fundisho kuwa WENYE HAKI HAWAFAGI na HAKUNA AWEZAYE KUWAPOTEZA...!

Unachokifikiria na kukifanya wewe na kundi lenu kuutetea udhalimu dhidi ya mtu meema Tundu Lissu, si kigeni kwa sbb kilishafanyika huko nyuma kwa watu kama huyu jamaa. Hawakufanikiwa...!

Wenye akili na ufahamu na uelewa ulio thabiti wanamwelewa sana na wanakubali kuwa, THIS IS A TRUE LEADER...
 
Back
Top Bottom