Nashindwa kabisa kumuelewa Tundu Lissu, moja kati ya wanasiasa niliokuwa nawakubali sana

Nashindwa kabisa kumuelewa Tundu Lissu, moja kati ya wanasiasa niliokuwa nawakubali sana

Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!

Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!

Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.

Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.

Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.

Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.

Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
SAWA kabisa.Chaguzi za ndani ya chama tunawezaje kupiga kampeni kwenye clubhouse?
 
Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!

Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!

Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.

Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.

Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.

Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.

Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Ila Mbowe ndio unamuelewa vizuri sana!!

Wewe utakuwa ni tapeli la Kichaga!
 
No, sitakujibu......., please thoroughly analyze Lisu's recent behavior! particularly in terms of relationship with his team mate in his party
Ulitamani uhusiano wa Lissu na wenzake wanaohongwa kwa gharama za Watanganyika iweje?
 
Kwa maelezo ya Lissu na ushahidi juu, sasa nimemuelewa Msigwa, nilichelewa kumuelewa Msigwa.

Kwa maelezo ya Lissu, chadema sio chama cha siasa, ni saccos ya familia ya Mbowe. Mbowe anaitumia Chadema kama mali yake binafsi.

Ni wakati sasa watu wenye akili watoke wamuachie saccos yake.
 
SAWA kabisa.Chaguzi za ndani ya chama tunawezaje kupiga kampeni kwenye clubhouse?
Kampeni zinapigwa popote pale penye fursa ya kuwafikia wapiga kura!

Majuzi hapa Trump kapiga kampeni kwenye podcasts, McDonald’s, na kwenye lori la kusombea takataka.

Matokeo yake wote tumeyaona.
 
Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!

Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!

Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.

Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.

Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.

Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.

Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Unatueleza yote haya kwa sababu zipi hasa. Hujioni wewe mwenyewe kuwa na kasoro kubwa sana?

Tueleze, kwanza, ulipo "mpenda" ulimpendea mambo gani, wakati maelezo yote yanaonyesha sifa zote usizo zipenda wewe!
Kuna unafiki zaidi ya unao uonyesha mwenyewe hapa?
 
Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Mstari mmoja wenye maneno mazuri, lakini nina mashaka kama unaelewa maana ya maneno hayo!
Ni "juhudi za pamoja" zipi ambazo wewe unafikiri Tundu Lissu kazikiuka?
 
Mbona wewe mwenyewe unalalamika na kumlaumu "kwa kutumia hisia zako tu " sawa huyu unayemuona anaenda kwa "hisia...?"

What is the difference between you and him if I may ask..?

Aongoze kwa mfano upi ambao wewe hujauona kwake kama kiongozi at least ktk nafasi mbalimbali alizoshika ndani na nje ya chama...?

Baadhi ya sifa kuu za kiongozi yeyote wa umma popote ni:
A: Truthfulness (mkweli)
B: Confidence (Jasiri/aliye tayari hata kufa kwa ajili ya watu wake)
C: Trustfulness (mwaminifu/anayeaminika)
D: Transparent (muwazi)
E: Visionary (mwenye maono ya wapi anataka taasisi iende)
F: Cooperative (mshirikishaji)
G: Unselfishness (asiye mbinafsi)
H: Realistic (mwenye vision na mipango ambayo ni halisi na insyotekelezeka kwa anaowaongoza)
I: Moral Quality (mwenye maadili ya kiuongozi)
J. Consistent (asiye kigeugeu ktk misimamo yake) nk nk

##Katika sifa hizi baadhi tu, hebu sema moja au mbili tu ambazo huyu bwana hana...

##Hivi kuna kiongozi gani ndani ya CHADEMA au ndani ya CCM ama popote anayeweza kukataa "blank Cheque ya kujaza mwenyewe kiwango utakacho" cha mapesa ya hongo ya Abdul ili tu uache kumkosoa mpinzani wako kisiasa? Huu kama si uadilifu, uaminifu na uwazi ni kitu gani kwako wewe ndugu Retired ?

##Freeman Mbowe pamoja na majigambo ya utajiri wake wa fedha na vitu tokana na biashara zake, lakini kwa pesa za Abdul na mama Abdul amekwama kwenye mtego wa kipengere hicho. Nani mwadilifu kati ya watu hawa wawili..?

I thought ungejenga hoja yako kwa kuonesha vivid examples inayo portray hisia za Tundu Lissu na wewe ukionesha ukweli wako...

I bet to say, hata hujui ulichokiwasilisha hapa dude...

Tundu Lissu ni kichwa kile. Hana longo longo aisee. Huyu jamaa ni NURU lakini eti GIZA linajaribu kuifukuza NURU. Is it possible....?

Mnamwona mropokaji kwa kuwa mambo yenu ya gizani sasa yanawekwa NURUNI na sasa mnajaribu kuishambulia NURU...!!

Scenario ya vita hii anayopambana nayo Tundu Lissu dhidi ya mfumo uliooza kwa ujumla wake, ndio kama ule wa watawala wa dunia ya wakati wa Yesu Kristo ambao Yesu Kristo alikuja toka mbinguni kuja kuufumua na kujenga mfumo mpya na ndivyo ilivyo leo...

Walimshambulia sana na kumuita kila jina baya la udhalilishaji na kutweza utu wake. Walikuwa wanaambiwa ukweli na mambo na matendo yao mabaya. Mioyoni mwao walijua ni kweli mambo hayako sawa. Lakini kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao, kwa nje waliikataa kweli na kuamua kubaki gizani (upande wa shetani)..

Kwa kwa kuwa walishindwa kuona uongo na makosa ndani ya Yesu Kristo ili kumshitaki na kumpoteza kabisa asiendelee kuwasumbua, walimtungia makosa ya uongo. Kwa kudhani wamempoteza mazima, wakauteka mfumo wa haki. Yesu Kristo akakutwa na hatia ya kubambikiza. Akahukumiwa kunyongwa (kusulubiwa msalabani hadi afe)....

Ikawa hivyo lakini hawakutambua kuwa hiyo ndiyo ilikuwa njia ya kuvunja na kuuharibu mfumo dhalimu wa utawala wa serikali zs kidunia za wakati huo na wa sasa...

Mwamba kumbe hakufa kwani baada ya siku tatu akaonekana akiwa hai tena. Kumbe alishuka pande za chini kabisa kwenda kummaliza na adui dhalimu aliyekuwa kuzimu..

Hili ni fundisho kuwa WENYE HAKI HAWAFAGI na HAKUNA AWEZAYE KUWAPOTEZA...!

Unachokifikiria na kukifanya wewe na kundi lenu kuutetea udhalimu dhidi ya mtu meema Tundu Lissu, si kigeni kwa sbb kilishafanyika huko nyuma kwa watu kama huyu jamaa. Hawakufanikiwa...!

Wenye akili na ufahamu na uelewa ulio thabiti wanamwelewa sana na wanakubali kuwa, THIS IS A TRUE LEADER...
Umeandika ngonjera za mipasho! kwaheri
 
Kwa maelezo ya Lissu na ushahidi juu, sasa nimemuelewa Msigwa, nilichelewa kumuelewa Msigwa.

Kwa maelezo ya Lissu, chadema sio chama cha siasa, ni saccos ya familia ya Mbowe. Mbowe anaitumia Chadema kama mali yake binafsi.

Ni wakati sasa watu wenye akili watoke wamuachie saccos yake.
Kwa vyovyote Lisu he will not win! uyu hafai kwa lolote...tunabishana hapa kwa vile hatujui tunabihana na nani..si ajabu ni D2.......
 
Baadhi ya sifa kuu za kiongozi yeyote wa umma popote ni:
A: Truthfulness (mkweli)
B: Confidence (Jasiri/aliye tayari hata kufa kwa ajili ya watu wake)
C: Trustfulness (mwaminifu/anayeaminika)
D: Transparent (muwazi)
E: Visionary (mwenye maono ya wapi anataka taasisi iende)
F: Cooperative (mshirikishaji)
G: Unselfishness (asiye mbinafsi)
H: Realistic (mwenye vision na mipango ambayo ni halisi na insyotekelezeka kwa anaowaongoza)
I: Moral Quality (mwenye maadili ya kiuongozi)
J. Consistent (asiye kigeugeu ktk misimamo yake) nk nk
Umekopi wapi? 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Nikipata muda nitakupa mifano ambyo ina evidence kuwa hana qualities hizo!
By the way elimu yako ikoje? sitaki kujibizana na mtu ambaye level yake ni KUBWA kuliko yangu..level yangu ni ndogo
 
Nashindwa kum define Lisu my once favorite politician!

Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!

Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.

Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.

Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.

Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.

Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Kama huna D mbili Halali huwezi lielewa hili jembe mkuu😂😂
 
Kama huna D mbili Halali huwezi lielewa hili jembe mkuu😂😂
Kwa recent trends za Lisu siyo jembe tena........ ni mtu mpuuzi tu ambaye mental health is questionable

Alikuwa mtu makini sana, naona ka kichaa kana amka
 
Haahaa hafai kwa lolote ilhali ni makamu mwenyekiti, alikuwa rais TLS, mgombea urais? Wewe una nn Cha maana?
Urais hata Steve Nyerere , Kingwendu wanaweza kugombea, kwani kugombea urais si ukiwa na chama, ukajaza fomu chama chako kikau endorse unagombea....
 
Kwa recent trends za Lisu siyo jembe tena........ ni mtu mpuuzi tu ambaye mental health is questionable

Alikuwa mtu makini sana, naona ka kichaa kana amka
Haahaa pole, kwa lissu Yuko mbali Sana, ni watu wachache Sana hutokea kama lissu .Watu wengi wakubwa walioko serikalini nimewahi wasikia wakisema lissu kwa uwezo wake hakufaa kuwepo chadema.Very smart
 
Back
Top Bottom